Imetosha Kikwete Kusemwa, Mlitaka afanyeje?

Imetosha Kikwete Kusemwa, Mlitaka afanyeje?

Nadhani baadhi ya watanzania hasa hili kundi la mitandaoni hawako objective na hawajielewi wanataka nini.

Nj watu wa mihemko na matukio. Hawana kumbukumbu, hawana kanuni Wala itikadi wanayoiamini!
Kila kinachopumbaza nafsi zao Wanakiendea.

Kundi hili lina-mmiss Magufuli, LAKINI wkati huo huo linajifanya kulaani kukatwa kwa Lowassa.

Hivyo vitu ni mutually exclusive! Huwezi vipata vyote!
Magufuli na Lowassa wasingeweza kuwa Marais wakati mmoja!
Mnajufanya kuchukia ufisadi, halafu mnamkumbatia fisadi namba 1 according to CHADEMA's list of shame!
Enyi wehu nani amewaroga?
Unajuaje kama hawa “watu wa mitandaoni” wanaomkumbatia EL wanaiamini CHADEMA’s list of shame? - Kwamba nao wanakubali EL ni fisadi.

Je, wewe binafsi unaiamini hiyo CHADEMA’s list of shame? Unaamini EL alikuwa fisadi namba 1? Btw jina la EL liko namba 8 kwenye hiyo CDM List of Shame.
 
This is too subjective brother, it does not nullify the claim that JK ni msaliti!


Weka data

Suala la kwenda kumuona akiwa anaumwa, hata mimi sikwenda, je ni usaliti?

Kwani ni sheria kumuona EDO ?

Weka data tuache hisia

Kosa la JK ni lipi kwa EDO , usaliti ni upi

Au ndio
Kikombe cha babu kuwa kila mtu anakunywa bila ya kuwa na why and how
Tatizo linapo kuja kuwa Kàna kwamba JK ndiyo kamuua EDO ,Wakati jamaa kafariki kama ilivyo Kwa watu Wengine.
Nchi hii waliotaka kuwa Marais ni wengi, Sasa iweje Edo TU kufariki JK anaandamwa kana kwamba yeye kaua?
Huwezi kusema JK alimsaliti mwenzie, Mazingira ndiyo yaliamua.Watanzani Hawa kusema Nchi watu wapokezane kàma mali Yao ya Urithi hapana.Kikundi Cha watu Kwa Maslahi Yao Binafsi walimpambania Edo,lakini ki ukweli watanzania hawakumtaka.
 
Kikwete yeye mwenyewe nafsi inamuhukumu,kwa aliyomfanyia Lowassa,Kikwete ni katili sana,sampling ya muovu
Alimfanyia nini wewe K? JK alikuwa Rais na Lowassa alipewa uwaziri Mkuu, au ulitaka ateuliwe kuwa mke wa 3 wa JK??
 
Sasa wewe ndo msemaji wa kikwete au? Kama familia ya Edo inamwona kikwete kuwa ni msaliti na ika mnyima fursa ya kutoa neno msibani wewe N nani ubishe harafu unaumia nini kikwete akisemwa,? Kama ufisadi wote walikuwa wezi na mafisadi wakubwa . Ila kikwete ni msalitiiiii

Umejuaje kama alinyimwa; what if JK hakutaka kuongea tena ?
 
JK alijua hakika kuwa EL akiwa rais, bas kipindi cha miaka 10 cha uongozi wa EL kungefanyika makubwa sana ambayo yeye hata kama angekaa miaka 30 asingeweza kuyafanya.

JK alimjua EL kuwa ni mtu asiyeendekeza ufanyaji kazi kwa mazoea na ushikaji wa kizembe kama wake.
EL alikuwa ni mtu anayejali zaidi "weredi" kuliko ushikaji kama huyo mswahili.
Elimu.
Elimu.
Elimu.

JK hakuwa tayari azidiwe umaarufu (kama rais mstaafu) na EL akiwa rais mstaafu.
JK aliamini kabisa kuwa EL akiwa rais basi angefanya makubwa kiasi kwamba yeye angeonekana ni rais wa hovyo kupata kutokea Tanzania.
HAYA SASA NDIO MATATIZO YA AKILI.
 
JK kosa lake ni moja tuu
Kukata jina la Lowasa basi
Hakuwa na sababu za msingi za kumkata Lowasa wala Lowasa hakuitaji favour ku campaign urais wake ndio mana alishinda hata alipokuwa chadema lakini wakapindua matokeo

Ndio maana JPM alimuheshimu sana Lowasa sababu alijua kuwa Lowasa alishinda uchaguzi
Vichekesho hivi...
 
Kuna mtu anamlaumu Kikwete kwa kumkata Lowasa kwenye uraisi mkuu? Hoja inayojengwa ni Kikwete kuwa mnyima wa fadhila alizopata kwa Lowasa hata kufikia kuwa raisi. Alikuwa na nafasi ya kuendelea kutunza urafiki wao bila kuhusisha na nafasi za uongozi wa nchi. Hili la kuongoza nchi sio jambo la kirafiki, ni jambo la mtu mmoja mmoja. Kuna taarifa kwamba baada ya mwenzake kukiuzulu katika skendo ambayo ilisukwa vizuri ikasukika, JK aliamua kuwa adui wa kudumu wa Lowasa na kupambana naye hata nje ya mfumo. Jamaa hata wakati ndugu yake na rafiki yake huyu akipitia magumu hakuwahi angalau kwenda kumpa pole ya afya. Hii roho ngumu na mbaya ndicho wanachohoji watu na Wala sio mambo ya uraisi.
JK apambane na Lowassa? Lowassa alizidiwa kila kitu na Kikwete.
Umri
Madaraka
Hata Jeshini Kikwete aliku mkubwa.

Hivi huwa mnatumia akili kweli?
Mwaka 1995 kati ya Lowassa na Kikwete mtu maarufu alikuwa Kikwete kuliko Lowassa, haijawahi kutokea Lowassa akamzidi Umaarufu Kikwete hata siku moja.
 
CHADEMA LIST OF SHAME

IMG_1484.jpg
 
JK apambane na Lowassa? Lowassa alizidiwa kila kitu na Kikwete.
Umri
Madaraka
Hata Jeshini Kikwete aliku mkubwa.

Hivi huwa mnatumia akili kweli?
Mwaka 1995 kati ya Lowassa na Kikwete mtu maarufu alikuwa Kikwete kuliko Lowassa, haijawahi kutokea Lowassa akamzidi Umaarufu Kikwete hata siku moja.

Watakuwa wanadhan mvi ni umri

Lowassa ana asili ya mvi; Fredy anamvi nyingi kuliko JK.

But in Truth JK is older than Edo , JK is 74 kama sikosei while Edo is 71
 
Back
Top Bottom