Imetosha Rais Samia, rudi Nyumbani sasa

Huwa huoni Rais wa Nigeria anaondoka Nchini to Infinity? Pengine kuna masuala ya kiafya unajuaje?
 
Mungu ndie anajuwa kwann huyu mtu kawa rais mungu anajuwa Aina ya rais watz wanataka Sasa tutulie na kushukuru sanaa
 
Sahii kbsa hata siku tatu
 
Kuna ndugu yetu mmoja living Cha jk alikuwa kila jk akienda nnje bas jamaa anarudi na Costa mbili mpya kbsa

Sas HV anamiliki mabus makubwa
 
Mm natokea Kanda ya kazkazin movie hyo ninmuhimu San vijan wangu wadau wa utalii uwaambii kitu dhid ya Safar hyo
 
Wengine hawajali kabisa hata uzito wa nafasi zao. Anakabidhi Ofisi kwa msg.[emoji846]
 
We jamaa sijui unajadili mada gani!!
 
[emoji81][emoji81]uyu mother kutuona maboya sana
 
Hivi huyu Baba ake Rihanna ndio alikuwa anauza nguo zake sijui za mwanae Rihanna Au nimechanganya madawa?
 
Ok tuseme uko sahihi, alipinga hizo ziara lakini alikuwa anaua raia wake. Je kipi ni kabaya kati ya ziara na uuaji wa raia wako kisa tu kakupinga?
Hata asingewauwa hao watu wangekufa tu hakuna njia ya kuzuia kifo ila njia ya kuzuia ziara ipo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…