Imetosha Rais Samia, rudi Nyumbani sasa

Imetosha Rais Samia, rudi Nyumbani sasa



Ata wewe unajua hilo swala ni la uongo vifo vilishatolewa maelezo na video zipo za watu waliokamatwa kwa ubebaji haramu.
Vip kuhusu Azori, Ben Saanane + Mh. Lissu ambaye hakufa?
 
Sipingi umuhimu wa safari ya Royal Tour Nchini Marekani, natambua faida za kimsingi za safari hiyo.

Mhe Rais tangu uondoke ni takribani wiki moja na ushehee sasa.

Tumeona msafara ulioambatana nao ukijumlisha na gharama za wasaidizi wako wa karibu, niseme imetosha Mhe. Rais rudi nyumbani sasa. Shughuli ya muhimu iliyokupeleka tayari imekamimilika. Shughuli ndogo ndogo kama za kutembelea viwanda vya viwatilifu hazina msingi wa kukufanya kuendelea kuwepo US.

Mhe. Rais imetosha. Unafanya mengi mema na mazuri wacha hili la kuoverstay US lisikuchafulie kwa wanaokupinga. Itoshe kusema imetosha.
mzee wa msoga aka Jaakaya au muzazi mwenza wako huko eti eh! Jamaa mtaaluma wa ile mijambo muache madam afurahie! Madam Fatma kafunikwa jumla!
 
We unalipa kodi kias gan ad uanze kumpangia Raisi nn cha kufanya na kwa wakat gan
Walipa kodi wakubwa wako kmy sabu wanajua umuimu wa ziara ya Raisi ww mwanaharakati tena unaetumia ID feki humu JF unataka kuhoji na kumshauri Rais arudi wakat hujui nn kilimpeleka uko

2030 mbali bado jaman sjui mtateseka ad lin mtakufa mapema kwa kumeza Nyongo na SSH ndo ad 2030.
 
Vip kuhusu Azori, Ben Saanane + Mh. Lissu ambaye hakufa?
Nilitaka kuweka hilo nilijua tu utakuja na hayo majina mawili; umesahau na wahanga wa Kibiti.

Mambo yote hayo hina ushahidi kama aliamuru yeye mwenyewe binafsi na wala hayo matukio ayakidhi vigezo vya kumuita mtu muuaji.

Yaani mnavyosema jamaa alikuwa katili mtadhani mna ushahidi, hayo mambo ya genocide tuyasikie tu.

Ebu angalieni ata vipindi YouTube vya madikteta kama kina Milosevic salaleeh Albania awawezi msahau miaka mingi sana.
 
Nadhani watanzania wanaoishi NY kama kuna wanazi wa siasa za Tanzania wanaokutana na hao watu private watakwambia kufuru ya msafara halisi na posho zao.

Sikia tu raisi anapoondoka airport unamuona pekee yake, ila mijitu iliyotangulia mbele yake kutoka kitengo cha raisi inaweza fika ata 50.

Na kwenye hizi ziara za matukio mengine ambazo zina wizara na taasisi mbalimbali sijui fedha, biashara, afya na watu wa mbugani huko mpaka siku uone wakiwa nje ya nchi kama ujawahi kuwaona ndio utaelewa kwanini Magufuli alizipiga marufuku hizi trip.
Wanawake hoyeee
 
Sipingi umuhimu wa safari ya Royal Tour Nchini Marekani, natambua faida za kimsingi za safari hiyo.

Mhe Rais tangu uondoke ni takribani wiki moja na ushehee sasa.

Tumeona msafara ulioambatana nao ukijumlisha na gharama za wasaidizi wako wa karibu, niseme imetosha Mhe. Rais rudi nyumbani sasa. Shughuli ya muhimu iliyokupeleka tayari imekamimilika. Shughuli ndogo ndogo kama za kutembelea viwanda vya viwatilifu hazina msingi wa kukufanya kuendelea kuwepo US.

Mhe. Rais imetosha. Unafanya mengi mema na mazuri wacha hili la kuoverstay US lisikuchafulie kwa wanaokupinga. Itoshe kusema imetosha.

Tumwache Mama afanye kazi jumamosi anakutana na Watanzania wa US ambao wanatuma zaidi ya $400M kwa mwaka unataka akimbilie nini hasa! Unajua kapata kiasi gani cha fedha huku! Tuache ushamba kama wana agenda basi tu pinge agenda. Raisi anatumia nafasi hii kufanya mambo mengine ya serikali. Hapa kuna UN, world bank, watalii, states 50 watu zaidi ya milioni 350 sio saws na kwenda Rwanda yenye watu 12M . Uchumi wa hapa ni $21T akipata wawekezaji ni bora sana kwa nchi yetu
 
ana bahati amekua rais kwenye nchi ya makobe,,,,,,maeneo kama Gabon huko angekuta ikulu ina watu wengine,,,,vyombo vyake vyote vipo nje
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nmeamini tz inaweza kujiendesha bila rais hata kwa miaka 30
 
Ok tuseme uko sahihi, alipinga hizo ziara lakini alikuwa anaua raia wake. Je kipi ni kabaya kati ya ziara na uuaji wa raia wako kisa tu kakupinga?
Tutajie raia 5 aliowaua
 
Mama anaupiga mwingi [emoji23][emoji23][emoji23]. Mpk amalize utawala kashafanya ziara nchi zote.... Kazi iendelee[emoji28][emoji28]
 
Acha ajifunze jinsi Demokrasia ,haki na uhuru wa watu vinavyoweza kusaidia Taifa Kupiga hatua.

Tunataka haki na Demokrasia ya kweli sio upumbavu uliotufanya kuwa na wasomi vilaza wasiolusaidia kitu Taifa hili zaidi ya unafiki na kujikombakomba.

Pakiwa na Demokrasia ya kweli Wasomi wanafiki kama akina Mkumbo, Bashiru, Kabudi na Wengine watarudisha akili zao. Mana itakua ni ama ukweli au uwongo. Nyeupe ni nyeupe na nyeusi ni nyeusi. Wananchi wataamua Kwa sera sio vitisho vya Sasa. Watu wanajua ukweli lakini wanafanya unafiki.

Kitilya Mkumbo awamu ya Tano aliona jinsi ilivyokua sekta binafsi zilizokuwa zinatoa ajira lakini hakusema akafurahia kuona watanzania wasomi wakibaki kuwa wachuuzi wa kuuza midoli ya viwanda vya china barabarani.

Kabla ya Kitilya Mkumbo kuwa Waziri wa nchi hii Vijana Toka Lindi na Mtwara walianza kurudi vijijini na kulima Korosho walipoona Bei ya korosho na soko la uhakika. Vijana walipata pesa za uhakika na nchi iliingiza pesa nyingi za kigeni. Mkumbo na Genge lake waliua soko la Korosho na kuwafanya Vijana wa kimachinga kukimbilia Tena Dar es Salaam na kujazana mitaani kuuza yeboyebo Toka China na viatu vya plastiki huku sendo za kimasai na viatu vya ngozi Toka Lukaranga vikikosa soko.

Kama safari ya mama ni hasara Kwa Taifa basi Bunge lijadili hasara hiyo Kwa Taifa kama wanavyojadili Bodaboda kuingia katikati ya mji.

Yani uzuzie Noah kubebe abiria na Hiace kuingia katikati ya mji halafu uruhusu Bajaji na Pikipiki. Ni akili au matope.
Hivi haki unaweza kuinwea chai, nauliza tu lakini [emoji848]
 
Sipingi umuhimu wa safari ya Royal Tour Nchini Marekani, natambua faida za kimsingi za safari hiyo.

Mhe Rais tangu uondoke ni takribani wiki moja na ushehee sasa.

Tumeona msafara ulioambatana nao ukijumlisha na gharama za wasaidizi wako wa karibu, niseme imetosha Mhe. Rais rudi nyumbani sasa. Shughuli ya muhimu iliyokupeleka tayari imekamimilika. Shughuli ndogo ndogo kama za kutembelea viwanda vya viwatilifu hazina msingi wa kukufanya kuendelea kuwepo US.

Mhe. Rais imetosha. Unafanya mengi mema na mazuri wacha hili la kuoverstay US lisikuchafulie kwa wanaokupinga. Itoshe kusema imetosha.
Kuna washauri wake wanamtega aingie mkenge
 
It's very disturbing, hivi unaondokaje nchi yako ukitembelea nchi nyingine for days? I'll iweje...safari ya kikazi, hata kama ni hiyo tour, not more than 2days umerudi kwenye majukumu yako.

The real image of a normal Tanzanian inaonekana dhahiri hapa, tunapenda "kupumzika na kutembelea"!

Shame!
Hivi mama bado yuko ughaibuni?
Nadhani sasa anawachosha hata wenyeji wake. Sio jambo la kawaida kuwa na ugeni sensitive kama huo katika nchi yako kwa mda mrefu hivyo.
Hivi ni nani anakaimu ofisi kisheria au tunaenda kwa Autopilot? Kama ni VP, lazima iwe kimaandishi/gazeted.
 
Back
Top Bottom