Imetosha Rais Samia, rudi Nyumbani sasa

Imetosha Rais Samia, rudi Nyumbani sasa

Namuona anapiga selfie na baba yake Rihanna! Dah yale yale ya mkwere na 50 Cent
 
Mwacheni ale bata, Mwendazake alikaa zizini mkaanza kumsema 😀 😀 😀
 
Wewe mwenye akili kubwa upo tu unaongozwa na mwenye akili ndogo. Hapo utajua nani mwenye akili kuwa na nani ana akili ndogo
Yeah, kwani kafika hapo kwa kushindana na kushindanishwa? Maisha ni awkward namna hiyo kwamba mnaweza jikuta mnaongozwa na mtu wa ajabu ajabu.
 
Hata yote yanasababishwa na wanaccm ambao hawataki kuambiwa ukweli,ukweli huwa unauma owe taasisi,mtubinafsi na makundi mengine,Sasa ili kuyaondoa haya Ni kuutoa mfumo uliopo Sasa na watanzania mjutie haya yanajitokeza kwenye tawala za ccm.
 
Mkuu msikilizie kidogo....

Ngoja akabembee kwanza na apate kapicha kamoja na Beyonce..
 
Raisi wa nchi atakiwi kukaa mda mrefu ugenini atadharaulika
 
Shangazi yangu mbona hasira asbh asbh!!au nauli imepanda aunt yangu!!relax shangazi yangu huu mchezo hauhitaji hasiraaa
Mimi siyo mnyonge, kama nauli kupanda kwako ni ishu jua siyo kwa wote. Kwangu labda ungesema petrol kupanda japo pia siyo ishu sana
 
Yaani team yake ya washauri dah thanks god uwepo wake huko sio habari kwa wamarekani.

Hivi katika nchi yenye celebrities wote maarufu waliowahi kuja kutembelea Tanzania wanaenda mkutanisha na baba yake Rihanna.

Rihanna mwenyewe miaka michache nyuma alimfungulia kesi baba yake kutumia jina lake vibaya jambo ambalo alidai linamchafulia brand yake.

Isitoshe baba yake Rihanna ana historia ndefu ya kuwa teja tena anaetumia crack cocaine and heroin; huyo mtu si ukimpa hela mbuzi tu anakutana ata na diwani wa kata Tanzania akienda USA.

Swala la baba yake Rihanna kuwa mtu wa ovyo ata watanzania wengi vijana wanajua na miaka yote Rihanna alikuwa aongei na baba yake kama kupatana ni hivi karibuni tu.

Hawa watu wanamfanya raisi wetu na nchi kwa ujumla kuonekana kichekesho, kama hana cha kufanya si harudi tu. Yaani baba yake Rihanna ni big deal kwetu wakati tuna msanii anajiandaa kufanya kazi na Rihanna mwenyewe.

The good thing kwenye hii ziara hata wamarekani wana pata full picture kwanini kuna watu serikalini walikuwa awataki mtu kama Magufuli kwa huo ufujaji wa hela wanaoushuhudia kwenye hii ziara kutoka nchi maskini.

“To make something special, you gotta make people believe it’s special first”, yaani kitendo cha kumpiga picha raisi na baba Rihanna kama kigezo cha kusema amekutana na star mkubwa huko; ni kuivunjia heshima taasisi ya uraisi Tanzania.
 
Yaani team yake ya washauri dah thanks god uwepo wake huko sio habari kwa wamarekani.

Hivi katika nchi yenye celebrities wote maarufu waliowahi kuja kutembelea Tanzania wanaenda mkutanisha na baba yake Rihanna.

Rihanna mwenyewe miaka michache alimfungulia kesi baba yake kutumia jina lake vibaya jambo ambalo alidai linamchafulia brand yake.

Isitoshe baba yake Rihanna ana historia ndefu ya kuwa teja tena anaetumia crack heroin; huyo mtu si ukimpa hela mbuzi tu anakutana ata na diwani wa kata Tanzania. Swala ambalo ata watanzania wengi wanajua na miaka yote Rihanna alikuwa aongei na baba yake kama kupatana ni hivi karibuni tu.

Hawa watu wanamfanya raisi wetu na nchi kwa ujumla kuonekana kichekesho, kama hana cha kufanya si harudi tu. Yaani baba yake Rihanna ni big deal kwetu wakati tuna msanii anajiandaa kufanya kazi na Rihanna mwenyewe.

The good thing kwenye hii ziara hata wamarekani wana pata full picture kwanini kuna watu serikalini walikuwa awataki mtu kama Magufuli kwa huo ufujaji wa hela wanaoushuhudia kwenye hii ziara kutoka nchi maskini.
Ulikuwa na point ila umeharibu mwishoni kwa kumtaja na kuonyesha kuwa wewe ni mfuasi wa shetani (Jiwe)
 
Ulikuwa na point ila umeharibu mwishoni kwa kumtaja na kuonyesha kuwa wewe ni mfuasi wa shetani (Jiwe)
Nadhani watanzania wanaoishi NY kama kuna wanazi wa siasa za Tanzania wanaokutana na hao watu private watakwambia kufuru ya msafara halisi na posho zao.

Sikia tu raisi anapoondoka airport unamuona pekee yake, ila mijitu iliyotangulia mbele yake kutoka kitengo cha raisi inaweza fika ata 50.

Na kwenye hizi ziara za matukio mengine ambazo zina wizara na taasisi mbalimbali sijui fedha, biashara, afya na watu wa mbugani huko mpaka siku uone wakiwa nje ya nchi kama ujawahi kuwaona ndio utaelewa kwanini Magufuli alizipiga marufuku hizi trip.
 
Pesa hizo sio kodi za watanzani ni wadau mbali mbali... Kipi kinakuuma
 
Back
Top Bottom