Bushmaster
JF-Expert Member
- Jan 18, 2022
- 583
- 1,265
Tunamsubiri hapa Las Vegas, ametupita hapa wakati tulikua tunamsubiria
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha.. popoma .. wee si ndo anti magu.. vip tena.. huyu haupigi mwing??Fisadi[emoji205][emoji205][emoji205]View attachment 2196012
Mwache akae mkuu, hana haja ya kuwahi kwani ananyonyeshaSipingi umuhimu wa safari ya Royal Tour Nchini Marekani, natambua faida za kimsingi za safari hiyo.
Mhe Rais tangu uondoke ni takribani wiki moja na ushehee sasa.
Tumeona msafara ulioambatana nao ukijumlisha na gharama za wasaidizi wako wa karibu, niseme imetosha Mhe. Rais rudi nyumbani sasa. Shughuli ya muhimu iliyokupeleka tayari imekamimilika. Shughuli ndogo ndogo kama za kutembelea viwanda vya viwatilifu hazina msingi wa kukufanya kuendelea kuwepo US.
Mhe. Rais imetosha. Unafanya mengi mema na mazuri wacha hili la kuoverstay US lisikuchafulie kwa wanaokupinga. Itoshe kusema imetosha.
Naenda kama nani?Wewe toka umezaliwa umeenda mara ngapi mpwapwa? Usukuma gang unakusumbua
Mpuuzi wewe, si ajibu kwanzaUmeulizwa swali unajibu ujinga, sasa bush boy na Marekani wapi na wapi?
Ila ameshaenda kwenye jimbo la Mbowe kama mara mbili au tatu hivi.Tangu amekuwa Rais ameshaenda Marekani mara 3 lakini hajawahi kufika Mbeya tu hapo 800KM kutoka Dar
Kwa Mbowe alienda lini na lini?Ila ameshaenda kwenye jimbo la Mbowe kama mara mbili au tatu hivi.
mbeya kuna nn? kwan watzee maneno mengiiiiii kisa hujenda weye.baati ya mwenzio usilalie mlango wazTangu amekuwa Rais ameshaenda Marekani mara 3 lakini hajawahi kufika Mbeya tu hapo 800KM kutoka Dar
Unaelewa ulichokiandika?mbeya kuna nn? kwan watzee maneno mengiiiiii kisa hujenda weye.baati ya mwenzio usilalie mlango waz
Sipingi umuhimu wa safari ya Royal Tour Nchini Marekani, natambua faida za kimsingi za safari hiyo.
Mhe Rais tangu uondoke ni takribani wiki moja na ushehee sasa.
Tumeona msafara ulioambatana nao ukijumlisha na gharama za wasaidizi wako wa karibu, niseme imetosha Mhe. Rais rudi nyumbani sasa. Shughuli ya muhimu iliyokupeleka tayari imekamimilika. Shughuli ndogo ndogo kama za kutembelea viwanda vya viwatilifu hazina msingi wa kukufanya kuendelea kuwepo US.
Mhe. Rais imetosha. Unafanya mengi mema na mazuri wacha hili la kuoverstay US lisikuchafulie kwa wanaokupinga. Itoshe kusema imetosha.
Hakuna Mtz asyelipa kod, kaa ukljua hiliKwani akisafiri kwenda huko wewe kinakuuma nini? Ukute hata kodi hulipi kazi kulalama tu.
Wengine mna comment ili mradi tuu, nani ambaye anaifahamu AICC huko duniani? Idea ya kwenda Marekani kufanya uzinduzi ni ya msingi sana.Mpaka Leo sijaona mantiki ya kuzinduliwa filamu USA bora ingekuwa hata Serengeti au Arusha AICC .
Kuwa open..Rais anachofanya binafsi nimemshangaa...is She Okay.?w
Wengine mna comment ili mradi tuu, nani ambaye anifahamu AICC huko duniani? Idea ya kwenda Marekani kufanya uzinduzi ni ya msingi sana.
Ila mengine yanayoendelea binafsi NO COMMENT.
Hana pressure kabisa,mama anaupiga mwingi bhna, kila mbuzi atakula urefu wa kamba yake kwamba umesahau mara hii
😁😁😁Ila hii nchi ngumu Sana.Acheni nongwa, wenyewe wanasema hiyo ziara;
"Hakuna hata senti moja ya serikali imetumika"
Hapo bado hajaenda hata kubembea kama mkwere.
View attachment 2196028Atarudi usiku wa kuamkia Mei mosi.
Haaaahaaaaa.....Haya bwana. Rais hashauriwi.