Imetosha Rais Samia, rudi Nyumbani sasa

Imetosha Rais Samia, rudi Nyumbani sasa

Wakati mwingine nafikiri marais style za Kikwete na mama Samia huwa wanatamani Tanzania liwe jimbo la Marekani na wao kujiona kama magavana wa jimbo la Tanzania. Ogopa sana kuongozwa na mtu mwenye akili ndogo.
Hizi ndizo fikra zako kabisa! Ni ngumu mtu kufikiria kitu kwa mwenzake ambacho si halisi kama na yeye hafikirii hicho kitu ktk akili yake. Kwa sababu unaweza kuthibitisha kama wanawaza hivi? #Heshimu viongozi wa nchi na tumia kwa busara uhuru wa maoni.🙏🙏🙏
 
Kwa upande wangu naona jimbo moja tu lingetosha kuzindulia hiyo Filamu, hayo ya kutembea na kuzindua filamu hiyo hiyo katika majimbo mawili tofouti, ulikuwa mkakati wa wahuni ili waendelee kufuja fedha za umma.

Pia ukiangalia dhumuni la safari ya mama ilikuwa kuzindua filamu tu ila katikati hapo wahuni hao hao wamechomeka ratiba zao kumtembeza katika maeneo mbalimbali ya marekani kumkutanisha na celebrities kwa ajili ya kupiga nae picha.

Kwa ufupi safari hii haikupaswa kuchukua wiki mbili siku tano ilitosha kabisa na kuweza kurudi nyumbani.
 
Kwa upande wangu naona jimbo moja tu lingetosha kuzindulia hiyo Filamu, hayo ya kutembea na kuzindua filamu hiyo hiyo katika majimbo mawili tofouti, ulikuwa mkakati wa wahuni ili waendelee kufuja fedha za umma.

Pia ukiangalia dhumuni la safari ya mama ilikuwa kuzindua filamu tu ila katikati hapo wahuni hao hao wamechomeka ratiba zao kumtembeza katika maeneo mbalimbali ya marekani kumkutanisha na celebrities kwa ajili ya kupiga nae picha.

Kwa ufupi safari hii haikupaswa kuchukua wiki mbili siku tano ilitosha kabisa na kuweza kurudi nyumbani.
Wahuni wanataka posho

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Kwa upande wangu naona jimbo moja tu lingetosha kuzindulia hiyo Filamu, hayo ya kutembea na kuzindua filamu hiyo hiyo katika majimbo mawili tofouti, ulikuwa mkakati wa wahuni ili waendelee kufuja fedha za umma.

Pia ukiangalia dhumuni la safari ya mama ilikuwa kuzindua filamu tu ila katikati hapo wahuni hao hao wamechomeka ratiba zao kumtembeza katika maeneo mbalimbali ya marekani kumkutanisha na celebrities kwa ajili ya kupiga nae picha.

Kwa ufupi safari hii haikupaswa kuchukua wiki mbili siku tano ilitosha kabisa na kuweza kurudi nyumbani.
Tumetumiwa mapicha eti Raisi Samia kakutana na baba mzazi wa Rihanna. Najiuluza mimi Mtanzania wa hapa igegu nafaidika nini wao kukutana?kazi tunayo aisee
 
It's very disturbing, hivi unaondokaje nchi yako ukitembelea nchi nyingine for days? I'll iweje...safari ya kikazi, hata kama ni hiyo tour, not more than 2days umerudi kwenye majukumu yako.

The real image of a normal Tanzanian inaonekana dhahiri hapa, tunapenda "kupumzika na kutembelea"!

Shame!
Halafu kutuga koote huko joe Biden hajakutana nae, amekutana na Kamala Haris kwa bahati Mbaya Tu.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Tumetumiwa mapicha eti Raisi Samia kakutana na baba mzazi wa Rihanna. Najiuluza mimi Mtanzania wa hapa igegu nafaidika nini wao kukutana?kazi tunayo aisee
Hadi sasa haijafahimika Mama samiah ameenda kule kama Rais, Mlimbwende ama mhamasishaji wa utalii…

Naona kila siku ni mwendo wa kufutulisha na kupiga selfie tu…
 
Nimepiga hesabu za harakaharaka.
Delegation sio chini ya watu
Mawaziri wapo wa4(Mwigulu,Pindi Chana,Mulamula,Kijaji)-Kila waziri useme ana watu wake watano-Jumla 20.
Rais na protocol officers,wasemaji na walinzi (Watanzania) nae tuseme wako 20.
Wapiga ngoma nimehesabu wako 10.
Wasindikizaji--kina Idris et al--nao tuseme wako 10.
Watu 60---wakilala hotel ya kawaida kabisa US--roughly ni 200$---kwa watu 60 ni 12,000USD kwa siku(Siku kumi 120,000USD).
Gharama ya kukodisha ukumbi wa Guggenheim kwa usiku mmoja(walipozindulia NY)--sidhani kama inapungua 100,000USD(labda kama walipata diplomatic green flag ya serikali ya US).
Magari na security detail ya Rais(40,000USD per day kwa bei ya chini kabisa)/per car na SD mmoja.
Bado Nauli---Hawajala---Hawajaandaa vikao "hewa"---na VX zao huku bado zinaendelea kujazwa na kula misele na familia zao.
Kukisia tu hii safari sio chini ya Bilioni 3 za walipakodi walalahoi.
Mshana Jr
 
Hizi ndizo fikra zako kabisa! Ni ngumu mtu kufikiria kitu kwa mwenzake ambacho si halisi kama na yeye hafikirii hicho kitu ktk akili yake. Kwa sababu unaweza kuthibitisha kama wanawaza hivi? #Heshimu viongozi wa nchi na tumia kwa busara uhuru wa maoni.🙏🙏🙏
Kumuheshimu mpumbavu ni kutafura laana
 
Hizi ndizo fikra zako kabisa! Ni ngumu mtu kufikiria kitu kwa mwenzake ambacho si halisi kama na yeye hafikirii hicho kitu ktk akili yake. Kwa sababu unaweza kuthibitisha kama wanawaza hivi? #Heshimu viongozi wa nchi na tumia kwa busara uhuru wa maoni.🙏🙏🙏
How on earth Rais wa nchi huru kama Tanzania (watu milioni 60 na ushee!) anasafiri kwenda Marekani anakaa huko zaidi ya wiki? I mean rais wa nchi anakaa zaidi ya wiki katika nchi moja? Can you imgine Xi Jinping akae Marekani zaidi ya hata ya siku mbili?

Ni akili ndogo tu, Rais wa nchi ni mtu mkubwa mno kufanya kitu kama hicho ni akili za kitumwa tu. Mkuu wa nchi safari zake lazima ziwe very, very significant na very brief. JPM alivyosafiri tu Rwanda na South Africa nchi nzima na bara zima la Africa lizizima. Kote huko sidhani hata siku alizokaa zilizidi mbili lakini tetemeko lake lilitikisa bara zima. Mimi mwenyewe isingekuwa natembelea JF nisingejua kama mama yupo US.

Tofauti ya JPM na hao akina mama na JK ni nini? Ni moja tu nayo ni kuamini kwamba nguvu ya taifa haiwezi kutokana na kujipamba kwa nje na kujitembezatembeza. Yaani mmarekani ndio aje akusolvie matatizo yako yote? Fix your own thing na toka nje pale inapobidi. Aaargh!
 
Back
Top Bottom