Imetosha Rais Samia, rudi Nyumbani sasa

Imetosha Rais Samia, rudi Nyumbani sasa

Acha ajifunze jinsi Demokrasia ,haki na uhuru wa watu vinavyoweza kusaidia Taifa Kupiga hatua.

Tunataka haki na Demokrasia ya kweli sio upumbavu uliotufanya kuwa na wasomi vilaza wasiolusaidia kitu Taifa hili zaidi ya unafiki na kujikombakomba.

Pakiwa na Demokrasia ya kweli Wasomi wanafiki kama akina Mkumbo, Bashiru, Kabudi na Wengine watarudisha akili zao. Mana itakua ni ama ukweli au uwongo. Nyeupe ni nyeupe na nyeusi ni nyeusi. Wananchi wataamua Kwa sera sio vitisho vya Sasa. Watu wanajua ukweli lakini wanafanya unafiki.

Kitilya Mkumbo awamu ya Tano aliona jinsi ilivyokua sekta binafsi zilizokuwa zinatoa ajira lakini hakusema akafurahia kuona watanzania wasomi wakibaki kuwa wachuuzi wa kuuza midoli ya viwanda vya china barabarani.

Kabla ya Kitilya Mkumbo kuwa Waziri wa nchi hii Vijana Toka Lindi na Mtwara walianza kurudi vijijini na kulima Korosho walipoona Bei ya korosho na soko la uhakika. Vijana walipata pesa za uhakika na nchi iliingiza pesa nyingi za kigeni. Mkumbo na Genge lake waliua soko la Korosho na kuwafanya Vijana wa kimachinga kukimbilia Tena Dar es Salaam na kujazana mitaani kuuza yeboyebo Toka China na viatu vya plastiki huku sendo za kimasai na viatu vya ngozi Toka Lukaranga vikikosa soko.

Kama safari ya mama ni hasara Kwa Taifa basi Bunge lijadili hasara hiyo Kwa Taifa kama wanavyojadili Bodaboda kuingia katikati ya mji.

Yani uzuzie Noah kubebe abiria na Hiace kuingia katikati ya mji halafu uruhusu Bajaji na Pikipiki. Ni akili au matope.
 
Sipingi umuhimu wa safari ya Royal Tour Nchini Marekani, natambua faida za kimsingi za safari hiyo.

Mhe Rais tangu uondoke ni takribani wiki moja na ushehee sasa.

Tumeona msafara ulioambatana nao ukijumlisha na gharama za wasaidizi wako wa karibu, niseme imetosha Mhe. Rais rudi nyumbani sasa. Shughuli ya muhimu iliyokupeleka tayari imekamimilika. Shughuli ndogo ndogo kama za kutembelea viwanda vya viwatilifu hazina msingi wa kukufanya kuendelea kuwepo US.

Mhe. Rais imetosha. Unafanya mengi mema na mazuri wacha hili la kuoverstay US lisikuchafulie kwa wanaokupinga. Itoshe kusema imetosha.

Kwa nini mababu zetu hawakuwashirikisha wanawake kwenye vikao vya maamuzi​

 
Sipingi umuhimu wa safari ya Royal Tour Nchini Marekani, natambua faida za kimsingi za safari hiyo.

Mhe Rais tangu uondoke ni takribani wiki moja na ushehee sasa.

Tumeona msafara ulioambatana nao ukijumlisha na gharama za wasaidizi wako wa karibu, niseme imetosha Mhe. Rais rudi nyumbani sasa. Shughuli ya muhimu iliyokupeleka tayari imekamimilika. Shughuli ndogo ndogo kama za kutembelea viwanda vya viwatilifu hazina msingi wa kukufanya kuendelea kuwepo US.

Mhe. Rais imetosha. Unafanya mengi mema na mazuri wacha hili la kuoverstay US lisikuchafulie kwa wanaokupinga. Itoshe kusema imetosha.
Ngoja aonane na Rihana kwanza.
 
Mhe. Rais imetosha. Unafanya mengi mema na mazuri wacha hili la kuoverstay US lisikuchafulie kwa wanaokupinga. Itoshe kusema imetosha.


Alaa, Kumbe shida yako ni wale wanaompinga na si masuala ya gharama za matumizi anapozidi kuwepo huko??!!😨
 
Wakati mwingine nafikiri marais style za Kikwete na mama Samia huwa wanatamani Tanzania liwe jimbo la Marekani na wao kujiona kama magavana wa jimbo la Tanzania. Ogopa sana kuongozwa na mtu mwenye akili ndogo.
 
 
Sipingi umuhimu wa safari ya Royal Tour Nchini Marekani, natambua faida za kimsingi za safari hiyo.

Mhe Rais tangu uondoke ni takribani wiki moja na ushehee sasa.

Tumeona msafara ulioambatana nao ukijumlisha na gharama za wasaidizi wako wa karibu, niseme imetosha Mhe. Rais rudi nyumbani sasa. Shughuli ya muhimu iliyokupeleka tayari imekamimilika. Shughuli ndogo ndogo kama za kutembelea viwanda vya viwatilifu hazina msingi wa kukufanya kuendelea kuwepo US.

Mhe. Rais imetosha. Unafanya mengi mema na mazuri wacha hili la kuoverstay US lisikuchafulie kwa wanaokupinga. Itoshe kusema imetosha.
Mwache atembee ili atafute misaada kwa ajili ya wananchi wake.
 
Sipingi umuhimu wa safari ya Royal Tour Nchini Marekani, natambua faida za kimsingi za safari hiyo.

Mhe Rais tangu uondoke ni takribani wiki moja na ushehee sasa.

Tumeona msafara ulioambatana nao ukijumlisha na gharama za wasaidizi wako wa karibu, niseme imetosha Mhe. Rais rudi nyumbani sasa. Shughuli ya muhimu iliyokupeleka tayari imekamimilika. Shughuli ndogo ndogo kama za kutembelea viwanda vya viwatilifu hazina msingi wa kukufanya kuendelea kuwepo US.

Mhe. Rais imetosha. Unafanya mengi mema na mazuri wacha hili la kuoverstay US lisikuchafulie kwa wanaokupinga. Itoshe kusema imetosha.
Aisee,mana ana ratiba yake iliyopangwa,hakai huko mradi mradi tu
 
Sipingi umuhimu wa safari ya Royal Tour Nchini Marekani, natambua faida za kimsingi za safari hiyo.

Mhe Rais tangu uondoke ni takribani wiki moja na ushehee sasa.

Tumeona msafara ulioambatana nao ukijumlisha na gharama za wasaidizi wako wa karibu, niseme imetosha Mhe. Rais rudi nyumbani sasa. Shughuli ya muhimu iliyokupeleka tayari imekamimilika. Shughuli ndogo ndogo kama za kutembelea viwanda vya viwatilifu hazina msingi wa kukufanya kuendelea kuwepo US.

Mhe. Rais imetosha. Unafanya mengi mema na mazuri wacha hili la kuoverstay US lisikuchafulie kwa wanaokupinga. Itoshe kusema imetosha.
hizi safari ni yale yale ya awamuuu ileeeeee ya yule bwanaaaa
 
Back
Top Bottom