Kb Ulayaulaya
JF-Expert Member
- Jan 5, 2023
- 727
- 1,059
Ukiwa hujielewi ndo utaweza kuwasilisha haya.
Unapata wapi nguvu ya kuandika haya,IQ mdogo Sana.
Wale wanajielewa,sio nyie mapompoma,ya ndio mzee.
Gen Z Nchi nzima hakuna Cha ukabila Wala nn,they stand for Nation.
Uhuni wa wanasiasa,inabidi waanze kujitafajari Sasa.
Yaliyotokea Misri na wale wengine ndo hayo.
Ushawahi kusikia ujinga ujinga ukiendelea.
Mawazo finyu,mbali nayo nyie maiti zinazotembea.
Kenya wamestep forward.
Mwanasiasa,ndo anaamua uishi vp akishaingia madarakani,unasahau kuwa wewe ndo umempigia kura.Ambapo inatakiwa akusikilize wewe.
Shame on you guy.
Rwanda hakuna anayekohoa,Uganda mkono wa chumba,Tz Mazombie.Kenya hakuna kuburuzwa.
Unapata wapi nguvu ya kuandika haya,IQ mdogo Sana.
Wale wanajielewa,sio nyie mapompoma,ya ndio mzee.
Gen Z Nchi nzima hakuna Cha ukabila Wala nn,they stand for Nation.
Uhuni wa wanasiasa,inabidi waanze kujitafajari Sasa.
Yaliyotokea Misri na wale wengine ndo hayo.
Ushawahi kusikia ujinga ujinga ukiendelea.
Mawazo finyu,mbali nayo nyie maiti zinazotembea.
Kenya wamestep forward.
Mwanasiasa,ndo anaamua uishi vp akishaingia madarakani,unasahau kuwa wewe ndo umempigia kura.Ambapo inatakiwa akusikilize wewe.
Shame on you guy.
Rwanda hakuna anayekohoa,Uganda mkono wa chumba,Tz Mazombie.Kenya hakuna kuburuzwa.