Washabik wa ronaldo mnaakili mbovu na mihemko tu, hiv kati ya barca na messi nani anamuhitaji mwenzie kwa sasa ? Hay unafuatilia anayoyafanya messi Argentina??Kwa stats za mwaka jana ni kweli ana deserve kubeba hiyo tuzo, ila messi nje ya camp nou ni ombwee na hayo yanathibitika msimu huu
Huyu mwamba atachukua hii tuzo na mwakani pia ngoja aanze kuwasha moto
Maana kule Ufaransa atabeba kila kitu
Na huyu ndio mfalme wa soka duniani
Akili yako wewe ndio mbovu, kwanini umeanza kuweweseka na ronaldo?Washabik wa ronaldo mnaakili mbovu na mihemko tu, hiv kati ya barca na messi nani anamuhitaji mwenzie kwa sasa ? Hay unafuatilia anayoyafanya messi Argentina??
Kwa stats za mwaka jana ni kweli ana deserve kubeba hiyo tuzo, ila messi nje ya camp nou ni ombwee na hayo yanathibitika msimu huu
Washabik wa ronaldo mnaakili mbovu na mihemko tu, hiv kati ya barca na messi nani anamuhitaji mwenzie kwa sasa ? Hay unafuatilia anayoyafanya messi Argentina??
Swali lako kuhusu timu ya taifa hapo nadhani unatakiwa uelewe kuwa kusema kwamba messi haperfom timu ya taifa haimaanishi kwamba messi atakuwa anacheza kama fredy anavyo cheza man u, la hasha ila messi katika timu ya taifa kiwango chake kipo chini sana tofauti na barca ninajua wewe unafatilia mpira vizuri kwa hiyo sina haja ya kuanza kukumbusha critics anazo kutan nazo na mashabik wa nyumba au kuwek orodha ya michuano ya nyumbani alio perfom vibaya.Timu ya taifa ni camp nou pia?
Huko uingereza the big clubs amezifanya nini? Au huko nako ni camp nou!!!! Ujerumani,italy n.k ni camp nou!!!!! Sababu zingine bwana hazina mashiko.....
Kuhusu PSG hakuna asiejuwa wanambania pasi, na kila mchezaji analazimisha kuwa attacking midfielder wakati Messi yupo sema hawampi passes, na ndiyo maana wanapata matokea kwa tabu sana....kitu kingine kila mchezaji anataka afunge, huu ujinga utawacost sana.
Uyu jamaaaLewandoski anakuwa Robbed second time....
Moto wa lewandoski Ni ule ule.Umeambiwa njoo na takwimu sio kulalama tu. Leowandosk alistahili mwaka jana kama ingetolea ila sio mwaka huu
Mpira ni kama siasa[emoji4]Dah hii Dunia Bana...Leo Ramos amekuwa wa kumtetea Messi?
Msikilize Klop ambaye anaufaham zaidi huu mpira kulinganisha na sisi tunaoangalia tv na kusoma mitandaoni.Njoo na vigezo vinavyoonyesha anastahili