Bhikalamba
JF-Expert Member
- Dec 6, 2015
- 1,916
- 2,756
Mamia ya askari wa Rwanda waliokuwa wakipigana bega Kwa bega na waasibwa M23, wamefariki dunia Kwa kipindi Cha mwezi mmoja wa mapigano ya kuuteka mji wa Goma.
Taarifa za ndani zinasema askari waliouwawa walirudishwa nyumbani Rwanda na kuzikwa katika makaburi ya Kanombe, na wale walioshindwa kurejeshwa walizikwa kwenye makaburi ya pamoja huko huko DRC.
Source: The Guardian
Rwandan troops ‘dying in large numbers in DRC’, despite official denials of role Rwandan troops ‘dying in large numbers in DRC’, despite official denials of role
Taarifa za ndani zinasema askari waliouwawa walirudishwa nyumbani Rwanda na kuzikwa katika makaburi ya Kanombe, na wale walioshindwa kurejeshwa walizikwa kwenye makaburi ya pamoja huko huko DRC.
Source: The Guardian
Rwandan troops ‘dying in large numbers in DRC’, despite official denials of role Rwandan troops ‘dying in large numbers in DRC’, despite official denials of role