Imevuja: Mamia ya askari wa Rwanda wauawa huko DRC

Imevuja: Mamia ya askari wa Rwanda wauawa huko DRC

Wauliwe tu wote maana wanatesa sana watu wa Kongo
 
Siafiki hii. Sio lazima uwepo kwenye eneo la tukio ili uweze kujua kinachoendelea. Dunia kwa sasa ni kama kijiji. Hakuna kinachoshindikana kujulikana. Kwani yale ya Gaza ni wote walikuwako huko na wakaweza kujua habari mpaka zile za ceasefire? Kwani sote tuko hapo Ikulu ya Tz kwenye kikao cha maraisi? Lakini mbona tunajua kilichoendelea huko kikaoni?
 
Siafiki hii. Sio lazima uwepo kwenye eneo la tukio ili uweze kujua kinachoendelea. Dunia kwa sasa ni kama kijiji. Hakuna kinachoshindikana kujulikana. Kwani yale ya Gaza ni wote walikuwako huko na wakaweza kujua habari mpaka zile za ceasefire? Kwani sote tuko hapo Ikulu ya Tz kwenye kikao cha maraisi? Lakini mbona tunajua kilichoendelea huko kikaoni?
Achana nae,anajua anachokitaka... ndiyo maana nimemwitikia tu afurahishe nafsi
 
Vita Haina Draw
Wazee huwaketisha chini vijana waliokuwa wanatwangana na kuwaambia: "OK. inatosha sasa then ceasefire; na kila mtu aende kwake akajigange majeraha yake kwa gharama zake". Hahaha.. Inapendeza sana. Hakuna cha eti ni ngoma draw - i.e. wote mmeumia ila mnazidiana viwango tu.
 
Ktk nchi zooote zinazopakana na Congo, ni mipaka ya Rwanda na ugando ndo isio na utulivi.
 
Vita hainaga nani wala nani
Pande zote huwa lazima ziwe na madhara tu
Sasa hawa inabidi wafukuzwe hata walioingia wakati wa Kimbari watimuliwe huko maana wao ndio wenye fujo huko
Walikiwasha kwao na wameenda kupandikiza chuki huko Congo ambapo sio kwao
Walikaribishwa baada ya machafuko ya 94 sasa imekuwa kwao kabisa na vita wameanzisha
 
Mamia ya askari wa Rwanda waliokuwa wakipigana bega Kwa bega na waasibwa M23, wamefariki dunia Kwa kipindi Cha mwezi mmoja wa mapigano ya kuuteka mji wa Goma.

Taarifa za ndani zinasema askari waliouwawa walirudishwa nyumbani Rwanda na kuzikwa katika makaburi ya Kanombe, na wale walioshindwa kurejeshwa walizikwa kwenye makaburi ya pamoja huko huko DRC.

Source: The Guardian
Rwandan troops ‘dying in large numbers in DRC’, despite official denials of role Rwandan troops ‘dying in large numbers in DRC’, despite official denials of role
Vita ya mtandaoni mnaweza sana..
 
Tshishekedi mjinga sana Kwa kuwabagua wabanyamlenge ambao ni wazaliwa wa Kongo Kwa kudai eti siyo wakongo.Matokeo yake Nchi yake inajitenga.Safi sana kagame kuwasaidia banyamlenge
Unatoa comments kama vile una utapiamlo. Kwani Tshishekedi ana miaka mingapi kuwa rais wa Congo na migogoro ya eastern Congo imeanza lini? Eneo hili limekuwa na vita atangu enzi za Mobutu Sesseseko. Ndo Chanzo cha Congo First war and Congo Second War.
 
Unatoa comments kama vile una utapiamlo. Kwani Tshishekedi ana miaka mingapi kuwa rais wa Congo na migogoro ya eastern Congo imeanza lini? Eneo hili limekuwa na vita atangu enzi za Mobutu Sesseseko. Ndo Chanzo cha Congo First war and Congo Second War.
Kwa hiyo Kwa kuwa ana muda mchache wa uongozi ndiyo ashindwe kuumaliza huo mgogoro?Njia ya kumaliza huo mgogoro ni kuacha ubaguzi dhidi ya watu wa kitusi waishio congo ambao walikuwepo tangu miaka ya 1880.Tofauti na hapo ,vita itaendelea vizazi na vizazi
 
Eneo la Makaburi la Jeshi la Rwanda RDF lina makaburi mapya zaidi ya 600.
 
Tshishekedi mjinga sana Kwa kuwabagua wabanyamlenge ambao ni wazaliwa wa Kongo Kwa kudai eti siyo wakongo.Matokeo yake Nchi yake inajitenga.Safi sana kagame kuwasaidia banyamlenge

Soma vizuri siasa za maziwa makuu.

USIDANGANYWE KABISA KUHUSU UTUTSI (BANYAMULENGE NA ULE MGOGORO.)
FDLR..
 
Kwa hiyo Kwa kuwa ana muda mchache wa uongozi ndiyo ashindwe kuumaliza huo mgogoro?Njia ya kumaliza huo mgogoro ni kuacha ubaguzi dhidi ya watu wa kitusi waishio congo ambao walikuwepo tangu miaka ya 1880.Tofauti na hapo ,vita itaendelea vizazi na vizazi
Watutsi nyie ni kama wamasaai tu. Mnatangatanga sana. hamtulii mkaishi sehemu moja.
 
Watutsi nyie ni kama wamasaai tu. Mnatangatanga sana. hamtulii mkaishi sehemu moja.
Ni sahihi kabisa ni kama wamasai ambao wanapatikana nchi mbili ambazo ni Tanzania na Kenya.Na hatujawahi Kusikia Kenya imewafukuza Kwa kudai ni watanzania au Tanzania Kwa kudai ni wakenya kama ilivyo DRC dhidi ya wa tutsi
 
Mamia ya askari wa Rwanda waliokuwa wakipigana bega Kwa bega na waasibwa M23, wamefariki dunia Kwa kipindi Cha mwezi mmoja wa mapigano ya kuuteka mji wa Goma.

Taarifa za ndani zinasema askari waliouwawa walirudishwa nyumbani Rwanda na kuzikwa katika makaburi ya Kanombe, na wale walioshindwa kurejeshwa walizikwa kwenye makaburi ya pamoja huko huko DRC.

Source: The Guardian
Rwandan troops ‘dying in large numbers in DRC’, despite official denials of role Rwandan troops ‘dying in large numbers in DRC’, despite official denials of role
Price of war...
 
Ni sahihi kabisa ni kama wamasai ambao wanapatikana nchi mbili ambazo ni Tanzania na Kenya.Na hatujawahi Kusikia Kenya imewafukuza Kwa kudai ni watanzania au Tanzania Kwa kudai ni wakenya kama ilivyo DRC dhidi ya wa tutsi
Tanzania ni nchi ya ahadi kwa jamii zote za dunia. Ndo maana hata kule Wialaya za Ngara, karagwe, kakonko na Kibondo kuna jamii zote za Kirundi na Kinyerwanda lakini tanzania tunakaa nao poa tu. Ila na nyie ndg zangu wafugaji mpunguze fujo ili muweze kuishi kwa amani katika kati ya jamii za Kibantu kama huku Bongo tunavyoishi nao.
 
Back
Top Bottom