Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siyo mara moja wala mara 2 ni mara kadhaa. siku ya 31/12/2024 tu nimeenda sokoni kununua vitu sokoni mama mmoja akanizidishia 2000 bahati mbaya hapo sikuhesabu ila baada ya hatu kama saba amatisa nikajua mama huyu kanizidishia 2000 nikarudi.Kuna jamaa nimeenda dukani kwake duka la Mpesa aniwekee sh 4100 ameniongezea sifuri moja!
Imewahi kukutokea ukazidishiwa hela ulipoenda kutoa pesa? Ulichukua hatua gani?
Nakumbuka mwaka 2004 nilikuwa napeleka materials kiwandani, nililipwa nikawa nadai 70000. Siku ya kwenda kumaliziwa malipo "Mhindi" kajiçhanganya kila elfu 10 kanipa laki! Jumla nikapewa 700000!Kuna jamaa nimeenda dukani kwake duka la Mpesa aniwekee sh 4100 ameniongezea sifuri moja!
Imewahi kukutokea ukazidishiwa hela ulipoenda kutoa pesa? Ulichukua hatua gani?
Hongereni sana mkuuuImenitokea last week branch ya crdb nilienda ku withdraw pesa ndani kwa cheque. Yule dada akanizidishia 10k. Nikatoka nje ndio nikagundua, nikataka nisepe nayo ila nafsi yangu ikagoma, ilikua 24 december.
Nikarud ndani nikamrudishia.
Kesho yake nikapigiwa simu na jamaa yangu ambaye nilikua namdai pesa 400k zaid ya mwaka akagoma kulipa na nikaamuaga kumsamehe na namba yake nikafuta maana hata mawasiliano yalikatika.
Jamaa akanipigia tar 25 dec chrismass niko ndan nimelala mchana ,akawa anaomba msamaha kwa kupotea na pesa yangu, nikamwambia asijali nilishasamehe awe na amani, akasema hapana, tulipomaliza kuongea nikaona 400k imesoma kwenye simu.
Nikashangaa sana, nafsi yangu ikanambia "ni ile 10k ya jana uliorudisha bank ndio imevuta hii 400k"
Rudisha ela ya watu , mbona ela kidgo sana inakutoa utu,,kwanza aliyekuwekea ameajiriwa na pengine atakatwa kweny mshahara wake ,,na itabadilika kua laana kwakoKuna jamaa nimeenda dukani kwake duka la Mpesa aniwekee sh 4100 ameniongezea sifuri moja!
Imewahi kukutokea ukazidishiwa hela ulipoenda kutoa pesa? Ulichukua hatua gani?
Kama ni mhindi hakuna haja ya kumrudishia.Nakumbuka mwaka 2004 nilikuwa napeleka materials kiwandani, nililipwa nikawa nadai 70000. Siku ya kwenda kumaliziwa malipo "Mhindi" kajiçhanganya kila elfu 10 kanipa laki! Jumla nikapewa 700000!
Nikaongeza mtaji. Hiyo hela faida yàke nikawa nàjenga nyumba, hadi tenda inaisha na nyumba iliisha. Lakini hiyo nyumba nilihonga.
Nilikua peke yangu mkuuHongereni sana mkuuu
Hilo halikua tatizo lako mkuu, ni tatizo lake!!..Itategemea na mtu aliyenizidishia pamoja na kiasi Cha fedha na hali yangu ya uchumi kwa wakati huo
Kuna tajiri mmoja alinizidishia hela nilipomrudishia alinicheka sana na matusi juu
Nilijikita fala sana
Sikurudisha na nikapata faida hadi nikajenga nyumba ila nilihonga pisi yenye tako aisee. Imenizalia na mtoto.Kama ni mhindi hakuna haja ya kumrudishia.