BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,767
- 23,198
kila mtu anahitaji privacy/space, mie ikinitokea nitamkwepa kimtindo ili nisimkwaze, na ninapomuona ameamka na kisiranichahe hatakikuongea anataka kuwa kivyake namkwepa mpaka atakapo kuwa ok