Imewahi kukutokea?. .

kila mtu anahitaji privacy/space, mie ikinitokea nitamkwepa kimtindo ili nisimkwaze, na ninapomuona ameamka na kisiranichahe hatakikuongea anataka kuwa kivyake namkwepa mpaka atakapo kuwa ok
 

Hapo kwenye finance kuna ishu! Kwakweli lack of financial security is a threat to lots of marriage
 
kila mtu anahitaji privacy/space, mie ikinitokea nitamkwepa kimtindo ili nisimkwaze, na ninapomuona ameamka na kisiranichahe hatakikuongea anataka kuwa kivyake namkwepa mpaka atakapo kuwa ok

Ndo hapo mnakuta mnakwepana kila siku. Mana yeye anakukwepa leo, wewe kesho!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…