sababu ni nyingi sana, ila hormones, past experiences hasa zile mbaya,ugumu wa maisha, maudhi ambayo yanatokana na watu wengine, kushindwa kufikia malengo au kutokufanikiwa katika jambo fulani, kuishiwa. na hili ndio tatizo kubwa siku mkiwa mmeishiwa kila mtu ananuna na hii ni kwa wote