IMF April 2019 GDP Figures. Kenya Hits $99 Billion.. Tanzania Overtaken by Ghana

IMF April 2019 GDP Figures. Kenya Hits $99 Billion.. Tanzania Overtaken by Ghana

In-house 'economist' Mkikuyu- Akili timamu alisoma hii habari lakini akaamua hataileta hapa JF.
Well, the news has reached the rest of us.

Last week IMF released it's latest (2019) GDP figures.
Great news for Kenya, slow growth for Tanzania as usual.

Kenya has overtaken Ethiopia in the latest figures, and we're now just 1 year short of reaching $100 billion.
Tanzania has been overtaken by Ghana as expected.

Meanwhile, the gap between the GDPs of Kenya and Tanzania has grown from $23 billion last year, to $38 billion this year.
What that means is that the economy of Kenya is larger than Tanzania, Uganda, Burundi and South Sudan combined.

Tanzania is behind in everything, ata ile wanapenda kujidanganya ati PPP. They are behind everywhere.

Sasa, eliakeem na wenzake wataambia nini watu?

Full data - https://www.imf.org/external/datamapper/NGDPD@WEO/OEMDC/ADVEC/WEOWORLD/AFQ

African countries GDP nominal in $ US Billion. I've listed countries with a GDP above $ US 30 Billion.

1. Nigeria - $444.9 billion
2. South Africa - $371.3 billion
3. Egypt - $299.6 billion
4. Algeria - $183.7 billion
5. Morocco - $121.4 billion
6. Kenya - $99.2 billion
7. Angola - $92.2 billion
8. Ethiopia - $91.0 billion
9. Ghana - $68.3 billion
10. Tanzania - $61.0 billion
11. DR Congo - $48.5 billion
12. Cote d'Ivoire - $45.3 billion
13. Libya - $45.0 billion
14. Cameroon - $39.2 billion
15. Tunisia - $36.2 billion
16. Sudan - $31.5 billion
17. Uganda - $30.4 billion

Those same countries but now ranked by GDP PPP,

1. Egypt - $1,391.7 billion
2. Nigeria - $1,214.8 billion
3. South Africa - $813.1 billion
4. Algeria - $684.6 billion
5. Morocco - $330.4 billion
6. Ethiopia - $240.7 billion
7. Ghana - $211.1 billion
8. Angola $203.8 billion
9. Kenya - $191.0 billion
10. Tanzania - $186.1 billion
11. Sudan - $176.7 billion
12. Tunisia - $150.8 billion
13. Cote d'Ivoire - $117.0 billion
14. Uganda - $104.9 billion
15. Cameroon - $101.1 billion
16. Libya - $79.3 billion
17. DRC - $77.4 billion

Same countries ranked by GDP nominal per capita in $ US,
1. Libya - 6,836
2. South Africa - 6,331
3. Algeria - 4,230
4. Morocco - 3,410
5. Tunisia - 3,073
6. Angola - 3,060
7. Egypt - 3,020
8. Ghana - 2,263
9. Nigeria - 2,233
10. Kenya - 2,011
11. Cote d' Ivoire - 1,722
12. Cameroon - 1,538
13. Tanzania - 1,172
14. Ethiopia - 951
15. Uganda - 759
16. Sudan - 728
17. DRC - 495

Same countries ranked by GDP PPP per capita in $ US,
1. Algeria - 15,766
2. Egypt - 14,028
3. South Africa - 13,865
4. Tunisia - 12,801
5. Libya - 12,051
6. Morocco - 9,284
7. Ghana - 6,998
8. Angola - 6,763
9. Nigeria - 6,098
10. Cote d' Ivoire - 4,454
11. Sudan - 4,089
12. Cameroon - 3,965
13. Kenya - 3,869
14. Tanzania - 3,573
15. Uganda - 2,622
16. Ethiopia - 2,517
17. DRC - 791
Am i that important that i have to be called in such useless discussion?😂😂😂
1) Tz is and has never been in competition with any one. As long as a steady 7% groth is maintained and 3.5% inflation and less than 22% unemployment. They are good

2)When IMF annouced that kes is 17.5% inflated, we coundnt breath overhere due to constant verbal diahorrear of jubilee minion. But today IMF is a "hero" and their data is true😂😂😂😂

3) Patia huyu mzee hapa GDP akule😂😂😂
👇👇👇👇👇
HUNGER-TURKANA-2.jpg
 
Kama kawaida yenu ya kupenda SIFA, watu wanakufa kwa njaa, unemployment inaongezeka kila kukicha, rushwa na scandals zinaongezeka, wafanyanyakazi migomo haipungui, KQ inafilisika, hali ya maisha inazidi kuwa mbaya, deni la nchi linaongezeka, kila project hata kama ni ndogo lazima mkakope, yoooote hayo kwenu hamuyaoni, ila mkuone GDP hewa ya makaratasi kama hivi mnajiona mpo vizuri sana.

Tuambieni, what is the effect of this cooked GDP to Kenya and Kenyans in general, apart from inflated Ego?.

Sent using Jamii Forums mobile app

Kafie hukoo. Chwala hii
 
Am i that important that i have to be called in such useless discussion?😂😂😂
1) Tz is and has never been in competition with any one. As long as a steady 7% groth is maintained and 3.5% inflation and less than 22% unemployment. They are good

2)When IMF annouced that kes is 17.5% inflated, we coundnt breath overhere due to constant verbal diahorrear of jubilee minion. But today IMF is a "hero" and their data is true😂😂😂😂

3) Patia huyu mzee hapa GDP akule😂😂😂
👇👇👇👇👇
View attachment 1067532

Povu mwana govi Povu. Liinchi inaongozwa na giza inazidi kuwa giza tu
 
Kama kawaida yenu ya kupenda SIFA, watu wanakufa kwa njaa, unemployment inaongezeka kila kukicha, rushwa na scandals zinaongezeka, wafanyanyakazi migomo haipungui, KQ inafilisika, hali ya maisha inazidi kuwa mbaya, deni la nchi linaongezeka, kila project hata kama ni ndogo lazima mkakope, yoooote hayo kwenu hamuyaoni, ila mkuone GDP hewa ya makaratasi kama hivi mnajiona mpo vizuri sana.
Tuambieni, what is the effect of this cooked GDP to Kenya and Kenyans in general, apart from inflated Ego?.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimefurahi kuona umeme umerudishwa arusha. Ama umeomba 4n ya jirani?
Hii shida ya umeme itakwisha lini?
ichoboy01
 
Ok wameandika kweli tupu,,,,,!!
Sa imesaidia mini KQ inayokopewa hela?
Imesaidia nini waturkana na wakapoku?
Imesaidia nini waMATHARE?
imesaidia nini WAKIBERA? And the like
Hayo ni makaratasi tu.

Washington Post ikiandika Tz inaongoza Afrika haina maana kama ss bado maskini wa kutupwa.
Yawn yawn yale yale hamna jipya, mikaratasi hiki mikaratasi kile, wewe unafikiria IMF huwa wanakaa kula ubwabwa na kuandika andika, haya mambo yanahitaji utaalam wa hali juu kuyaandaa na sidhani kama kuna kiongozi Mtanzania mwenye uwezo wa kuyaelewa maana mojawapo wa sifa zenu ni uzembe wa kusoma, hadi inachangia mabeberu kuwatafuna sana nyie.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
joto la jiwe yani umepigwa na butwaa hadi ukasahau kuongeza "failed state" hata Angola na Ethiopia mlizokuwa mnazisifu tumezipita na bado mtazidi kutunusa tako.
 
Am i that important that i have to be called in such useless discussion?😂😂😂
1) Tz is and has never been in competition with any one. As long as a steady 7% groth is maintained and 3.5% inflation and less than 22% unemployment. They are good
2)When IMF annouced that kes is 17.5% inflated, we coundnt breath overhere due to constant verbal diahorrear of jubilee minion. But today IMF is a "hero" and their data is true😂😂😂😂
3) Patia huyu mzee hapa GDP akule😂😂😂
👇👇👇👇👇
View attachment 1067532
Bwana kinyesi anamwaga povuuuu 😅😅
Geuka ulole, geuka vizuri udungwe 💉 💉💉💉💉💉💉
 
Unasikiaje hiyo sindano
Ninyi tunawajua ni watu wa kupenda SIFA, hata kama watu wanakufa njaa, so long as GDP is bigger, it is OK?. Endeleeni kukopa, kufa njaa, na scandals za kuiba pesa, sisi tunafanya miradi kwa pesa zetu, inflation inazidi kupungua, unemployment is the lowest in the history of this zone.
GDP ya makaratasi hoyeeeeeeeee.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ok wameandika kweli tupu,,,,,!!
Sa imesaidia mini KQ inayokopewa hela?
Imesaidia nini waturkana na wakapoku?
Imesaidia nini waMATHARE?
imesaidia nini WAKIBERA? And the like
Hayo ni makaratasi tu.

Washington Post ikiandika Tz inaongoza Afrika haina maana kama ss bado maskini wa kutupwa.

Sent using Jamii Forums mobile app

Yote hayo ni yale yale wana Lumumba mumepewa muimbe kama mapambio.
Matatizo ya KQ ni ya kibiashara na yanaendelea kutatuliwa
Waturkana na Wapokot huko ni mkoa unaokumbwa na kiangazi, ni mambo ambayo hauwezi ukayabadilisha maana zaidi ya nusu ya nchi yetu ni kame na jangwa, lakini ile kwamba ni Wakenya huwa wananufaika kutokana na juhudi za mikoa iliyo sawa, lakini wangekua Tanzania wangekufa wengi maana nchi yenu ina rotuba kila sehemu lakini bado maskini wa kutupwa.
Kibera na Mathare ni makazi duni yanayoboreshwa kila siku kadiri uchumi wetu unavyozidi kukua, hamna taifa dunia hii isiyokua na maeneo yenye makazi duni, nenda Soweto, Afrika Kusini.
 
Am i that important that i have to be called in such useless discussion?😂😂😂
1) Tz is and has never been in competition with any one. As long as a steady 7% groth is maintained and 3.5% inflation and less than 22% unemployment. They are good

2)When IMF annouced that kes is 17.5% inflated, we coundnt breath overhere due to constant verbal diahorrear of jubilee minion. But today IMF is a "hero" and their data is true😂😂😂😂

3) Patia huyu mzee hapa GDP akule😂😂😂
👇👇👇👇👇
View attachment 1067532

You are the one who values and always quotes IMF data, that's why I was wondering why you had not brought to our attention their most anticipated annual report. 😂😂😂

Tanzania has always been chasing Kenya. Many times your countrymen have stated that they will catch up soon. Perhaps you can tell us what's happening?
Ain't the military, korosho, forex policies not working?
 
joto la jiwe yani umepigwa na butwaa hadi ukasahau kuongeza "failed state" hata Angola na Ethiopia mlizokuwa mnazisifu tumezipita na bado mtazidi kutunusa tako.
Ni mwendawazimu pekee kama ninyi ndio anayeweza kuamini ujinga huu, kwa uchumi gani wa Kenya kufikia huko, 2014 Kenya ilipofanya rebase ya uchumi GDP alikua $57B, kwa kazi ya wastani wa kujua kwa 5.6% ghafla eti mumefika $80$ last year, labda kama mnaruka kwa ndege, ila kama ni uchumi, endeleeni kufa njaa hapo Kibera

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ninyi tunawajua ni watu wa kupenda SIFA, hata kama watu wanakufa njaa, so long as GDP is bigger, it is OK?. Endeleeni kukopa, kufa njaa, na scandals za kuiba pesa, sisi tunafanya miradi kwa pesa zetu, inflation inazidi kupungua, unemployment is the lowest in the history of this zone.
GDP ya makaratasi hoyeeeeeeeee.

Sent using Jamii Forums mobile app

Enda ukape IMF hii data yako. Labda GDP yenu itapandishwa kidogo.
Undhani IMF haina researchers wa kujua ni miradi gani iko, inflation iko age na unemployment iko vipi?
Difference ni kwamba wao hawatapika data kama CCM.
 
You are the one who values and always quotes IMF data, that's why I was wondering why you had not brought to our attention their most anticipated annual report. 😂😂😂

Tanzania has always been chasing Kenya. Many times your countrymen have stated that they will catch up soon. Perhaps you can tell us what's happening?
Ain't the military, korosho, forex policies not working?
1)Nothing is happening..Same same shinning star(Tz) maintaining 7% growth, edging out both inflation and unemployment..
2) I never doubt imf data, if it says norminal gdp (Not real gdp) is projected to 99bn i agree..I also agree that kes is 17.5% cooked
 
Yote hayo ni yale yale wana Lumumba mumepewa muimbe kama mapambio.
Matatizo ya KQ ni ya kibiashara na yanaendelea kutatuliwa
Waturkana na Wapokot huko ni mkoa unaokumbwa na kiangazi, ni mambo ambayo hauwezi ukayabadilisha maana zaidi ya nusu ya nchi yetu ni kame na jangwa, lakini ile kwamba ni Wakenya huwa wananufaika kutokana na juhudi za mikoa iliyo sawa, lakini wangekua Tanzania wangekufa wengi maana nchi yenu ina rotuba kila sehemu lakini bado maskini wa kutupwa.
Kibera na Mathare ni makazi duni yanayoboreshwa kila siku kadiri uchumi wetu unavyozidi kukua, hamna taifa dunia hii isiyokua na maeneo yenye makazi duni, nenda Soweto, Afrika Kusini.
GDP AND PPP kama inakua ionekane kwa mabadiliko ya maisha ya watu wa kawaida huduma kama makazi. Umeme. Barabara. Afya. Maji. Dawa vinapatikana maendeleo ya kesnya yapo nairobi. Mombasa na kisumu the rest wanapambana na hali zao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
EVEN IN 500 YEARS DANGAWONDERLAND WILL NEVER CATCH UP WITH KENYA.
 
Back
Top Bottom