Hao IMF ndio wanaosema kwamba
1) Kenya inatoa taarifa za uongo kuhusu uchumi wake
2)Kenya inaongeza thamani ya shilingi yake kwa njia za uongo
3)Kenya hainauwezo wa kulipa madeni
4)Kenya haikopesheki
5)Inflation, taxes na hali ya maisha Kenya, vinazidi kuzorota
Wakisema hivyo, ninyi mnakataa na kuwaita ni wazungu wanaona wivu kwasababu China inawazidi, ila wakisema GDP inaongezeka, mnafurahi na kusema IMF wanafanya research na wanasema kweli. Failed state ninyi.
Sent using
Jamii Forums mobile app