IMF: Kasi ya Ukuaji wa Uchumi wa Uganda Kufikia 11% Kuanzia Mwaka 2025 Baada ya Pesa za Mafuta Kuanza Kumiminika

Wanapumulia mashine kivipi!?.. growth rate ya USA ikiwa 0.5% hiyo inakua ongezeko kubwa kuliko 3%+ ya tz,lakini kudai growth rate kuwa kubwa au laa haina maana,ni ujinga
 
Unaandika utoko gani babu!!?
Ambacho hujaelewa ni nn? Magu wakati anaingia ukuaji ulikua ni 6% na sio 7 kama ulivyosema

Pia nimekuambia hata ukuaji ukiwa 10% bado sio reflection ya Hali kuwa nzuri, nimekutolea mfano Ethiopia waliokua na ukuaji mkubwa
 

Tuendelee na hizi siasa na kujiibia wenyewe. Tuendelee na urasimu na kujidanganya mambo yote yamekaa sawa.
Anayelala usimuamshe. Ukimuamsha utalala wewe
 
Wanapumulia mashine kivipi!?.. growth rate ya USA ikiwa 0.5% hiyo inakua ongezeko kubwa kuliko 3%+ ya tz,lakini kudai growth rate kuwa kubwa au laa haina maana,ni ujinga
Growth rate utapotea tu. Achana na USA, nimekutolea mfano malawi ana growth rate kubwa kuliko nchi nyingi hapa Africa, je hali ya Malawi ni nzuri kuliko Namibia, kuliko Angola??
 
Growth rate utapotea tu. Achana na USA, nimekutolea mfano malawi ana growth rate kubwa kuliko nchi nyingi hapa Africa, je hali ya Malawi ni nzuri kuliko Namibia, kuliko Angola??
Growth rate ya malawi kuwa 12p ya marekani kuwa 0.5p haimaanishi malawi iko vizuri kuliko marekani na wala haimaanishi malawi haipigi hatua
 
Ambacho hujaelewa ni nn? Magu wakati anaingia ukuaji ulikua ni 6% na sio 7 kama ulivyosema

Pia nimekuambia hata ukuaji ukiwa 10% bado sio reflection ya Hali kuwa nzuri, nimekutolea mfano Ethiopia waliokua na ukuaji mkubwa
Hali nzuri unamaanisha nini?..kwako growth rate ya 20% na 0% ni sawa?..una shida gani wewe!?
 
Hali nzuri unamaanisha nini?..kwako growth rate ya 20% na 0% ni sawa?..una shida gani wewe!?
Hali nzuri huelewi ni nini? Kupungua kwa umaskini

Alafu hakuna niliposema growth rate ya 20 kwa 0. Tumia akili

Pia hizi mambo hakuna wa kumuongopea huku mtandaoni, wala usitumie sana nguvu
 
Growth rate utapotea tu. Achana na USA, nimekutolea mfano malawi ana growth rate kubwa kuliko nchi nyingi hapa Africa, je hali ya Malawi ni nzuri kuliko Namibia, kuliko Angola??
Kwanza umetoa wapi takwimu zinazoonesha Malawi kuwa na growth rates ya 12%? Unapenda sana kubumi mambo Yako wewe.

Mwisho nilikupa sababu za nadharia ya growth rates baina ya developed vs developing ila umekaza fuvu πŸ‘‡πŸ‘‡
 
Kipimo kizuri NJ kipi?
 
Wewe ni mgeni na miradi kuchukua mda mrefu? Hapo kati mvua zimekuwa nyingi mno? Utajenga miradi ya Umwagiliaji katikati ya Mafuriko ya El Nino?

Mwisho onyesha data unazodai Kilimo Kilimo kilichangia zaidi ya 38T ,weka hapa nione.
 
Wewe ni mgeni na miradi kuchukua mda mrefu? Hapo kati mvua zimekuwa nyingi mno? Utajenga miradi ya Umwagiliaji katikati ya Mafuriko ya El Nino?

Mwisho onyesha data unazodai Kilimo Kilimo kilichangia zaidi ya 38T ,weka hapa nione.
Acha uongo ,ipo miradi ya umwagiliaji iliyokamilkka na watu wananufaika nayo kwa sasa. Hizo mvua haziewezi kufanya miradi yote usikamilike kwa miaka mitatu

Kuhusu kilimo kuchangia kwenye GDP Hilo tulijadili,leo tunarudia Tena? Kwa Sasa umesema kilimo kinachangia 26% ya GDP. Basi angalia kwa miaka hiyo kilimo kilikua kinachangia percent ngapi kwenye GDP
 

Attachments

  • Screenshot_20240916-224224_1.jpg
    165.9 KB · Views: 1
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…