IMF: Kasi ya Ukuaji wa Uchumi wa Uganda Kufikia 11% Kuanzia Mwaka 2025 Baada ya Pesa za Mafuta Kuanza Kumiminika

IMF: Kasi ya Ukuaji wa Uchumi wa Uganda Kufikia 11% Kuanzia Mwaka 2025 Baada ya Pesa za Mafuta Kuanza Kumiminika

Hiyo ni miaka 12, hesabu tena vizuri kwa kutliza akili

Pia nilikua najibu pale uliposema wakikaa au wangekaa kwenye performance hiyo kwa miaka 10 wasingekua hivyo walivyo. Kitu ambacho mm ndio nimekuja kukujibu kuwa walikaa.
Kimsingi inahitaji Uchambuzi wa kina ,nini ilikuwa driver Mkuu wa Uchumi miaka hiyo Hadi ikashindwa ku graduate kutoka LDC
 
Kimsingi inahitaji Uchambuzi wa kina ,nini ilikuwa driver Mkuu wa Uchumi miaka hiyo Hadi ikashindwa ku graduate kutoka LDC
Haya unaniuloza mimi? Mimi nimepingana na wewe uliposema ethiopia hawakua na ukuaji wa 10% kwa miaka 10

Nimetoka kukuambia GDP sio kipimo cha moja kwa moja kwenye ustawi ndio maana nimekutolea mfano kuwa Mexico Ina gdp kubwa kuliko Singapore, kuliko nchi za BENELUX, je Mexico Ina ustawi kuliko hizo nchi?
 
Unaposema hizo awamu zingine kilimo hakikufanya vizuri, husemi exactly hakikufanya vizuri kwenye nini. Mimi nakuambia hakuna awamu haikujali kilimo

Basi tupime kilimo kwenye mchango wake kwenye GDP . Je kwa sasa kilimo kinachangia percent ngapi kwenye GDP? Ili tulinganishe na hizo zingine
Rudia kusoma nimeshakueleza eg no priority kwenye irrigation,no priority kwenye extension services,no priority kwenye ruzuku,ni priority kwenye marketing,no priority kwenye research nk nk.

Moja ya Marais nimewakibali kwenye Mageuzi ya Kilimo ni Samia , according to Bashe minster wa Kilimo ni kwamba Back then Kilimo ilikuwa inakua Kwa only 2% lakini Kwa Sasa ni zaidi ya 4% na kwenye ilani ya Chama wametaka 5% by 2025 ambayo itafikiwa mwaka huu wa 2024.

Nachotaka kuona ni growth rates za Kilimo ikifika 6% na iwe sustained Kwa miaka ijayo Ili tufikie mahala iwe enterprise ya watu kukimbilia badala ya kusubiria mbeleko ya serikali japo Kilimo ukitoa Serikali ni ngumu kusogea,Dunia nzima Serikali Ina play role kubwa kabisa kwenye Kilimo.
 
Haya unaniuloza mimi? Mimi nimepingana na wewe uliposema ethiopia hawakua na ukuaji wa 10% kwa miaka 10

Nimetoka kukuambia GDP sio kipimo cha moja kwa moja kwenye ustawi ndio maana nimekutolea mfano kuwa Mexico Ina gdp kubwa kuliko Singapore, kuliko nchi za BENELUX, je Mexico Ina ustawi kuliko hizo nchi?
Ni kweli sio Kipimo Cha directly ila ndio Kipimo kikuu.

Pili Swala sio GDP kubwa swala ni GDP growth rates ,Mexico ni mbali kwani Ethiopia si Ina GDP kubwa kushinda Nchi zetu lakini still ni LDC?

Ndio maana nimesema nitafuatilia uchumi ulikua kwenye sekta zipi hasa? Maana kama sio Kilimo(ambako ndiko majority ya Ethiopians wako) basi hakuna umaskini utaondoka ndio maana hata hapa Tanzania watu wanaolalamika kwamba mnasema uchumi umekuwa then hatuoni reflection kwenye Ustawi Kwa sababu drivers za GDP growth sio zile ambako majority wako.
 
Rudia kusoma nimeshakueleza eg no priority kwenye irrigation,no priority kwenye extension services,no priority kwenye ruzuku,ni priority kwenye marketing,no priority kwenye research nk nk.

Moja ya Marais nimewakibali kwenye Mageuzi ya Kilimo ni Samia , according to Bashe minster wa Kilimo ni kwamba Back then Kilimo ilikuwa inakua Kwa only 2% lakini Kwa Sasa ni zaidi ya 4% na kwenye ilani ya Chama wametaka 5% by 2025 ambayo itafikiwa mwaka huu wa 2024.

Nachotaka kuona ni growth rates za Kilimo ikifika 6% na iwe sustained Kwa miaka ijayo Ili tufikie mahala iwe enterprise ya watu kukimbilia badala ya kusubiria mbeleko ya serikali japo Kilimo ukitoa Serikali ni ngumu kusogea,Dunia nzima Serikali Ina play role kubwa kabisa kwenye Kilimo.
Labda tuambizane vizuri na kujua impact ya hiki umeandika kwa ground. Unaposema hakukua na priority unamaanisha nini? Mm nakuambia vyote umeelza hapo kulikua na priority, Ila wewe kutokujua haimaanishi hakukua na priority

Mm pia napenda nakubali na napenda mageuzi yanayofanyika sasa. Nilipokataa ni pale uliposema awamu zingine hazikufanya vizuri kwenye kilimo, kitu ambacho ni cha uongo.

Pia huo ukuaji wa 2% ni ukuaji wa angle ipi exactly? Na pia nimekuuliza mchango wa kilimo kwenye GDP kwa Sasa upoje? Hujajibu hili. Hapo ndio utaona je mageuzi yanaenda vizuri au bado tupo nyuma.
So naomba kujua mchango wa kilimo kwenye GDP kwa Sasa, nataka kulinganisha na huko zamani.
 
Ni kweli sio Kipimo Cha directly ila ndio Kipimo kikuu.

Pili Swala sio GDP kubwa swala ni GDP growth rates ,Mexico ni mbali kwani Ethiopia si Ina GDP kubwa kushinda Nchi zetu lakini still ni LDC?

Ndio maana nimesema nitafuatilia uchumi ulikua kwenye sekta zipi hasa? Maana kama sio Kilimo(ambako ndiko majority ya Ethiopians wako) basi hakuna umaskini utaondoka ndio maana hata hapa Tanzania watu wanaolalamika kwamba mnasema uchumi umekuwa then hatuoni reflection kwenye Ustawi Kwa sababu drivers za GDP growth sio zile ambako majority wako.
Mada yako ilipoanzia ilibase kwenye GDP na ukatoa tahadhari, na ukasema ethiopia wakiweza kumaintain ukuaji wa 10% basi matatizo yote nchini mwao ikiwemo kukimbia nchi, umaskini na vingine vitakwenda sawa. But toka mwanzo ungesema kama ulivyosema sasa sidhani kama tungekua na huu mjadala.

Okay, turudi kwenye kilimo Tanzania. Kuna kitu nataka nijue maana umezungumza Jambo limenistua alafu ni la uongo
 
Unaposema hizo awamu zingine kilimo hakikufanya vizuri, husemi exactly hakikufanya vizuri kwenye nini. Mimi nakuambia hakuna awamu haikujali kilimo

Basi tupime kilimo kwenye mchango wake kwenye GDP . Je kwa sasa kilimo kinachangia percent ngapi kwenye GDP? Ili tulinganishe na hizo zingine
Screenshot_20240916-185507.jpg
Screenshot_20240916-185529.jpg
 
Ni kweli sio Kipimo Cha directly ila ndio Kipimo kikuu.

Pili Swala sio GDP kubwa swala ni GDP growth rates ,Mexico ni mbali kwani Ethiopia si Ina GDP kubwa kushinda Nchi zetu lakini still ni LDC?

Ndio maana nimesema nitafuatilia uchumi ulikua kwenye sekta zipi hasa? Maana kama sio Kilimo(ambako ndiko majority ya Ethiopians wako) basi hakuna umaskini utaondoka ndio maana hata hapa Tanzania watu wanaolalamika kwamba mnasema uchumi umekuwa then hatuoni reflection kwenye Ustawi Kwa sababu drivers za GDP growth sio zile ambako majority wako.
Alafu nilikua sijasoma vizuri hapo kwenye growth rate aisee. Huko usiguse kabisa. Hivi unajua Tanzania tuna growth rate kubwa sana kuliko Singapore? Tena ni mara mbili ya Singapore
Je Tanzania tunamuweza nini Singapore??? Mkuu hizo mada usianzishe ikiwa hujazifahamu vyema
 
Labda tuambizane vizuri na kujua impact ya hiki umeandika kwa ground. Unaposema hakukua na priority unamaanisha nini? Mm nakuambia vyote umeelza hapo kulikua na priority, Ila wewe kutokujua haimaanishi hakukua na priority

Mm pia napenda nakubali na napenda mageuzi yanayofanyika sasa. Nilipokataa ni pale uliposema awamu zingine hazikufanya vizuri kwenye kilimo, kitu ambacho ni cha uongo.

Pia huo ukuaji wa 2% ni ukuaji wa angle ipi exactly? Na pia nimekuuliza mchango wa kilimo kwenye GDP kwa Sasa upoje? Hujajibu hili. Hapo ndio utaona je mageuzi yanaenda vizuri au bado tupo nyuma.
So naomba kujua mchango wa kilimo kwenye GDP kwa Sasa, nataka kulinganisha na huko zamani.
Unauliza maswali kama layman.Ukuaji wa 2% ni Ukuaji wa sekta ya Kilimo as a whole.

Kwa sababu waleta takwimu Huwa wanachukua average ya sekta zote ambazo ndio zinaenda uchumi Ili kupata Ukuaji wa Uchumi Kwa ujumla so unaweza Kuta sekta ya bima Kwa mfano imekuwa Kwa hata 20% ila zingine zimekua kidogo lakini Kwa sababu za weights walizotoa Kwa Kila sekta ya Uchumi Ile iliyokuwa sana ila Ina weight ndogo itamezwa na Ile iliyokua kidogo ila Ina weight kubwa.eg unapo calculate inflation ,zile buskets Zina weights tofauti.
 
Unauliza maswali kama layman.Ukuaji wa 2% ni Ukuaji wa sekta ya Kilimo as a whole.

Kwa sababu waleta takwimu Huwa wanachukua average ya sekta zote ambazo ndio zinaenda uchumi Ili kupata Ukuaji wa Uchumi Kwa ujumla so unaweza Kuta sekta ya bima Kwa mfano imekuwa Kwa hata 20% ila zingine zimekua kidogo lakini Kwa sababu za weights walizotoa Kwa Kila sekta ya Uchumi Ile iliyokuwa sana ila Ina weight ndogo itamezwa na Ile iliyokua kidogo ila Ina weight kubwa.eg unapo calculate inflation ,zile buskets Zina weights tofauti.
Chochote nachokuuliza nataka ukijibu ili nikuelewesje vizuri maana najua pengine hujui kabisa. Ndio maana nilisisitiza unaposema kilimo kukua kwa asilimia 2 ulimaanisha nini? Maana huko nyuma tulikua na ukuaji wa asilimi 4 Hadi 5. But lengo ilikua 6 Hadi 10. Na hiyo ilikua ni 2019. Wewe hizi mada huzijui, hiyo asilimia 2 umeitoa wapi ikiwa 2019 tulikua na 4? Au unataka kusema kilimo awamu hii kimeshuka Sana?
 

Attachments

  • Screenshot_20240916-190912_1.jpg
    Screenshot_20240916-190912_1.jpg
    86.6 KB · Views: 1
Kimsingi inahitaji Uchambuzi wa kina ,nini ilikuwa driver Mkuu wa Uchumi miaka hiyo Hadi ikashindwa ku graduate kutoka LDC
Oya acha kujichosha na hizi mada kama mambo yenyewe huyajui. Tanzania tuna growth rate ya 6 percent kwa miaka 10. Singapore Wana 3. Je tunalingana na Singapore? Belgium Wana 1.5, je tunalingana na Belgium?
 
Alafu nilikua sijasoma vizuri hapo kwenye growth rate aisee. Huko usiguse kabisa. Hivi unajua Tanzania tuna growth rate kubwa sana kuliko Singapore? Tena ni mara mbili ya Singapore
Je Tanzania tunamuweza nini Singapore??? Mkuu hizo mada usianzishe ikiwa hujazifahamu vyema
Sijajua kama umesomea uchumi au una hints tuu.?

Anyway kujibu swali lako why Tzn Ina growth rates kubwa kushinda Singapore sababu ni kama ifuatavyo,

Kuna classification kuu 2 za makundi ya level za Maendeleo Kwa Nchi ,,yaani Deloping Nations na Developed Nations based on per Capita Income etc.

Sasa kundi la Developing nations ziko peged kwenye dhana ya Uchumi inayo assume Kwamba Kuna idle resources mainly extractive sectors wakati Developed Nations ziko assumed kuwa zimefikia optimal utilisation of resources.

Kwa muktadha huo Nchi za Developing Nations zitakuwa na growth rates kubwa vs Developed Nations ambazo Rasilimali ni olmost exhausted hivyo growth rates za Uchumi itakuwa kidogo sana na inategemea zaidi technological changes na service industry.

So hutokuja kusikia Nchi zilizoendelea Zina Ukuaji mkubwa kushinda Developing Nations.
 
Sijajua kama umesomea uchumi au una hints tuu.?

Anyway kujibu swali lako why Tzn Ina growth rates kubwa kushinda Singapore sababu ni kama ifuatavyo,

Kuna classification kuu 2 za makundi ya level za Maendeleo Kwa Nchi ,,yaani Deloping Nations na Developed Nations based on per Capita Income etc.

Sasa kundi la Developing nations ziko peged kwenye dhana ya Uchumi inayo assume Kwamba Kuna idle resources mainly extractive sectors wakati Developed Nations ziko assumed kuwa zimefikia optimal utilisation of resources.

Kwa muktadha huo Nchi za Developing Nations zitakuwa na growth rates kubwa vs Developed Nations ambazo Rasilimali ni olmost exhausted hivyo growth rates za Uchumi itakuwa kidogo sana na inategemea zaidi technological changes na service industry.

So hutokuja kusikia Nchi zilizoendelea Zina Ukuaji mkubwa kushinda Developing Nations.
Wewe ni mchumi? Soma kuanzia mwanzo wa mada yako alafu uone muendelezo uliokua nao toka mwanzoni na sasa

Developed na developing? Is it?
Malawi ana growth rate kubwa kuliko Namibia. Je Malawi wameizidi nn Namibia? Au Namibia ni developed?

Unasema sitakuja kusikia developed countries zikiwa na ukuaji mkubwa kuliko developing countries? Unamaanisha developed countries zimepitwa ukuaji na Burundi, South Sudan, central Africa, liberia, Chad, sudan, equatorial guinea? Mkuu hii umeandika unamaanisha?
 
Wewe ni mchumi? Soma kuanzia mwanzo wa mada yako alafu uone muendelezo uliokua nao toka mwanzoni na sasa

Developed na developing? Is it?
Malawi ana growth rate kubwa kuliko Namibia. Je Malawi wameizidi nn Namibia? Au Namibia ni developed?

China na Ireland zina ukuaji mkubwa sana, je bado hazija utilize resources zake?
Soma maelezo uelewe sio kuuliza maswali yasiyo na kichwa Wala miguu.

Unakurupuka,soma maelezo yangu.
 
So South Sudan, Chad , Burundi, central Africa zimepita ukuaji nchi developed?
Wewe umesoma na kuelewa nilichoandika?

Narudia tena kukwambia developing Nations have idle nations hence potential to grow their economy at highest rates possible.

Kina Burundi et all Kushindwa kufikia their potential growth rates ni incompetence.

Mwisho hakuna developed Nation inaweza fikia growth rates kubwa sawa na Developing nations,huko walishapita.
 
Sijapoteza Nina majukumu ya kufanya ,nitajibu posts zote zingine zinahitaji takwimu Hadi nixitafute.
Unajua nimekuuliza hayo nikiwa najua ulichosema sio kweli. Kilimo hakijawahi kupotezewa kama ulivyosema. Tulikua tunafanya vizuri na hata sasa tunafanya vizuri. Unasema huna takwimu basi haikupaswa kuandika uliyokuwa umeandika kuonyesha zamani hatukufanya vizuri

Pia kuwa na budget kubwa ni kitu kizuri sana na chenye lengo zuri, but matokeo yanaweza yasiwe makubwa kutegemea na usimamizi wa taasisi ulivyo. Ndio maana bashe anapambana. Maana unaweza weka pesa kubwa kwenye irrigation ikaishia kupigwa na wajanja, na ikawa haina tofauti na waliokua wanaweka bajeti ndogo. Ndio maana nilitaka twende kwa numbers Kati ya sasa na hiyo zamani
 
Back
Top Bottom