IMF: Kasi ya Ukuaji wa Uchumi wa Uganda Kufikia 11% Kuanzia Mwaka 2025 Baada ya Pesa za Mafuta Kuanza Kumiminika

IMF: Kasi ya Ukuaji wa Uchumi wa Uganda Kufikia 11% Kuanzia Mwaka 2025 Baada ya Pesa za Mafuta Kuanza Kumiminika

Kwa sera zipi? Unadhani uchumi unakua Kwa maneno ya kijinga ya majukwaani ya Wanasiasa mbumbumbu?
Hao wanasiasa wasio mbumbumbu wamefanya nini zaidi ya kuuza rasilimali zetu kwa bei za kutupwa?

Gas iko wapi?

Ilisikika sauti ya mwanasiasa unaowasema si mambumbumbu kwamba, kufikia 2015, Tanzania itauza umeme kwa mataifa jirani na matumizi ya ndani itakuwa kila unit moja itauzwa kwa sh 30, na kwamba uchumi wake utafikia kiwango cha 17% kiko wapi?

Pumbafu kabisa
 
Hao wanasiasa wasio mbumbumbu wamefanya nini zaidi ya kuuza rasilimali zetu kwa bei za kutupwa?

Gas iko wapi?

Ilisikika sauti ya mwanasiasa unaowasema si mambumbumbu kwamba, kufikia 2015, Tanzania itauza umeme kwa mataifa jirani na matumizi ya ndani itakuwa kila unit moja itauzwa kwa sh 30, na kwamba uchumi wake utafikia kiwango cha 17% kiko wapi?

Pumbafu kabisa
Rasilimali zenu zipi zilizouzwa? Walichofanya ndio kuifikisha Tanzania ilipo Sasa
 
Shirika la Fedha za Kimataifa IMF imesema Uchumi wa Uganda utaanza kupata Ukuaji mkubwa kuanzia mwaka 2025 ambapo Kasi ya Ukuaji wa Uchumi itaongezeka kutoka asilimia 6.2% mwaka 2024 na kufikia asilimia 10.8% kuanzia mwaka 2025.

Ukuaji huo utachangiwa na kuanza Kumiminika Kwa pesa za mauzo ya Mafuta mwishoni mwa mwaka 2025.

Kasi hii kubwa ya Uchumi wa Uganda itakuza Ukubwa wa Uchumi wa Nchi hiyo kutoka GDP ya $ 49bln (2024) Hadi GDP ya $ 120bln (2035) ambapo Wachambuzi wa Uchumi wanasema Uchumi huo utalingana Kwa Ukubwa na Tanzania.👇👇

View: https://x.com/Reuters/status/1834128627794931796?t=rBXwRZpnNB7hhcOWwp-hJQ&s=19


My Take
Kuna haja ya Tanzania kwenda kujifunza Kwa Ethiopia iliwezaje kukuza Uchumi wake Kwa double digit Kwa miaka 10 na kuzipita Kenya,Angola na Sudani kuwa Baba wa Uchumi Afrika Mashariki huku hawana Mafuta Wala gesi.

Vinginevyo Tanzania tutapitwa na Uganda Kwa Ukubwa wa Uchumi (GDP size) baada ya mwaka 2035.

Nchi zote ambazo zilipata maendeleo makubwa ni zile ambazo Uchumi wake uliwahi kujua Kwa double digit yaani kuanzia 10% Kwa miaka 10 mfululizo Duniani kote ndipo zilipunguza umaskini Kwa nusu vinginevyo Hali itazidi kuwa tete.

Hii growth rates ya 4-7% ambayo tumekuwa nayo Kwa miaka zaidi ya 15 haijawahi na Wala haitakuja saidia kuondoa umaskini 👇👇

View: https://x.com/TanzaniaInvest/status/1833424456926044371?t=OuBdrDykvfYDPafDjZrbMg&s=19

Pia soma WB: Uchumi wa Tanzania (GDP) Umeongezeka na kufikia $ 80 Bilioni mwaka 2023.

Cha ajabu mkuu hiyo nchi uliyoitolea mfano ya Ethiopia zaidi ya 40% ya national budget yake inapokea msaada kutoka WB/IMF.
Pia Ethiopia hiyo hiyo ina mass unemployment kuliko nchi yeyote hapa Afrika mashariki.
Na ni miongoni mwa nchi zinazopokea msaada wa chakula kutoka WFP.
Cha kuongezea ni nchi ambayo ina poor social development na inaongoza kwa idadi ya vijana wanaokimbia nchi ukanda wetu.

Sasa nashindwa kuelewa hizi criteria za ukuaji uchumi zinazotumika zinaakisi nini??
Maana kwa udongo ni mambo mawili tofauti.
 
Cha ajabu mkuu hiyo nchi uliyoitolea mfano ya Ethiopia zaidi ya 40% ya national budget yake inapokea msaada kutoka WB/IMF.
Pia Ethiopia hiyo hiyo ina mass unemployment kuliko nchi yeyote hapa Afrika mashariki.
Na ni miongoni mwa nchi zinazopokea msaada wa chakula kutoka WFP.
Cha kuongezea ni nchi ambayo ina poor social development na inaongoza kwa idadi ya vijana wanaokimbia nchi ukanda wetu.

Sasa nashindwa kuelewa hizi criteria za ukuaji uchumi zinazotumika zinaakisi nini??
Maana kwa udongo ni mambo mawili tofauti.
Huo ni uongo wa Karne eti Msaada wa IMF wa 40%,jifunze kutofautisha mikopo na Msaada.

Mikopo ni sehemu ya Mapato ya Nchi na inalipwa.

Mambo mengine uliyoeleza sababu ziko wazi kwamba ni Kasi kubwa ya population ndio inawatatiza kiasi kwamba hiyo growth rates Yao Wameshindwa kuondoka kwenye kundi la LCD licha ya kuwa na Uchumi mkubwa Afrika.

But Imani yangu ni kwamba wakirwjea kwenye Amani na Waka sustain Ukuaji wa over 10% Kwa miaka 10 zaidi Watafika Mbali sana na kupunguza hizo Changamoto.
 
Hii ni habari mbaya sana kwa Tanzania ambayo ina gas nyingi lakini kutokana na CCM kukosa maono, hakuna lolote la maana. Msumbiji ni miongoni mwa nchi 10 za Afrika ambazo uchumi wake unakua kwa haraka.

Kwa huo ukuaji wa 11% wa Uganda, ni karibia mara 4 ya ule wa Tanzania. Tanzania itabakia kuwa mtazamaji.
uongo bhn uchumi wa Tz ukuaji ni 5.7-6.2%. Sasa hii ndo mara nne kweny 11% alafu kufikia 2035 una uhakika gan Tz haijafikia double figure?
 
Huo ni uongo wa Karne eti Msaada wa IMF wa 40%,jifunze kutofautisha mikopo na Msaada.

Mikopo ni sehemu ya Mapato ya Nchi na inalipwa.

Mambo mengine uliyoeleza sababu ziko wazi kwamba ni Kasi kubwa ya population ndio inawatatiza kiasi kwamba hiyo growth rates Yao Wameshindwa kuondoka kwenye kundi la LCD licha ya kuwa na Uchumi mkubwa Afrika.

But Imani yangu ni kwamba wakirwjea kwenye Amani na Waka sustain Ukuaji wa over 10% Kwa miaka 10 zaidi Watafika Mbali sana na kupunguza hizo Changamoto.
Sidhani kama hiyo 40% ni mikopo bali kuna pahala nilisoma kuwa ni grants/aids kutoka IMF kuinua nchi masikini.

Kuhusu population kaka hiko ni KIGEZO DHAIFU SANA.Maana kuna nchi kama Central African Republic wana population ndogo ila masikini wa kutupwa.
Pia Ethiopia haina vita za kiasi hicho kuifanya isipige hatua kimaendeleo.
Ni vijiugomvi vya kikabila tu.
1)Hakuna uhakika wa ajira.
2)Huduma za kijamii kama elimu,maji,chakula, miundombinu ya usafiri,afya bado viko chini saaaanaaaa.
Na hii nchi haijawahi kutawaliwa sasa tujiulize inakwama wapi!?
 
Sidhani kama hiyo 40% ni mikopo bali kuna pahala nilisoma kuwa ni grants/aids kutoka IMF kuinua nchi masikini.

Kuhusu population kaka hiko ni KIGEZO DHAIFU SANA.Maana kuna nchi kama Central African Republic wana population ndogo ila masikini wa kutupwa.
Pia Ethiopia haina vita za kiasi hicho kuifanya isipige hatua kimaendeleo.
Ni vijiugomvi vya kikabila tu.
1)Hakuna uhakika wa ajira.
2)Huduma za kijamii kama elimu,maji,chakula, miundombinu ya usafiri,afya bado viko chini saaaanaaaa.
Na hii nchi haijawahi kutawaliwa sasa tujiulize inakwama wapi!?
Vyote ukichanganya ndio vinaleta hiyo average,hata Tanzania ni hivyo hivyo
 
Back
Top Bottom