IMF yaidhinisha msaada kwa nchi 28 za kipato cha chini, Tanzania ikiwemo

IMF yaidhinisha msaada kwa nchi 28 za kipato cha chini, Tanzania ikiwemo

Shirika la Fedha Duniani (IMF) imeidhinisha msaada wa dharura kwa nchi 28 maskini zaidi ulimwenguni ili kuzisaidia kupunguza madeni na kukabiliana vyema na athari za janga la coronavirus.

Tangazo hilo ambalo limekuja baada ya lile la mwezi Aprili lililozilenga nchi 25, linakusudia kuzisaidia nchi hizo kulipia malipo yao ya deni kwa IMF kwa miezi sita ijayo na kusaidia katika matibabu na mapambano wakati wa janga la Coronavirus.

Nchi 28 zinazopokea sehemu ya pili ya misaada ni Afghanistan, Benin, Burkina Faso, Burundi, Jamhuri ya Afrika ya Kati, Chad, Comoro, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Djibouti, Ethiopia, Gambia, Guinea, Guinea-Bissau, Haiti, Liberia, Madagascar, Malawi, Msumbiji, Nepal, Niger, Rwanda, Sao Tome na Principe, Sierra Leone, Visiwa vya Solomon, Tajikistan, Tanzania, Togo na Yemen.

=======

The International Monetary Fund on Monday approved new emergency aid for 28 of the world's poorest countries to help them alleviate their debt and better cope with the impact of the coronavirus pandemic.

The announcement, which follows a similar measure passed in mid-April for 25 countries, is intended to help the countries cover their debt repayments to the IMF for the next six months and "free up scarce financial resources for vital emergency medical and other relief efforts" during the pandemic.

The 28 countries receiving the second tranche of aid are Afghanistan, Benin, Burkina Faso, Burundi, Central African Republic, Chad, Comoros, Democratic Republic of Congo, Djibouti, Ethiopia, Gambia, Guinea, Guinea-Bissau, Haiti, Liberia, Madagascar, Malawi, Mozambique, Nepal, Niger, Rwanda, Sao Tome and Principe, Sierra Leone, the Solomon Islands, Tajikistan, Tanzania, Togo and Yemen.

Mali is also eligible for aid but has not yet been added to the list because "there is a lack of clarity as to whether the international community recognizes/deals with the current military regime as the government of Mali," the IMF said.

The debt relief is channeled through the Catastrophe Containment and Relief Trust (CCRT), which enables the IMF to provide grants to the poorest and most vulnerable countries hit by a natural disaster or public health crisis.

Subject to sufficient resources in the CCRT, grants could be provided for a two-year period through mid-April 2022 for an estimated total amount of $959 million
The IMF's goal is to endow the CCRT with $1.4 billion so that it can also meet future needs.

To date, $506.5 million has been contributed by several countries, including the United Kingdom, Japan, Germany, the Netherlands, Switzerland, Norway, China, Mexico, Sweden, Bulgaria, Luxembourg and Malta.

Source: The Citizen
Nawashauri Lumumba,wasizipokee,maana zinatoka kwa "mabeberu"sisi ni "donor country"
 
Wamefeli hawa kama wanagawa feza kwa nchi mafisadi ili waje wazipige kwa mlango wa nyuma apa wamekwama...sisi hatushikiki #MATAGA
2480424_Screenshot_2019-12-21-09-59-03-1.jpg
 
"watoe jina letu hapo sisi ni uchumi wa kati mabeberu wakubwa hao" Alisikika mataga mmoja ambaye hajala mchana.
 
Itakuwa IMF wameitega Tanzania. Tambo nyingi kumbe hamna kitu. Eti uchumi wa kati mara Donor Country wakati deni la Taifa linakua kila siku kwa kukopa kusiko na utaratibu
 
Shirika la Fedha Duniani (IMF) imeidhinisha msaada wa dharura kwa nchi 28 maskini zaidi ulimwenguni ili kuzisaidia kupunguza madeni na kukabiliana vyema na athari za janga la coronavirus.

Tangazo hilo ambalo limekuja baada ya lile la mwezi Aprili lililozilenga nchi 25, linakusudia kuzisaidia nchi hizo kulipia malipo yao ya deni kwa IMF kwa miezi sita ijayo na kusaidia katika matibabu na mapambano wakati wa janga la Coronavirus.

Nchi 28 zinazopokea sehemu ya pili ya misaada ni Afghanistan, Benin, Burkina Faso, Burundi, Jamhuri ya Afrika ya Kati, Chad, Comoro, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Djibouti, Ethiopia, Gambia, Guinea, Guinea-Bissau, Haiti, Liberia, Madagascar, Malawi, Msumbiji, Nepal, Niger, Rwanda, Sao Tome na Principe, Sierra Leone, Visiwa vya Solomon, Tajikistan, Tanzania, Togo na Yemen.

=======

The International Monetary Fund on Monday approved new emergency aid for 28 of the world's poorest countries to help them alleviate their debt and better cope with the impact of the coronavirus pandemic.

The announcement, which follows a similar measure passed in mid-April for 25 countries, is intended to help the countries cover their debt repayments to the IMF for the next six months and "free up scarce financial resources for vital emergency medical and other relief efforts" during the pandemic.

The 28 countries receiving the second tranche of aid are Afghanistan, Benin, Burkina Faso, Burundi, Central African Republic, Chad, Comoros, Democratic Republic of Congo, Djibouti, Ethiopia, Gambia, Guinea, Guinea-Bissau, Haiti, Liberia, Madagascar, Malawi, Mozambique, Nepal, Niger, Rwanda, Sao Tome and Principe, Sierra Leone, the Solomon Islands, Tajikistan, Tanzania, Togo and Yemen.

Mali is also eligible for aid but has not yet been added to the list because "there is a lack of clarity as to whether the international community recognizes/deals with the current military regime as the government of Mali," the IMF said.

The debt relief is channeled through the Catastrophe Containment and Relief Trust (CCRT), which enables the IMF to provide grants to the poorest and most vulnerable countries hit by a natural disaster or public health crisis.

Subject to sufficient resources in the CCRT, grants could be provided for a two-year period through mid-April 2022 for an estimated total amount of $959 million
The IMF's goal is to endow the CCRT with $1.4 billion so that it can also meet future needs.

To date, $506.5 million has been contributed by several countries, including the United Kingdom, Japan, Germany, the Netherlands, Switzerland, Norway, China, Mexico, Sweden, Bulgaria, Luxembourg and Malta.

Source: The Citizen
Hii habari sidhani kama ni kweli.
Sisi taifa lenye uchumi wa kati, sisi sio masikini. Wanatuchafulia kwenye uchaguzi hao.
 
The same person wrote in Citizen is the same person.
Hakuna taarifa yoyote from IFM
This is the original source.
The IMF Executive Board Extends Immediate Debt Service Relief for 28 Eligible Low-Income Countries for Another Six Months
Acheni upumbavu huo. Hautawasaidia.

They normally don't understand the meaning of second hand source and the original source. Normally the secondary source is prepared to suit the purpose of the one who prepared it. Now if you want to get it from the horse's mouth, then go to the primary source. The primary source has no list, so where do they know which countries are enlisted.
 
Broo huu ni mojawapo wa misaada ya karobuni kuja Kenya. Tusichekane.
Kenya Receives $50 Million World Bank Group Support to Address COVID-19 Pandemic

Nyie mmesaidiwa hadi mask

United States Donates Facemasks to Protect Kenyan Journalists on Frontlines of COVID-19 Reporting | U.S. Embassy in Kenya

Raslimali zenu zote hizo mumeshindwa kuzitumia ili mtoke kwenye hii aibu ya kutajwa tajwa, kila ikizungumzwa kuhusu maskini wa kutupwa duniani, lazima mtajwe humo, kawaida mataga mtatiririka mitusi humu lakini mnatuaibisha sana nyie watu, changamkeni, tumieni ubongo mpate namna ya kutoka, tumewasema hadi tumechoka, tumewashashauri hamshauriki, sijui ni laana au nini.

Kwanza kwenu huko ni muungano wa nchi mbili ambazo kila moja ina raslimali nyingi tu, lakini sijui ni uzembe au kushindwa kutumia akili au vyote viwili, mpo mpo tu. Poleni sana ila hatutasita kuwakumbushia mpaka siku mtachangamka na kubadilika.

==========

The International Monetary Fund on Monday approved new emergency aid for 28 of the world's poorest countries to help them alleviate their debt and better cope with the impact of the coronavirus pandemic.

The announcement, which follows a similar measure passed in mid-April for 25 countries, is intended to help the countries cover their debt repayments to the IMF for the next six months and "free up scarce financial resources for vital emergency medical and other relief efforts" during the pandemic.

The 28 countries receiving the second tranche of aid are Afghanistan, Benin, Burkina Faso, Burundi, Central African Republic, Chad, Comoros, Democratic Republic of Congo, Djibouti, Ethiopia, Gambia, Guinea, Guinea-Bissau, Haiti, Liberia, Madagascar, Malawi, Mozambique, Nepal, Niger, Rwanda, Sao Tome and Principe, Sierra Leone, the Solomon Islands, Tajikistan, Tanzania, Togo and Yemen.

Source: IMF approves aid for world's 28 poorest countries
 
Someni hii
COVID 19: Debt Service Suspension Initiative


How DSSI Benefits Low-Income Countries
(The estimates are current as of October 6, 2020. They will be updated once a week.)

Country4DSSI Participation?Risk of external debt distress2Risk of overall debt distress2Date of DSA PublicationPotential DSSI Savings1 (in USD millions)Potential DSSI Savings1 (in % of 2019 GDP)
AfghanistanYesHighHighApr-20$39.10.2%
Angola3Yes.........$2645.63.1%
BangladeshNoLowLowMay-20$319.80.1%
BeninNoModerateModerateMay-20$13.70.1%
BhutanNoModerateOct-18$206.58.4%
Burkina FasoYesModerateModerateApr-20$23.30.2%
BurundiYesHighApr-15$3.90.1%
Cabo VerdeYesHighHighApr-20$14.90.7%
CambodiaNoLowLowDec-19$206.20.8%
CameroonYesHighHighMay-20$276.10.7%
Central African RepublicYesHighHighApr-20$6.30.3%
ChadYesHighHighJul-20$61.00.5%
ComorosYesModerateModerateApr-20$2.30.2%
Democratic Republic of the CongoYesModerateModerateApr-20$104.40.2%
Republic of CongoYesIn distressIn distressJan-20$146.21.3%
Côte d'IvoireYesModerateModerateApr-20$232.10.4%
DjiboutiYesHighHighMay-20$59.21.6%
DominicaYesHighSep-18$4.40.7%
EthiopiaYesHighHighApr-20$511.30.5%
Fiji3Yes.........$13.30.2%
The GambiaYesHighHighApr-20$11.50.7%
GhanaNoHighHighApr-20$354.10.5%
GrenadaYesIn distressIn distressApr-20$7.00.6%
GuineaYesModerateModerateJun-20$129.70.9%
Guinea-BissauNoModerateJun-18$0.90.1%
GuyanaNoModerateModerateSep-19$12.90.3%
HaitiNoHighHighApr-20$40.50.5%
HondurasNoLowLowJun-20$67.50.3%
KenyaNoHighHighMay-20$802.60.8%
KiribatiNoHighHighJan-19......
Kosovo3No.........$7.80.1%
Kyrgyz RepublicYesModerateModerateMar-20$51.70.6%
Lao PDRNoHighHighAug-19$270.31.4%
LesothoYesModerateModerateApr-19$9.50.3%
LiberiaNoModerateHighJun-20$1.80.1%
MadagascarYesModerateModerateJul-20$24.00.2%
MalawiYesModerateHighMay-20$17.10.2%
MaldivesYesHighHighApr-20$36.70.6%
MaliYesModerateModerateApr-20$52.30.3%
Marshall IslandsNoHighSep-18......
MauritaniaYesHighHighApr-20$90.01.2%
MicronesiaNoHighHighSep-19......
MoldovaNoLowLowApr-20$27.30.2%
Mongolia3No.........$67.80.5%
MozambiqueYesIn distressIn distressApr-20$294.22.0%
MyanmarYesLowLowMar-20$371.60.5%
NepalYesLowLowMay-20$18.80.1%
NicaraguaNoModerateModerateFeb-20$33.40.3%
NigerYesModerateModerateApr-20$25.80.2%
Nigeria3No.........$107.50.0%
Pakistan3Yes.........$2,705.71.0%
Papua New GuineaYesHighHighJun-20$22.70.1%
RwandaNoModerateModerateJun-20$12.60.1%
SamoaYesHighHighApr-20$9.91.2%
São Tomé and PríncipeYesIn distressIn distressApr-20$2.10.5%
SenegalYesModerateModerateApr-20$131.70.6%
Sierra LeoneYesHighHighJun-20$7.00.2%
Solomon IslandsNoModerateModerateJun-20$1.50.1%
SomaliaNoIn distressIn distress Mar-20......
South SudanNoIn distressIn distressJun-19......
St. Lucia3Yes.........$4.00.2%
St. Vincent and the GrenadinesNoHighHighMay-20$4.00.5%
TajikistanYesHighHighMay-20$63.40.8%
TanzaniaYesLowJan-18$148.90.2%
Timor-LesteNoLowLowMay-19......
TogoYesModerateHighApr-20$25.80.5%
TongaYesHighJan-18$6.01.4%
TuvaluNoHighJul-18......
UgandaYesLowLowMay-20$95.40.3%
UzbekistanNoLowLowMay-20$195.40.3%
VanuatuNoModerateModerateJun-19$6.50.7%
YemenYes......$142.70.5%
ZambiaYesHighHighAug-19$139.20.6%
TOTAL $11,548.5
 
Raslimali zenu zote hizo mumeshindwa kuzitumia ili mtoke kwenye hii aibu ya kutajwa tajwa, kila ikizungumzwa kuhusu maskini wa kutupwa duniani, lazima mtajwe humo, kawaida mataga mtatiririka mitusi humu lakini mnatuaibisha sana nyie watu, changamkeni, tumieni ubongo mpate namna ya kutoka, tumewasema hadi tumechoka, tumewashashauri hamshauriki, sijui ni laana au nini.

Kwanza kwenu huko ni muungano wa nchi mbili ambazo kila moja ina raslimali nyingi tu, lakini sijui ni uzembe au kushindwa kutumia akili au vyote viwili, mpo mpo tu. Poleni sana ila hatutasita kuwakumbushia mpaka siku mtachangamka na kubadilika.

==========

The International Monetary Fund on Monday approved new emergency aid for 28 of the world's poorest countries to help them alleviate their debt and better cope with the impact of the coronavirus pandemic.

The announcement, which follows a similar measure passed in mid-April for 25 countries, is intended to help the countries cover their debt repayments to the IMF for the next six months and "free up scarce financial resources for vital emergency medical and other relief efforts" during the pandemic.

The 28 countries receiving the second tranche of aid are Afghanistan, Benin, Burkina Faso, Burundi, Central African Republic, Chad, Comoros, Democratic Republic of Congo, Djibouti, Ethiopia, Gambia, Guinea, Guinea-Bissau, Haiti, Liberia, Madagascar, Malawi, Mozambique, Nepal, Niger, Rwanda, Sao Tome and Principe, Sierra Leone, the Solomon Islands, Tajikistan, Tanzania, Togo and Yemen.

Source: IMF approves aid for world's 28 poorest countries
Ila bro ww
Unazijua figisu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ni kama mtu anaejali kumbe wapi shenz kabisa
 
Ila bro ww
Unazijua figisu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ni kama mtu anaejali kumbe wapi shenz kabisa

Kutajwa tajwa kwenye hili kundi sio sifa nzuri ukizingatia mna madini ya kumwaga, raslimali za kila aina, kwa kweli huwa sielewi mnakwama wapi.
 
Kutajwa tajwa kwenye hili kundi sio sifa nzuri ukizingatia mna madini ya kumwaga, raslimali za kila aina, kwa kweli huwa sielewi mnakwama wapi.
Yote tisa kumi kwan Tz sio lmic?
 
Benin and Tanzania ndio waliingia middle income July 2020, it's possible kua mentioned hata ukiingia M.D. 5 for the first time unajihisi bado ni M.D. 4 tu...Wacha watupe izo hela badae wasikanushe maana watasema hawa wawili tuli-overlook
Sasa unafikiria lower middle income na poorest countriea kuna tofauti gani juu ya kipato tukiachana na propaganda za wanasiasa?!!
 
Back
Top Bottom