Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 15,133
- 11,914
Akili za kuambiwa mkuu.Si tunaambiwa na Lisu kuwa Tanzania haina mahusiano mazuri kimataifa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akili za kuambiwa mkuu.Si tunaambiwa na Lisu kuwa Tanzania haina mahusiano mazuri kimataifa?
Nawashauri Lumumba,wasizipokee,maana zinatoka kwa "mabeberu"sisi ni "donor country"Shirika la Fedha Duniani (IMF) imeidhinisha msaada wa dharura kwa nchi 28 maskini zaidi ulimwenguni ili kuzisaidia kupunguza madeni na kukabiliana vyema na athari za janga la coronavirus.
Tangazo hilo ambalo limekuja baada ya lile la mwezi Aprili lililozilenga nchi 25, linakusudia kuzisaidia nchi hizo kulipia malipo yao ya deni kwa IMF kwa miezi sita ijayo na kusaidia katika matibabu na mapambano wakati wa janga la Coronavirus.
Nchi 28 zinazopokea sehemu ya pili ya misaada ni Afghanistan, Benin, Burkina Faso, Burundi, Jamhuri ya Afrika ya Kati, Chad, Comoro, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Djibouti, Ethiopia, Gambia, Guinea, Guinea-Bissau, Haiti, Liberia, Madagascar, Malawi, Msumbiji, Nepal, Niger, Rwanda, Sao Tome na Principe, Sierra Leone, Visiwa vya Solomon, Tajikistan, Tanzania, Togo na Yemen.
=======
The International Monetary Fund on Monday approved new emergency aid for 28 of the world's poorest countries to help them alleviate their debt and better cope with the impact of the coronavirus pandemic.
The announcement, which follows a similar measure passed in mid-April for 25 countries, is intended to help the countries cover their debt repayments to the IMF for the next six months and "free up scarce financial resources for vital emergency medical and other relief efforts" during the pandemic.
The 28 countries receiving the second tranche of aid are Afghanistan, Benin, Burkina Faso, Burundi, Central African Republic, Chad, Comoros, Democratic Republic of Congo, Djibouti, Ethiopia, Gambia, Guinea, Guinea-Bissau, Haiti, Liberia, Madagascar, Malawi, Mozambique, Nepal, Niger, Rwanda, Sao Tome and Principe, Sierra Leone, the Solomon Islands, Tajikistan, Tanzania, Togo and Yemen.
Mali is also eligible for aid but has not yet been added to the list because "there is a lack of clarity as to whether the international community recognizes/deals with the current military regime as the government of Mali," the IMF said.
The debt relief is channeled through the Catastrophe Containment and Relief Trust (CCRT), which enables the IMF to provide grants to the poorest and most vulnerable countries hit by a natural disaster or public health crisis.
Subject to sufficient resources in the CCRT, grants could be provided for a two-year period through mid-April 2022 for an estimated total amount of $959 million
The IMF's goal is to endow the CCRT with $1.4 billion so that it can also meet future needs.
To date, $506.5 million has been contributed by several countries, including the United Kingdom, Japan, Germany, the Netherlands, Switzerland, Norway, China, Mexico, Sweden, Bulgaria, Luxembourg and Malta.
Source: The Citizen
Ebu rudia umesema nikucheke
https://www.imf.org/~/media/Files/Publications/PP/2020/English/PPEA2020045.ashx
Huu uzi unaonyesha wazi kwamba Tanzania bado haijaingia uchumi wa kati. Umeona Kenya katika orodha hiyo? Maana Kenya iko uchumi wa kati Tz badoHuu uzi watu wa Lissu unawauma sana.
Wako karibu kuanza ule wimbo wao wa " Mabeberu wanatuonea wivu" 😂 😂 😂Duh umemaliza,Venus Star siku nyingine usikurupuke, tumia mud wako kuelewa taarifa kabla haujaanza kukusanya links.
Unaishia aibu tu.
Hii habari sidhani kama ni kweli.Shirika la Fedha Duniani (IMF) imeidhinisha msaada wa dharura kwa nchi 28 maskini zaidi ulimwenguni ili kuzisaidia kupunguza madeni na kukabiliana vyema na athari za janga la coronavirus.
Tangazo hilo ambalo limekuja baada ya lile la mwezi Aprili lililozilenga nchi 25, linakusudia kuzisaidia nchi hizo kulipia malipo yao ya deni kwa IMF kwa miezi sita ijayo na kusaidia katika matibabu na mapambano wakati wa janga la Coronavirus.
Nchi 28 zinazopokea sehemu ya pili ya misaada ni Afghanistan, Benin, Burkina Faso, Burundi, Jamhuri ya Afrika ya Kati, Chad, Comoro, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Djibouti, Ethiopia, Gambia, Guinea, Guinea-Bissau, Haiti, Liberia, Madagascar, Malawi, Msumbiji, Nepal, Niger, Rwanda, Sao Tome na Principe, Sierra Leone, Visiwa vya Solomon, Tajikistan, Tanzania, Togo na Yemen.
=======
The International Monetary Fund on Monday approved new emergency aid for 28 of the world's poorest countries to help them alleviate their debt and better cope with the impact of the coronavirus pandemic.
The announcement, which follows a similar measure passed in mid-April for 25 countries, is intended to help the countries cover their debt repayments to the IMF for the next six months and "free up scarce financial resources for vital emergency medical and other relief efforts" during the pandemic.
The 28 countries receiving the second tranche of aid are Afghanistan, Benin, Burkina Faso, Burundi, Central African Republic, Chad, Comoros, Democratic Republic of Congo, Djibouti, Ethiopia, Gambia, Guinea, Guinea-Bissau, Haiti, Liberia, Madagascar, Malawi, Mozambique, Nepal, Niger, Rwanda, Sao Tome and Principe, Sierra Leone, the Solomon Islands, Tajikistan, Tanzania, Togo and Yemen.
Mali is also eligible for aid but has not yet been added to the list because "there is a lack of clarity as to whether the international community recognizes/deals with the current military regime as the government of Mali," the IMF said.
The debt relief is channeled through the Catastrophe Containment and Relief Trust (CCRT), which enables the IMF to provide grants to the poorest and most vulnerable countries hit by a natural disaster or public health crisis.
Subject to sufficient resources in the CCRT, grants could be provided for a two-year period through mid-April 2022 for an estimated total amount of $959 million
The IMF's goal is to endow the CCRT with $1.4 billion so that it can also meet future needs.
To date, $506.5 million has been contributed by several countries, including the United Kingdom, Japan, Germany, the Netherlands, Switzerland, Norway, China, Mexico, Sweden, Bulgaria, Luxembourg and Malta.
Source: The Citizen
Hapa sio mabeberu bali wadau wa maendeleo!Si tunaambiwa na Lisu kuwa Tanzania haina mahusiano mazuri kimataifa?
The same person wrote in Citizen is the same person.
Hakuna taarifa yoyote from IFM
This is the original source.
The IMF Executive Board Extends Immediate Debt Service Relief for 28 Eligible Low-Income Countries for Another Six Months
Acheni upumbavu huo. Hautawasaidia.
Raslimali zenu zote hizo mumeshindwa kuzitumia ili mtoke kwenye hii aibu ya kutajwa tajwa, kila ikizungumzwa kuhusu maskini wa kutupwa duniani, lazima mtajwe humo, kawaida mataga mtatiririka mitusi humu lakini mnatuaibisha sana nyie watu, changamkeni, tumieni ubongo mpate namna ya kutoka, tumewasema hadi tumechoka, tumewashashauri hamshauriki, sijui ni laana au nini.
Kwanza kwenu huko ni muungano wa nchi mbili ambazo kila moja ina raslimali nyingi tu, lakini sijui ni uzembe au kushindwa kutumia akili au vyote viwili, mpo mpo tu. Poleni sana ila hatutasita kuwakumbushia mpaka siku mtachangamka na kubadilika.
==========
The International Monetary Fund on Monday approved new emergency aid for 28 of the world's poorest countries to help them alleviate their debt and better cope with the impact of the coronavirus pandemic.
The announcement, which follows a similar measure passed in mid-April for 25 countries, is intended to help the countries cover their debt repayments to the IMF for the next six months and "free up scarce financial resources for vital emergency medical and other relief efforts" during the pandemic.
The 28 countries receiving the second tranche of aid are Afghanistan, Benin, Burkina Faso, Burundi, Central African Republic, Chad, Comoros, Democratic Republic of Congo, Djibouti, Ethiopia, Gambia, Guinea, Guinea-Bissau, Haiti, Liberia, Madagascar, Malawi, Mozambique, Nepal, Niger, Rwanda, Sao Tome and Principe, Sierra Leone, the Solomon Islands, Tajikistan, Tanzania, Togo and Yemen.
Source: IMF approves aid for world's 28 poorest countries
Broo huu ni mojawapo wa misaada ya karobuni kuja Kenya. Tusichekane.
Kenya Receives $50 Million World Bank Group Support to Address COVID-19 Pandemic
Nyie mmesaidiwa hadi mask
United States Donates Facemasks to Protect Kenyan Journalists on Frontlines of COVID-19 Reporting | U.S. Embassy in Kenya
| Country4 | DSSI Participation? | Risk of external debt distress2 | Risk of overall debt distress2 | Date of DSA Publication | Potential DSSI Savings1 (in USD millions) | Potential DSSI Savings1 (in % of 2019 GDP) |
| Afghanistan | Yes | High | High | Apr-20 | $39.1 | 0.2% |
| Angola3 | Yes | ... | ... | ... | $2645.6 | 3.1% |
| Bangladesh | No | Low | Low | May-20 | $319.8 | 0.1% |
| Benin | No | Moderate | Moderate | May-20 | $13.7 | 0.1% |
| Bhutan | No | Moderate | … | Oct-18 | $206.5 | 8.4% |
| Burkina Faso | Yes | Moderate | Moderate | Apr-20 | $23.3 | 0.2% |
| Burundi | Yes | High | … | Apr-15 | $3.9 | 0.1% |
| Cabo Verde | Yes | High | High | Apr-20 | $14.9 | 0.7% |
| Cambodia | No | Low | Low | Dec-19 | $206.2 | 0.8% |
| Cameroon | Yes | High | High | May-20 | $276.1 | 0.7% |
| Central African Republic | Yes | High | High | Apr-20 | $6.3 | 0.3% |
| Chad | Yes | High | High | Jul-20 | $61.0 | 0.5% |
| Comoros | Yes | Moderate | Moderate | Apr-20 | $2.3 | 0.2% |
| Democratic Republic of the Congo | Yes | Moderate | Moderate | Apr-20 | $104.4 | 0.2% |
| Republic of Congo | Yes | In distress | In distress | Jan-20 | $146.2 | 1.3% |
| Côte d'Ivoire | Yes | Moderate | Moderate | Apr-20 | $232.1 | 0.4% |
| Djibouti | Yes | High | High | May-20 | $59.2 | 1.6% |
| Dominica | Yes | High | … | Sep-18 | $4.4 | 0.7% |
| Ethiopia | Yes | High | High | Apr-20 | $511.3 | 0.5% |
| Fiji3 | Yes | ... | ... | ... | $13.3 | 0.2% |
| The Gambia | Yes | High | High | Apr-20 | $11.5 | 0.7% |
| Ghana | No | High | High | Apr-20 | $354.1 | 0.5% |
| Grenada | Yes | In distress | In distress | Apr-20 | $7.0 | 0.6% |
| Guinea | Yes | Moderate | Moderate | Jun-20 | $129.7 | 0.9% |
| Guinea-Bissau | No | Moderate | … | Jun-18 | $0.9 | 0.1% |
| Guyana | No | Moderate | Moderate | Sep-19 | $12.9 | 0.3% |
| Haiti | No | High | High | Apr-20 | $40.5 | 0.5% |
| Honduras | No | Low | Low | Jun-20 | $67.5 | 0.3% |
| Kenya | No | High | High | May-20 | $802.6 | 0.8% |
| Kiribati | No | High | High | Jan-19 | ... | ... |
| Kosovo3 | No | ... | ... | ... | $7.8 | 0.1% |
| Kyrgyz Republic | Yes | Moderate | Moderate | Mar-20 | $51.7 | 0.6% |
| Lao PDR | No | High | High | Aug-19 | $270.3 | 1.4% |
| Lesotho | Yes | Moderate | Moderate | Apr-19 | $9.5 | 0.3% |
| Liberia | No | Moderate | High | Jun-20 | $1.8 | 0.1% |
| Madagascar | Yes | Moderate | Moderate | Jul-20 | $24.0 | 0.2% |
| Malawi | Yes | Moderate | High | May-20 | $17.1 | 0.2% |
| Maldives | Yes | High | High | Apr-20 | $36.7 | 0.6% |
| Mali | Yes | Moderate | Moderate | Apr-20 | $52.3 | 0.3% |
| Marshall Islands | No | High | … | Sep-18 | ... | ... |
| Mauritania | Yes | High | High | Apr-20 | $90.0 | 1.2% |
| Micronesia | No | High | High | Sep-19 | ... | ... |
| Moldova | No | Low | Low | Apr-20 | $27.3 | 0.2% |
| Mongolia3 | No | ... | ... | ... | $67.8 | 0.5% |
| Mozambique | Yes | In distress | In distress | Apr-20 | $294.2 | 2.0% |
| Myanmar | Yes | Low | Low | Mar-20 | $371.6 | 0.5% |
| Nepal | Yes | Low | Low | May-20 | $18.8 | 0.1% |
| Nicaragua | No | Moderate | Moderate | Feb-20 | $33.4 | 0.3% |
| Niger | Yes | Moderate | Moderate | Apr-20 | $25.8 | 0.2% |
| Nigeria3 | No | ... | ... | ... | $107.5 | 0.0% |
| Pakistan3 | Yes | ... | ... | ... | $2,705.7 | 1.0% |
| Papua New Guinea | Yes | High | High | Jun-20 | $22.7 | 0.1% |
| Rwanda | No | Moderate | Moderate | Jun-20 | $12.6 | 0.1% |
| Samoa | Yes | High | High | Apr-20 | $9.9 | 1.2% |
| São Tomé and Príncipe | Yes | In distress | In distress | Apr-20 | $2.1 | 0.5% |
| Senegal | Yes | Moderate | Moderate | Apr-20 | $131.7 | 0.6% |
| Sierra Leone | Yes | High | High | Jun-20 | $7.0 | 0.2% |
| Solomon Islands | No | Moderate | Moderate | Jun-20 | $1.5 | 0.1% |
| Somalia | No | In distress | In distress | Mar-20 | ... | ... |
| South Sudan | No | In distress | In distress | Jun-19 | ... | ... |
| St. Lucia3 | Yes | ... | ... | ... | $4.0 | 0.2% |
| St. Vincent and the Grenadines | No | High | High | May-20 | $4.0 | 0.5% |
| Tajikistan | Yes | High | High | May-20 | $63.4 | 0.8% |
| Tanzania | Yes | Low | … | Jan-18 | $148.9 | 0.2% |
| Timor-Leste | No | Low | Low | May-19 | ... | ... |
| Togo | Yes | Moderate | High | Apr-20 | $25.8 | 0.5% |
| Tonga | Yes | High | … | Jan-18 | $6.0 | 1.4% |
| Tuvalu | No | High | … | Jul-18 | ... | ... |
| Uganda | Yes | Low | Low | May-20 | $95.4 | 0.3% |
| Uzbekistan | No | Low | Low | May-20 | $195.4 | 0.3% |
| Vanuatu | No | Moderate | Moderate | Jun-19 | $6.5 | 0.7% |
| Yemen | Yes | ... | … | ... | $142.7 | 0.5% |
| Zambia | Yes | High | High | Aug-19 | $139.2 | 0.6% |
| TOTAL | $11,548.5 |
Nimependa hapo kwenye neno Magufulistani,naona unamkubali sana huyu mwambaUkiona Afghanistan na Tajikistan wametajwa jua bila shaka kwamba Magufulistan nao pia wapo kwenye msafara. [emoji1]
Ila bro wwRaslimali zenu zote hizo mumeshindwa kuzitumia ili mtoke kwenye hii aibu ya kutajwa tajwa, kila ikizungumzwa kuhusu maskini wa kutupwa duniani, lazima mtajwe humo, kawaida mataga mtatiririka mitusi humu lakini mnatuaibisha sana nyie watu, changamkeni, tumieni ubongo mpate namna ya kutoka, tumewasema hadi tumechoka, tumewashashauri hamshauriki, sijui ni laana au nini.
Kwanza kwenu huko ni muungano wa nchi mbili ambazo kila moja ina raslimali nyingi tu, lakini sijui ni uzembe au kushindwa kutumia akili au vyote viwili, mpo mpo tu. Poleni sana ila hatutasita kuwakumbushia mpaka siku mtachangamka na kubadilika.
==========
The International Monetary Fund on Monday approved new emergency aid for 28 of the world's poorest countries to help them alleviate their debt and better cope with the impact of the coronavirus pandemic.
The announcement, which follows a similar measure passed in mid-April for 25 countries, is intended to help the countries cover their debt repayments to the IMF for the next six months and "free up scarce financial resources for vital emergency medical and other relief efforts" during the pandemic.
The 28 countries receiving the second tranche of aid are Afghanistan, Benin, Burkina Faso, Burundi, Central African Republic, Chad, Comoros, Democratic Republic of Congo, Djibouti, Ethiopia, Gambia, Guinea, Guinea-Bissau, Haiti, Liberia, Madagascar, Malawi, Mozambique, Nepal, Niger, Rwanda, Sao Tome and Principe, Sierra Leone, the Solomon Islands, Tajikistan, Tanzania, Togo and Yemen.
Source: IMF approves aid for world's 28 poorest countries
Ila bro ww
Unazijua figisu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ni kama mtu anaejali kumbe wapi shenz kabisa
Yote tisa kumi kwan Tz sio lmic?Kutajwa tajwa kwenye hili kundi sio sifa nzuri ukizingatia mna madini ya kumwaga, raslimali za kila aina, kwa kweli huwa sielewi mnakwama wapi.
Sasa unafikiria lower middle income na poorest countriea kuna tofauti gani juu ya kipato tukiachana na propaganda za wanasiasa?!!Benin and Tanzania ndio waliingia middle income July 2020, it's possible kua mentioned hata ukiingia M.D. 5 for the first time unajihisi bado ni M.D. 4 tu...Wacha watupe izo hela badae wasikanushe maana watasema hawa wawili tuli-overlook