Mmesema hadi mmechoka, sasa mlale! Ukizingatia gonjwa lenyewe halikuisumbua sana nchi na bado msaada wa kifedha unatolewa, lazima mapovu yakutoke.Raslimali zenu zote hizo mumeshindwa kuzitumia ili mtoke kwenye hii aibu ya kutajwa tajwa, kila ikizungumzwa kuhusu maskini wa kutupwa duniani, lazima mtajwe humo, kawaida mataga mtatiririka mitusi humu lakini mnatuaibisha sana nyie watu, changamkeni, tumieni ubongo mpate namna ya kutoka, tumewasema hadi tumechoka, tumewashashauri hamshauriki, sijui ni laana au nini.
Kwanza kwenu huko ni muungano wa nchi mbili ambazo kila moja ina raslimali nyingi tu, lakini sijui ni uzembe au kushindwa kutumia akili au vyote viwili, mpo mpo tu. Poleni sana ila hatutasita kuwakumbushia mpaka siku mtachangamka na kubadilika.
==========
The International Monetary Fund on Monday approved new emergency aid for 28 of the world's poorest countries to help them alleviate their debt and better cope with the impact of the coronavirus pandemic.
The announcement, which follows a similar measure passed in mid-April for 25 countries, is intended to help the countries cover their debt repayments to the IMF for the next six months and "free up scarce financial resources for vital emergency medical and other relief efforts" during the pandemic.
The 28 countries receiving the second tranche of aid are Afghanistan, Benin, Burkina Faso, Burundi, Central African Republic, Chad, Comoros, Democratic Republic of Congo, Djibouti, Ethiopia, Gambia, Guinea, Guinea-Bissau, Haiti, Liberia, Madagascar, Malawi, Mozambique, Nepal, Niger, Rwanda, Sao Tome and Principe, Sierra Leone, the Solomon Islands, Tajikistan, Tanzania, Togo and Yemen.
Source: IMF approves aid for world's 28 poorest countries
Sio kwa nchi za kipato cha kati bali nchi 28 maskini zaidi Duniani.View attachment 1592533
Shirika la Fedha Duniani (IMF) imeidhinisha msaada wa dharura kwa nchi 28 maskini zaidi ulimwenguni ili kuzisaidia kupunguza madeni na kukabiliana vyema na athari za janga la coronavirus.
Tangazo hilo ambalo limekuja baada ya lile la mwezi Aprili lililozilenga nchi 25, linakusudia kuzisaidia nchi hizo kulipia malipo yao ya deni kwa IMF kwa miezi sita ijayo na kusaidia katika matibabu na mapambano wakati wa janga la Coronavirus.
Nchi 28 zinazopokea sehemu ya pili ya misaada ni Afghanistan, Benin, Burkina Faso, Burundi, Jamhuri ya Afrika ya Kati, Chad, Comoro, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Djibouti, Ethiopia, Gambia, Guinea, Guinea-Bissau, Haiti, Liberia, Madagascar, Malawi, Msumbiji, Nepal, Niger, Rwanda, Sao Tome na Principe, Sierra Leone, Visiwa vya Solomon, Tajikistan, Tanzania, Togo na Yemen.
=======
The International Monetary Fund on Monday approved new emergency aid for 28 of the world's poorest countries to help them alleviate their debt and better cope with the impact of the coronavirus pandemic.
The announcement, which follows a similar measure passed in mid-April for 25 countries, is intended to help the countries cover their debt repayments to the IMF for the next six months and "free up scarce financial resources for vital emergency medical and other relief efforts" during the pandemic.
The 28 countries receiving the second tranche of aid are Afghanistan, Benin, Burkina Faso, Burundi, Central African Republic, Chad, Comoros, Democratic Republic of Congo, Djibouti, Ethiopia, Gambia, Guinea, Guinea-Bissau, Haiti, Liberia, Madagascar, Malawi, Mozambique, Nepal, Niger, Rwanda, Sao Tome and Principe, Sierra Leone, the Solomon Islands, Tajikistan, Tanzania, Togo and Yemen.
Mali is also eligible for aid but has not yet been added to the list because "there is a lack of clarity as to whether the international community recognizes/deals with the current military regime as the government of Mali," the IMF said.
The debt relief is channeled through the Catastrophe Containment and Relief Trust (CCRT), which enables the IMF to provide grants to the poorest and most vulnerable countries hit by a natural disaster or public health crisis.
Subject to sufficient resources in the CCRT, grants could be provided for a two-year period through mid-April 2022 for an estimated total amount of $959 million
The IMF's goal is to endow the CCRT with $1.4 billion so that it can also meet future needs.
To date, $506.5 million has been contributed by several countries, including the United Kingdom, Japan, Germany, the Netherlands, Switzerland, Norway, China, Mexico, Sweden, Bulgaria, Luxembourg and Malta.
Source: The Citizen
Mzee roho lazima iwaume hapo mafisadi,hamjawekwa kwenye hiyo orodha 😀Raslimali zenu zote hizo mumeshindwa kuzitumia ili mtoke kwenye hii aibu ya kutajwa tajwa, kila ikizungumzwa kuhusu maskini wa kutupwa duniani, lazima mtajwe humo, kawaida mataga mtatiririka mitusi humu lakini mnatuaibisha sana nyie watu, changamkeni, tumieni ubongo mpate namna ya kutoka, tumewasema hadi tumechoka, tumewashashauri hamshauriki, sijui ni laana au nini.
Kwanza kwenu huko ni muungano wa nchi mbili ambazo kila moja ina raslimali nyingi tu, lakini sijui ni uzembe au kushindwa kutumia akili au vyote viwili, mpo mpo tu. Poleni sana ila hatutasita kuwakumbushia mpaka siku mtachangamka na kubadilika.
==========
The International Monetary Fund on Monday approved new emergency aid for 28 of the world's poorest countries to help them alleviate their debt and better cope with the impact of the coronavirus pandemic.
The announcement, which follows a similar measure passed in mid-April for 25 countries, is intended to help the countries cover their debt repayments to the IMF for the next six months and "free up scarce financial resources for vital emergency medical and other relief efforts" during the pandemic.
The 28 countries receiving the second tranche of aid are Afghanistan, Benin, Burkina Faso, Burundi, Central African Republic, Chad, Comoros, Democratic Republic of Congo, Djibouti, Ethiopia, Gambia, Guinea, Guinea-Bissau, Haiti, Liberia, Madagascar, Malawi, Mozambique, Nepal, Niger, Rwanda, Sao Tome and Principe, Sierra Leone, the Solomon Islands, Tajikistan, Tanzania, Togo and Yemen.
Source: IMF approves aid for world's 28 poorest countries
Kenya corona imewaletea madeni ya maana na hii pesa hawajapata 😀Someni hii
COVID 19: Debt Service Suspension Initiative
How DSSI Benefits Low-Income Countries
(The estimates are current as of October 6, 2020. They will be updated once a week.)
Country4 DSSI Participation? Risk of external debt distress2 Risk of overall debt distress2 Date of DSA Publication Potential DSSI Savings1 (in USD millions) Potential DSSI Savings1 (in % of 2019 GDP) Afghanistan Yes High High Apr-20 $39.1 0.2% Angola3 Yes ... ... ... $2645.6 3.1% Bangladesh No Low Low May-20 $319.8 0.1% Benin No Moderate Moderate May-20 $13.7 0.1% Bhutan No Moderate … Oct-18 $206.5 8.4% Burkina Faso Yes Moderate Moderate Apr-20 $23.3 0.2% Burundi Yes High … Apr-15 $3.9 0.1% Cabo Verde Yes High High Apr-20 $14.9 0.7% Cambodia No Low Low Dec-19 $206.2 0.8% Cameroon Yes High High May-20 $276.1 0.7% Central African Republic Yes High High Apr-20 $6.3 0.3% Chad Yes High High Jul-20 $61.0 0.5% Comoros Yes Moderate Moderate Apr-20 $2.3 0.2% Democratic Republic of the Congo Yes Moderate Moderate Apr-20 $104.4 0.2% Republic of Congo Yes In distress In distress Jan-20 $146.2 1.3% Côte d'Ivoire Yes Moderate Moderate Apr-20 $232.1 0.4% Djibouti Yes High High May-20 $59.2 1.6% Dominica Yes High … Sep-18 $4.4 0.7% Ethiopia Yes High High Apr-20 $511.3 0.5% Fiji3 Yes ... ... ... $13.3 0.2% The Gambia Yes High High Apr-20 $11.5 0.7% Ghana No High High Apr-20 $354.1 0.5% Grenada Yes In distress In distress Apr-20 $7.0 0.6% Guinea Yes Moderate Moderate Jun-20 $129.7 0.9% Guinea-Bissau No Moderate … Jun-18 $0.9 0.1% Guyana No Moderate Moderate Sep-19 $12.9 0.3% Haiti No High High Apr-20 $40.5 0.5% Honduras No Low Low Jun-20 $67.5 0.3% Kenya No High High May-20 $802.6 0.8% Kiribati No High High Jan-19 ... ... Kosovo3 No ... ... ... $7.8 0.1% Kyrgyz Republic Yes Moderate Moderate Mar-20 $51.7 0.6% Lao PDR No High High Aug-19 $270.3 1.4% Lesotho Yes Moderate Moderate Apr-19 $9.5 0.3% Liberia No Moderate High Jun-20 $1.8 0.1% Madagascar Yes Moderate Moderate Jul-20 $24.0 0.2% Malawi Yes Moderate High May-20 $17.1 0.2% Maldives Yes High High Apr-20 $36.7 0.6% Mali Yes Moderate Moderate Apr-20 $52.3 0.3% Marshall Islands No High … Sep-18 ... ... Mauritania Yes High High Apr-20 $90.0 1.2% Micronesia No High High Sep-19 ... ... Moldova No Low Low Apr-20 $27.3 0.2% Mongolia3 No ... ... ... $67.8 0.5% Mozambique Yes In distress In distress Apr-20 $294.2 2.0% Myanmar Yes Low Low Mar-20 $371.6 0.5% Nepal Yes Low Low May-20 $18.8 0.1% Nicaragua No Moderate Moderate Feb-20 $33.4 0.3% Niger Yes Moderate Moderate Apr-20 $25.8 0.2% Nigeria3 No ... ... ... $107.5 0.0% Pakistan3 Yes ... ... ... $2,705.7 1.0% Papua New Guinea Yes High High Jun-20 $22.7 0.1% Rwanda No Moderate Moderate Jun-20 $12.6 0.1% Samoa Yes High High Apr-20 $9.9 1.2% São Tomé and Príncipe Yes In distress In distress Apr-20 $2.1 0.5% Senegal Yes Moderate Moderate Apr-20 $131.7 0.6% Sierra Leone Yes High High Jun-20 $7.0 0.2% Solomon Islands No Moderate Moderate Jun-20 $1.5 0.1% Somalia No In distress In distress Mar-20 ... ... South Sudan No In distress In distress Jun-19 ... ... St. Lucia3 Yes ... ... ... $4.0 0.2% St. Vincent and the Grenadines No High High May-20 $4.0 0.5% Tajikistan Yes High High May-20 $63.4 0.8% Tanzania Yes Low … Jan-18 $148.9 0.2% Timor-Leste No Low Low May-19 ... ... Togo Yes Moderate High Apr-20 $25.8 0.5% Tonga Yes High … Jan-18 $6.0 1.4% Tuvalu No High … Jul-18 ... ... Uganda Yes Low Low May-20 $95.4 0.3% Uzbekistan No Low Low May-20 $195.4 0.3% Vanuatu No Moderate Moderate Jun-19 $6.5 0.7% Yemen Yes ... … ... $142.7 0.5% Zambia Yes High High Aug-19 $139.2 0.6% TOTAL $11,548.5
Kwani nyie si mpo uchumi wakati?Si tunaambiwa na Lisu kuwa Tanzania haina mahusiano mazuri kimataifa?