IMF yatoa onyo kwa Kenya, huenda ikalemewa na madeni

IMF yatoa onyo kwa Kenya, huenda ikalemewa na madeni

Crimea

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2014
Posts
25,874
Reaction score
36,030
Shirika la fedha duniani (IMF) limeionya selikali ya Kenya kwamba inaweza kuelemewa na madeni, kutokana na kudorora kwa uchumi wa nchi hiyo unaosababishwa na janga la corona.

Deni la Kenya kwa sasa ni 67% ya pato jumla la Taifa.

Ikumbukwe wiki 3 zilizopita IMF iliikopesha Kenya dola milioni 700. Mchambuzi wa masuala ya uchumi kutoka Mombasa amesema Kenya ilikopa fedha hizo ili kusaidia shughuli za selikali katika kipindi hiki cha janga la corona maana hakuna uzalishaji unaoendelea na selikali imeishiwa.

Mchambuzi huyo ameonya pia hatua za kukabiliana na corona hasa kufungia watu ndani kuwa huenda likawa janga jipya nchini Kenya na uchumi utazidi kudidimia.

Ikumbukwe pia J. P. Magufuli alishauri haya mashirika ya fedha yanapaswa kuzifutia kabisa madeni ambayo yanazidai nchi masikini katika kipindi hiki badala ya kuzikopesha na kuzidisha mzigo tena.

Hili suala la IMF kuzifutia madeni nchi zinazochipukia nmeona ameshauri pia Mgombea urais kwa tiketi ya Democrat nchini Marekani, lakini watu walimkejeli JPM.

Hawa ndio Kenya inayoshindana na Tanzania kwa kutaka kufunga mipaka.

Chanzo: DW mchana huu.
 
IMF kuionya Kenya haina maana Tanzania iko pazuri. Kama uchumi wa taifa kubwa kama Kenya ukidorora wa Tanzania utakuwa mahututi bin taabani! By the way IMF si mabeberu? Tangu lini umeanza kuyaamini mabeberu? Au kwa kuwa wametamka kile ambacho sikio lako linafura kukisikia?
 
Huu upuuzi wako hauna msaada wowote kwa watanzania.Kunyimwa kwetu mikopo nafuu ktk kipindi cha corona hakutusaiddii kuandika propaganda za kitoto za kujipa matumain sis dhidi ya kenya.Nyie vijana sio riziki kabisa ni ujinga mtupu
 
... IMF kuionya Kenya haina maana Tanzania iko pazuri. Kama uchumi wa taifa kubwa kama Kenya ukidorora wa Tanzania utakuwa mahututi bin taabani!
Magufuli katukanwa sana hapa kwamba wenzio wanapewa mikopo na IMF yeye amenyimwa sababu ni kiburi, kumbe nchi yenyewe inapumulia mashine?

Alafu ndio analeta jeuri ya kufunga mipaka? Wananchi wake watakula mawe?

Ardhi yenyewe wamewapa mafisadi kina Uhuru waimiriki,! Hawa jamaa bure kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu upuuzi wako hauna msaada wowote kwa watanzania.Kunyimwa kwetu mikopo nafuu ktk kipindi cha corona hakutusaiddii kuandika propaganda za kitoto za kujipa matumain sis dhidi ya kenya.Nyie vijana sio riziki kabisa ni ujinga mtupu
Usiwe mjinga mkuu! Tumia hicho kichwa kufikiri!

Wenye akili wanasema hilo shirika lingefuta madeni inayodai nchi masikini badala ya kukopesha tena.

Wewe unakuja na ujinga eti mikopo nafuu utarudisha mawe wakati nchi uchumi umeyumba?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jirani wanapiga lockdown, mbaya zaidi huelewi ugonjwa utaishi lini ni kama mchezo wa pata potea maana ukifikiria vizuri kama wewe ni mtu makini hatupigani lockdown zaidi ya kuhimiza watu wajikinge zaidi, wote hatujui Covid-19 itaisha lini ni bora tujifunze kuendelea kudhalisha na kufanya kazi ili hali corona ipo.

Tujifunze kuishi nayo iwe kama magonjwa mengine kuliko kuweka lockdown wakati itajioenyeza mtu ana corona ili yeye pia hajui na kuambikiza tena wengine na hapo mna kuwa mmepunguza maambukizi tena yanazuka upya, siku zinaenda ila wote tupo humu jf nchi zote zilizo weka lockdown zitaondoa maana mwisho wa siku wananchi wenyewe ndio wataiondoa kwa kuandamana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jirani wanapiga lockdown, mbaya zaidi huelewi ugonjwa utaishi lini ni kama mchezo wa pata potea maana ukifikiria vizuri kama wewe ni mtu makini hatupigani lockdown zaidi ya kuhimiza watu wajikinge zaidi, wote hatujui Covid-19 itaisha lini ni bora tujifunze kuendelea kudhalisha na kufanya kazi ili hali corona ipo tujifunze kuishi nayo iwe kama magonjwa mengine kuliko kuweka lockdown wakati itajioenyeza mtu ana corona ili yeye pia hajui na kuambikiza tena wengine na hapo mna kuwa mmepunguza maambukizi tena yanazuka upya, siku zinaenda ila wote tupo humu jf nchi zote zilizo weka lockdown zitaondoa maana mwisho wa siku wananchi wenyewe ndio wataiondoa kwa kuandamana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kabisa mkuu! Kumbe hata hapo Uganda Museven target yake ya kuweka watu lockdown ilikuwa ni uchaguzi.

Juzi ndio anawaambia watu hakutakuwa na uchaguzi kama corona haijaisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna watu huwa wanatetea tu halafu hata wanachotetea ukiwauliza hawajui...Mfano ule Uzi wa Kenya na Uganda kupewa hii mikopo,"sijui Mara mia Kenya" "" mara majirani sijui nini"...ila nilivyopitia forum zao niliona wengi wanalalamika...hata jana kuna waliosema serikali inatumia mgongo wa #covid19 kukopa kipindi hiki...ila sisi sasa empty set kabisa.
 
Naona apo mwisho una tafuta pa kutokea ..

sijui itakuaje
 
... IMF kuionya Kenya haina maana Tanzania iko pazuri. Kama uchumi wa taifa kubwa kama Kenya ukidorora wa Tanzania utakuwa mahututi bin taabani! By the way IMF si mabeberu? Tangu lini umeanza kuyaamini mabeberu? Au kwa kuwa wametamka kile ambacho sikio lako linafura kukisikia?
Taifa kubwa lenye watu wanakufa kwa njaa, nchi inategemea chakula cha msaada, Nairobi haina MAJI?. Unajua maana ya Taifa kubwa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Magufuli katukanwa sana hapa kwamba wenzio wanapewa mikopo na IMF yeye amenyimwa sababu ni kiburi, kumbe nchi yenyewe inapumulia mashine?
Alafu ndio analeta jeuri ya kufunga mipaka? Wananchi wake watakula mawe?

Ardhi yenyewe wamewapa mafisadi kina Uhuru waimiriki,! Hawa jamaa bure kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mabeberu yamemnyima Magu $190mil,so ukweli ni kwamba hata yeye anatamani mkopo wa mabeberu ila shida ni kwamba wamemnyima mpunga.
 
Usiwe mjinga mkuu! Tumia hicho kichwa kufikiri!

Wenye akili wanasema hilo shirika lingefuta madeni inayodai nchi masikini badala ya kukopesha tena.

Wewe unakuja na ujinga eti mikopo nafuu utarudisha mawe wakati nchi uchumi umeyumba?

Sent using Jamii Forums mobile app
Wenzake waliomba sio kufutiwa madeni bali yasimamishwe angalau kwa miaka 2 then baada ya hapo mikopo iendelee kulipwa kama kawa.

Dawa ya deni ni kulipa.
 
Ndio hivyo mkuu huyo pia aliwahi kusema endapo corona itakuwa haijaisha huu muhula wanafunzi kwenda shule utapita,

Ni bora Viongozi wa Nchi wakae waje na ajenda ya kuishi kwa kujikinga kuikabiri covid-19 lakini hii ya lockdown imefeli na mbaya zaidi inasababisha watu kuelekea kwenye hali mbaya ya maisha.
Kabisa mkuu! Kumbe hata hapo Uganda Museven target yake ya kuweka watu lockdown ilikuwa ni uchaguzi.

Juzi ndio anawaambia watu hakutakuwa na uchaguzi kama corona haijaisha.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jirani
FB_IMG_1588302631263.jpeg
FB_IMG_1588302626345.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom