IMF yatoa orodha ya nchi 15 zenye uchumi mkubwa Afrika. Tanzania yashika namba 9 ikiwa na uchumi wa Dola Bilioni 80

IMF yatoa orodha ya nchi 15 zenye uchumi mkubwa Afrika. Tanzania yashika namba 9 ikiwa na uchumi wa Dola Bilioni 80

Shirika la Fedha la Kimataifa IMF liketoa orodha ya Nchi 15 Zenye Uchumi Mkubwa Barani Afrika huku Tanzania ikishika nafasi ya 9.

Kwenye orodha hiyo Nchi ya Afrika Kusini imeongoza na kuzipita Nigeria na Misri ambazo zimekuwa zikiongoza Kwa miaka Mingi.

Pia takwimu hizo zinaonesha kufanya vizuri Kwa Nchi Tajiri ya Rasilima ya Algeria ambayo imeshika nafasi ya 3 juu ya Nigeria.

Kana kwamba haitoshi Nchi ya Ivory Coast imezipita Ghana na Tanzania na kushika nafasi ya 8 kutoka nafasi za chini zaidi.

Uchambuzi zaidi imeonesha Angola imeporomoka kiuchumi kutokana na sababu ambazo jazijabainishwa.
View attachment 2973637

My Take
Takwimu hizi Huwa zinabadilika Kila mwaka kutegemeana na Taasisi inayotoa takwimu.

Mathalani WB Huwa wanakadiria Uchumi wa Tanzania kuwa Dola Bilioni 85 na sio 80 zinazotajwa na IMF kama inavyosomeka kwenye taarifa hii hapa IMF/WB: Ukubwa Wa Uchumi wa Tanzania Wafikia Dola Bilioni 85.4 Mwaka 2023 kutoka Dola Bilioni 70 Mwaka 2021

-----
View attachment 2973631

In 2024, Africa's economic landscape showcases a mix of resilience and challenges, with South Africa emerging as the continent's largest economy according to the latest IMF data. The International Monetary Fund (IMF) has released its rankings, highlighting the economies in Africa based on GDP figures for the year. These rankings shed light on the economic trajectories of various nations and forecast future trends within the region.

Top 15 African Economies

The IMF's latest report reveals the following ranking of Africa's largest economies in 2024:

Despite facing persistent macroeconomic challenges, the overall economic outlook for Africa remains stable. The IMF's projections indicate that South Africa, Egypt, Algeria, and Nigeria will maintain their positions as Africa's top four economies until 2030. Notably, South Africa is poised to surpass Nigeria and Egypt to become the continent's largest economy, benefiting from energy supply improvements and logistical enhancements.

Nigeria, once Africa's largest economy, has slipped to the fourth position in 2024. The nation is grappling with multiple economic hurdles, including a soaring inflation rate of 33%, a weakening currency, and the aftermath of government economic reforms. Last year, the Nigerian government implemented significant policy changes, such as ending petrol subsidies and allowing market forces to dictate the currency exchange rate, leading to a surge in living costs.

Furthermore, Nigeria faces acute dollar shortages crucial for imports, exacerbating its dependence on foreign goods. The Nigerian Naira remains substantially devalued against the dollar, impacting both consumer purchasing power and import-dependent sectors.

To combat rising inflation, the Central Bank of Nigeria recently raised interest rates to 24.75% and eliminated electricity tariff subsidies. These measures aim to stabilize prices and restore economic confidence amidst challenging circumstances.

Meanwhile, Egypt, which held the top economic position in 2023, is projected to slide to the second spot behind South Africa due to successive currency devaluations. Despite this setback, the IMF forecasts that Egypt could reclaim the top position by 2027, underscoring the country's economic resilience and recovery potential.

Looking ahead, the IMF's World Economic Outlook emphasizes the need for sustained reforms and investments to bolster Africa's economic resilience. Countries like Kenya are expected to climb in the rankings, surpassing economies such as Angola in the coming years. Ethiopia's economy, holding steady in the fifth position, is projected to maintain its standing until 2030.

Africa's economic trajectory underscores the importance of strategic policies and investments to mitigate challenges and unlock growth opportunities across the continent. As nations navigate complex economic landscapes, sustained reforms and international partnerships will play a pivotal role in shaping Africa's economic future.

Chanzo: Africa View Facts

View: https://twitter.com/spectatorindex/status/1784228507540734335?t=kxDKO_JtFSeDtHHhMmK2IA&s=19

Miaka ya 1980's tulikuwa tunakimbizana na Sierra Leone kwenye nafasi 3 za mwisho kama sikosei duniani. Mnisahihishe kama nitakuwa nimekosea.
Kwa hali hii tunaenda vizuri sana
 
Kuna kitu nimekifahamu kuhusu kupanda kwa Morocco kiuchumi.Ni kama vile Kenya inavyonyonya utalii wa Tanzania kwa kuutangaza mlima Kilimanjaro.
Morocco ni soko kubwa la dhahabu za Afrika Magharibi.Hii ni kutokana na nchi za Afrika Magharibi kufuata watalii wanaoingia Morocco kwa wingi sijui kufuata nini.
Watalii wanafuata bata Morroco, beach nzuri, hotel nzuri,
Kingine Morocco ipo karibu sana na Ulaya
 
Watalii wanafuata bata Morroco, beach nzuri, hotel nzuri,
Kingine Morocco ipo karibu sana na Ulaya
Morocco hakuna beach kabisa.Ni mawe tu na mawimbi makali ya bahari ya atallantic.Kuna sehemu moja wamejenga kwa kulazimisha pale jijini Rabat.Inatisha sana kwani kama kutatokea kuchafuka kwa bahari kwa ghafla basi mamia ya watu watasombwa baharini kirahisi sana.
Sijui watalii wanafuata nini hasa Morocco.
 
Shirika la Fedha la Kimataifa IMF liketoa orodha ya Nchi 15 Zenye Uchumi Mkubwa Barani Afrika huku Tanzania ikishika nafasi ya 9.

Kwenye orodha hiyo Nchi ya Afrika Kusini imeongoza na kuzipita Nigeria na Misri ambazo zimekuwa zikiongoza Kwa miaka Mingi.

Pia takwimu hizo zinaonesha kufanya vizuri Kwa Nchi Tajiri ya Rasilima ya Algeria ambayo imeshika nafasi ya 3 juu ya Nigeria.

Kana kwamba haitoshi Nchi ya Ivory Coast imezipita Ghana na Tanzania na kushika nafasi ya 8 kutoka nafasi za chini zaidi.

Uchambuzi zaidi imeonesha Angola imeporomoka kiuchumi kutokana na sababu ambazo jazijabainishwa.
View attachment 2973637

My Take
Takwimu hizi Huwa zinabadilika Kila mwaka kutegemeana na Taasisi inayotoa takwimu.

Mathalani WB Huwa wanakadiria Uchumi wa Tanzania kuwa Dola Bilioni 85 na sio 80 zinazotajwa na IMF kama inavyosomeka kwenye taarifa hii hapa IMF/WB: Ukubwa Wa Uchumi wa Tanzania Wafikia Dola Bilioni 85.4 Mwaka 2023 kutoka Dola Bilioni 70 Mwaka 2021

-----
View attachment 2973631

In 2024, Africa's economic landscape showcases a mix of resilience and challenges, with South Africa emerging as the continent's largest economy according to the latest IMF data. The International Monetary Fund (IMF) has released its rankings, highlighting the economies in Africa based on GDP figures for the year. These rankings shed light on the economic trajectories of various nations and forecast future trends within the region.

Top 15 African Economies

The IMF's latest report reveals the following ranking of Africa's largest economies in 2024:

Despite facing persistent macroeconomic challenges, the overall economic outlook for Africa remains stable. The IMF's projections indicate that South Africa, Egypt, Algeria, and Nigeria will maintain their positions as Africa's top four economies until 2030. Notably, South Africa is poised to surpass Nigeria and Egypt to become the continent's largest economy, benefiting from energy supply improvements and logistical enhancements.

Nigeria, once Africa's largest economy, has slipped to the fourth position in 2024. The nation is grappling with multiple economic hurdles, including a soaring inflation rate of 33%, a weakening currency, and the aftermath of government economic reforms. Last year, the Nigerian government implemented significant policy changes, such as ending petrol subsidies and allowing market forces to dictate the currency exchange rate, leading to a surge in living costs.

Furthermore, Nigeria faces acute dollar shortages crucial for imports, exacerbating its dependence on foreign goods. The Nigerian Naira remains substantially devalued against the dollar, impacting both consumer purchasing power and import-dependent sectors.

To combat rising inflation, the Central Bank of Nigeria recently raised interest rates to 24.75% and eliminated electricity tariff subsidies. These measures aim to stabilize prices and restore economic confidence amidst challenging circumstances.

Meanwhile, Egypt, which held the top economic position in 2023, is projected to slide to the second spot behind South Africa due to successive currency devaluations. Despite this setback, the IMF forecasts that Egypt could reclaim the top position by 2027, underscoring the country's economic resilience and recovery potential.

Looking ahead, the IMF's World Economic Outlook emphasizes the need for sustained reforms and investments to bolster Africa's economic resilience. Countries like Kenya are expected to climb in the rankings, surpassing economies such as Angola in the coming years. Ethiopia's economy, holding steady in the fifth position, is projected to maintain its standing until 2030.

Africa's economic trajectory underscores the importance of strategic policies and investments to mitigate challenges and unlock growth opportunities across the continent. As nations navigate complex economic landscapes, sustained reforms and international partnerships will play a pivotal role in shaping Africa's economic future.

Chanzo: Africa View Facts

View: https://twitter.com/spectatorindex/status/1784228507540734335?t=kxDKO_JtFSeDtHHhMmK2IA&s=19

Hakuna Listi ya Ukuaji uchumi Tanzania itakosa 👇👇

View: https://twitter.com/TanzaniaInsight/status/1787819132198482222?t=XqLMyRmOeGKAJ6IOuBCHSw&s=19
 
Kuwa miongoni wa viongozi kwenye kundi la wajinga sio sifa.
 
Shida Yao ni wivu waliona nene Samia roho zinawauma 😆🤪
Ila pia ni asili ya asili yetu wabongo hatujawai kujikubali Kwa lolote miaka na miaka tofauti na wenzetu wakenya..
Tunaamin kila kit kizuri ni Cha wenzetu na mabaya yote dunian ni ya kwetu.mentality mbaya kabsa
 
Back
Top Bottom