Eti "out of main point". What is the main point? Lugha hujui, lakini hata aibu ya kuweka ujinga bado hutambui?Out of main point, ndiyo maana huwa nasema chadema ni wepesi sana, and useless, sipo chama chochote, lakini acha CCM iendelee tu, mpaka tutakapoona au watokee wenye akili ndani ya chama kingine!
Sasa kama bado una-"dig up" (what ever that means), unakataa nini kitu usicho kifahamu!Let me dig up!
Nakataa kuwa karibu na kenya, Kenya ipo juu mno na inadaiwa kweli siyo mchezo
Mkuu, you're hardly literate!Alhamdulilah nimetembea nchi mbalimbali, Jana nimeshuhudia kitu cha ajabu sana, mwenyekiti wa kata fulani ndani ya Wilaya ya ilala, anapita na kipaza sauti, akiwataka vijana walemavu na kinamama kwenye kuchukuwa fedha za ten %, za halmashauri, yaani anawaomba waende katika ofisi za Kata, nikasema je huu ni upendo wa aina gani kwa serekali hii kwa watu wake, nenda Kenya, Uganda Rwanda, msumbiji, Marekani, Uingereza, uone kama kuna kuna upendo wa aina hii, tumelala sana, na wavivu wa kufikiri na uvivu huu ndiyo uleule unaokuja kusababisha xenophobia kama S. A.
🤣🤣🤣Acha wakenya waendelee kujivunia kujua kingereza 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Habari mbaya sana hii kwa chakadomozMama asiione hii report
🙄🙄🙄Tanzania ni nchi ya Watanzania si nchi ya Samia.Punguza upumbavu na upuuzi.
Mkuu taratibu, kwani ugumu wa maisha unawakung'uta hao tu??Habari mbaya sana hii kwa chakadomoz
Wamelia sana aisee
Hayo ni madeni ya WB tu, Kenya ina madeni makubwa ya IMF pia na Domestic debt.Let me dig up!
Nakataa kuwa karibu na kenya, Kenya ipo juu mno na inadaiwa kweli siyo mchezo
Hili ni swali la msingi mno???Nani analipa madeni
Samia anachangia Tshs ngapi ktk kulipa madeni?
Usijisifie upumbavu wakati deni la Taifa linakaribia trilion 100
🙋♂️🎯👍👌👊👏🤝🙏Hayo ni madeni ya WB tu, Kenya ina madeni makubwa ya IMF pia na Domestic debt.
Muhimu hapo ni cashflow, maturity ya madeni, budget na tax revenue. Situation zetu overall hazipo sawa.
Madeni ya Tanzania ya hasa bi-tozo sio yote yaliyo mature, ni swala la muda tu kabla hatujaanza kulia, maana hata hao WB washaanza kusita-sita kukopesha tena.
Acha uchawa wewe toka lini Tanzania ikawa ya samia? Mbona hizo nchi nyingine hujasema ni za nani?Top 10 African countries with the highest debt to the IMF in Q4 of 2024
Rank Country Total IMF Credit Outstanding as of 09/27/2024 1. Egypt 9,450,430,014 2. Kenya 3,022,009,900 3. Angola 2,989,900,003 4. Ghana 2,245,321,000 5. Cote d'Ivoire 2,192,118,672 6. Democratic Republic of Congo 1,599,000,000 7. Ethiopia 1,313,857,500 8. South Africa 1,144,200,000 9. Cameroon 1,130,220,000 10. Senegal 1,105,595,000
Top 10 African countries with the highest debt to the IMF in Q4 of 2024
Several African countries have become very conversant with the International Monetary Fund (IMF), as they look to plug the holes in their economiesafrica.businessinsider.com
Kwani hii taarifa kaitunga mleta mada hadi awatumie watu pm? Akili finyu hizo.Hii taarifa ulitakiwa uwatumie watu pm asiiyone Mwigulu anaenda kuchekea chooni
🤔🤔🤔Out of main point, ndiyo maana huwa nasema chadema ni wepesi sana, and useless, sipo chama chochote, lakini acha CCM iendelee tu, mpaka tutakapoona au watokee wenye akili ndani ya chama kingine!
Tumeupiga mwingi.Top 10 African countries with the highest debt to the IMF in Q4 of 2024
Rank Country Total IMF Credit Outstanding as of 09/27/2024 1. Egypt 9,450,430,014 2. Kenya 3,022,009,900 3. Angola 2,989,900,003 4. Ghana 2,245,321,000 5. Cote d'Ivoire 2,192,118,672 6. Democratic Republic of Congo 1,599,000,000 7. Ethiopia 1,313,857,500 8. South Africa 1,144,200,000 9. Cameroon 1,130,220,000 10. Senegal 1,105,595,000 Top 10 African countries with the highest debt to the IMF in Q4 of 2024
Several African countries have become very conversant with the International Monetary Fund (IMF), as they look to plug the holes in their economiesafrica.businessinsider.com
Wewe ndio jipime tofautisha kukopa na kuomba, ukikopa na ukakopeshwa basi uko vizuri ukinyimwa mikopo ndio ujuwe maskini. Unakopa kutokana na GDP yako ni kama mifumo ya Bank zetu unakopa kutokana na uwezo wako wa kulipa. Kama mtu mshahara Mil 20 kwa mwezi anaweza kuvuta 500M kama mshahara wako 1M unavuta 20M tu. Ila hukopeshwi kulipa mishahara ila unakopeshwa ku fund miradi.Kuna Kilazaa fulani akiiona tu hiyo ripoti mwezi ujao anakwea pipa huyooo kwa mabeberu kwenda kukupa.
bi mkubwa binafsi ninampenda, ila tu kapwaya kwenye nafasi, kashindwa kuyadhibiti manyang'au. majizi na mafisadi yanafanya yatakavyo. Anauza na kugawa mali za Tanganyika, ana mis-use public fund,Hakuna watu wanapata tabu Sasa kama haters wa Samia aisee. Poleni sana