IMF yatoa taarifa ya nchi 10 zinazoongoza kwa Madeni makubwa barani Africa Kenya yashika nafasi ya pili Tanzania ya Samia haipo kwenye orodha

Out of main point, ndiyo maana huwa nasema chadema ni wepesi sana, and useless, sipo chama chochote, lakini acha CCM iendelee tu, mpaka tutakapoona au watokee wenye akili ndani ya chama kingine!
Bado huelewi hiyo "main point" ni nini hasa!
Unatumia tu maneno yasiyo leta maana ya unacho lenga kukieleza.
 
alaaah kumbe bado himilivu 🤣🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…