IMF yatoa taarifa ya nchi 10 zinazoongoza kwa Madeni makubwa barani Africa Kenya yashika nafasi ya pili Tanzania ya Samia haipo kwenye orodha

IMF yatoa taarifa ya nchi 10 zinazoongoza kwa Madeni makubwa barani Africa Kenya yashika nafasi ya pili Tanzania ya Samia haipo kwenye orodha

Out of main point, ndiyo maana huwa nasema chadema ni wepesi sana, and useless, sipo chama chochote, lakini acha CCM iendelee tu, mpaka tutakapoona au watokee wenye akili ndani ya chama kingine!
Bado huelewi hiyo "main point" ni nini hasa!
Unatumia tu maneno yasiyo leta maana ya unacho lenga kukieleza.
 

Top 10 African countries with the highest debt to the IMF in Q4 of 2024​

RankCountryTotal IMF Credit Outstanding as of 09/27/2024
1.Egypt9,450,430,014
2.Kenya3,022,009,900
3.Angola2,989,900,003
4.Ghana2,245,321,000
5.Cote d'Ivoire2,192,118,672
6.Democratic Republic of Congo1,599,000,000
7.Ethiopia1,313,857,500
8.South Africa1,144,200,000
9.Cameroon1,130,220,000
10.Senegal1,105,595,000
alaaah kumbe bado himilivu 🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom