haina haja bana.., we jua ni mtu flani tu amazing...!nataka nimuone mbwiga bwana au ni wewe?
we tubanie tuhaina haja bana.., we jua ni mtu flani tu amazing...!
nyie ndo wale mnaothaminisha mashemeji eeh, awamu hii taarifa tu inatangulia hamna picha wala nini [emoji34]
asante mkuu afadhali nimemuona basi
Hahaha hivi mbwiga yukoje ? Huyu jamaa sijawahi mwona
hapo najua hujaangalia vzr maana yupo karibu na mheshimiwa...., lazima mawazo yako yatakuwa hayapo kwenye picha tenaasante mkuu afadhali nimemuona basi
nimewaza pesa zakehapo najua hujaangalia vzr maana yupo karibu na mheshimiwa...., lazima mawazo yako yatakuwa hayapo kwenye picha tena
Mwendo wa kumpa na kumpa tena....[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kampa kampa tena
Bora umekuwa mkweli...., ndo hivo sasa mwenzako anaanza kuzitumbua. Yale anayotuambiaga kwenye kile kipindi kifelishi cha watoto ndo anafanyiwa Mbwiganimewaza pesa zake
Ohooooo....[emoji15] [emoji15]we elewa tu hivyo hivyo bila picha.... kuthaminisha kwa nn?
nataka nimuone mbwiga bwana au ni wewe?
dar watu na zali zaoBora umekuwa mkweli...., ndo hivo sasa mwenzako anaanza kuzitumbua. Yale anayotuambiaga kwenye kile kipindi kifelishi cha watoto ndo anafanyiwa Mbwiga
Laahaulaaa
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]haina haja bana.., we jua ni mtu flani tu amazing...!
nyie ndo wale mnaothaminisha mashemeji eeh, awamu hii taarifa tu inatangulia hamna picha wala nini [emoji34]
HahahahahahaOhooooo....[emoji15] [emoji15]
sasa katika hapo ni yupi huyo aliyevaa shati jeupe au aliyevaa suti maana naona watu wawili
Ni huyo mwenye mwanya.....sasa katika hapo ni yupi huyo aliyevaa shati jeupe au aliyevaa suti maana naona watu wawili