Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nliwahi kumuona ona sana mitaa ya magomeni kwa mwaka jana, sijui ndo kwakemi simtaki nataka kumuona tu ..
yawezekana ni kwakeNliwahi kumuona ona sana mitaa ya magomeni kwa mwaka jana, sijui ndo kwake
itakuwa, ni mtu powa sana. Hana makuu. Ana story ile mbayayawezekana ni kwake
mi simtaki nataka kumuona tu ..
Dah asante halafu sikufikiria hii option kabisaBen nenda you tube kuna clip zake za ndondo
Nliwahi kumuona ona sana mitaa ya magomeni kwa mwaka jana, sijui ndo kwake
mbona kama haiji akilin iv,akili km inakuwa nzito kupokea hii taarifa,yangu machooBaada ya kuruka ruka kwa miaka mingi bila mafanikio,hatimaye mkali wa mapenzi nchini amempata mtu wa kuzeekea naye,mama huyo ameamua kutua kwa nguli la michezo nchini kutoka redio ya mawingu,awali mama huyo na Mbwiga walionekana kwenye viwanja kazaa yalipokuwa yakifanyika mashindano ya ndondo,ambapo mara kadhaa mama huyo alishindwa kuzuia hisia zake nakujikuta akimkiss Mbwiga kila dakika.
Vyombo vyetu vya habari vilipomtafuta Mbwiga kuelezea suala hilo kama kawaida yake alikuwa na maneno mengi ya kuongea "yeah mtoto katua kwa mzaramo halisi hapa,yaani ni kama kuala lumpa malaysia,yaani kama vile napiga lkn nadeshi au kama natema kulia halafu nafukia kushoto,si unajua watoto wa mjini tuna njaa kama watoto wa boko,hapa ni mwendo wa kumpa na kumpa tena,chini ya udhamini wabinsulum tires"
Habari kutoka mawingu zinasema wawili hao wako kwenye mipango ya awali kabisa ya ndoa yao.
mfollow kwa IG ama hata account ake huijuiMim simfaham Diva yupoje jamani?
tafadhani weken picha yake hapa.
mfollow kwa IG ama hata account ake huijui
catchup with her@divathebawseMkuu we kama unaweza weka hapa
utanisaidia sana.
catchup with her@divathebawse
Watu wenye stori sana, hua wana kamba fix balaa[emoji23] [emoji23]itakuwa, ni mtu powa sana. Hana makuu. Ana story ile mbaya
Binafsi sioni ubaya kwakua karidhia na kaamua kutafuta pumziko la mtima wakeDiva mwanzo alikuwa na shauzi nyingi sasa kaona umri unaenda