Mkuu....!
!
khaaaa....kama kila aliyempitia Diva angekuwa anamchanja chale usoni Diva angekuwa zaidi ya Mmakonde... Na kwa muda huu watu wangekuwa wanarudia kuchanja juu ya makovu. Khaaa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hongera yake, ANA KIPAJI MANA kumpenda MWANAUME MWENYE MANENO MENGI NAKO NI KIPAJI.
Mkuu....
Sisi tulio zaliwa zamani tuna semaga, haina makombo
Yaani diva huyu huyu aliyekuwa anatoka na mheshimiwa naniluuu?Hongera yake, ANA KIPAJI MANA kumpenda MWANAUME MWENYE MANENO MENGI NAKO NI KIPAJI.
Hapa wakati hela ya Binslum haijamtembelea...Tairi za bure za gari na wese la week si mchezo!!Mkola wa nyani..kama unapiga kumbe unafinyaa!!NywiiiiiiiiiHahaha hivi mbwiga yukoje ? Huyu jamaa sijawahi mwona
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] dah asante mkuu ,pesa ni kitu nyingine kabisaView attachment 396737
Hapa wakati hela ya Binslum haijamtembelea...Tairi za bure za gari na wese la week si mchezo!!Mkola wa nyani..kama unapiga kumbe unafinyaa!!Nywiiiiiiiii
Nimekuunga mikono na miguu!na ndio diva kafata ili alipiwe rent kwa dollarpesa tu ndiyo mvuto
Hehee na diva anavyojishauaga ooh mara a man with sex body mara sex voice hehhe kaptikana huyo ana sex body gan kwa mfano haahaha !View attachment 396294
huyo mwenye red hapooo