Paula kilaki
JF-Expert Member
- Jun 26, 2014
- 1,909
- 1,290
hata ni share kitanda kimoja na WEMA mpini husimami,
hutaki unachaa sirudi tena
hata ni share kitanda kimoja na WEMA mpini husimami,
hutaki unachaa sirudi tena
Kiukweli UKWELI siku zote unauma tena sana,
lakini mimi nasema hivi, akupendae kwa dhati hukueleza ukweli
juzjuz hapa watu walimfungia diamond kibwebwe na matusi kibao
kisa kumpa za uso wema live bila chenga huko Insta.
mara oooh kamdhalilisha mara hampendi
lakini dawa ya jipu ni kulitumbua
wema alibweteka akapitiliza
lakini baada ya michano madame ametulia na brain yake sasa imeanza kufanya kazi.
she is back on line and soon tarajieni mazuri toka kwake
IN MY SHOES SEASON II ipo jikoni
what a good news for her fans????
[/QUOTE]so what????????QUOTE=Paula kilaki;10738628]Kiukweli UKWELI siku zote unauma tena sana,
lakini mimi nasema hivi, akupendae kwa dhati hukueleza ukweli
juzjuz hapa watu walimfungia diamond kibwebwe na matusi kibao
kisa kumpa za uso wema live bila chenga huko Insta.
mara oooh kamdhalilisha mara hampendi
lakini dawa ya jipu ni kulitumbua
wema alibweteka akapitiliza
lakini baada ya michano madame ametulia na brain yake sasa imeanza kufanya kazi.
she is back on line and soon tarajieni mazuri toka kwake
IN MY SHOES SEASON II ipo jikoni
what a good news for her fans????
Wivu ni ugonjwa mbaya sana tena hauna dawa. Kungekuwa na hospitali ya wivu ningekuelekeza uende.
Pole sana.
Best siio kila kitu wivu ni mtazamo wake tu kutofautiana ni kawaida sana hata huwa haihusishi wivu ingekua hivo si pangekuwa pana chimbika na tusingeelewana
Yaan kila kitu wasifiwe utafikiri Wema malaika Mungu mwenyewe anachukiwa na kupewa mawazo tofauti sembusee kibaraka wema aiiii
Wivu ni ugonjwa mbaya sana tena hauna dawa. Kungekuwa na hospitali ya wivu ningekuelekeza uende.
Pole sana.
Mwenyewe nashangaa kila kilicho na kizuri pia kina kasoro sasa wengine hata hawaoni tatizo mtu usiposifia aki takacho wanaanza ooh wivu haters mi huwa nashindwa hata kuelewa ni kupenda hadi kujitoa ufahamu au kuna la ziada mtu akifanya vizuri tunam sifia na kumpongeza akikosea lazima aambiwe sasa wakiona hivo wanaanza ooh hater huwa nashindwa kuelewa
Wacha weeee inalipa hiyoo etii
Can't wait kuona hiko kipindi na kirudi tu tulikimisi saaaana
Hivi ina wadhamini?
Au anajidhamini mwenyewe
Anaonyesha nini humo?
(Sijawahi kukiangalia)