CCM ikiacha kukumbatia mawaziri mizigo wanaotangaza hadharani kwamba tunaibaga kura ndani ya miaka kumi CCM itakuwa haikamati.Kiongozi legelege tusimkumbatie bali tumtoe .
Leo kila hospitali ya mkopa ina CT scan ,ina madakitari bingwa.soon hospitali za wilaya itakuwa na mabingwa.tumeanza na madaktaru wa Samia .
Chama kisimamie miundo mbinu kama barabara,vivuko,SGr ,ndege,shule na mahospitali na utiaji wa haki kwa wananchi.then tupunguze Kodi kwa wananchi.in the next 10 years CCM itakuwa haikamatiki
Leo kila hospitali ya mkopa ina CT scan ,ina madakitari bingwa.soon hospitali za wilaya itakuwa na mabingwa.tumeanza na madaktaru wa Samia .
Chama kisimamie miundo mbinu kama barabara,vivuko,SGr ,ndege,shule na mahospitali na utiaji wa haki kwa wananchi.then tupunguze Kodi kwa wananchi.in the next 10 years CCM itakuwa haikamatiki