Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,984
- 19,288
Yan ukiwa mbumbumbu ni mzigo. Hiyo ni google weweHizo timu ambazo hazimo top 10 ya CAF rankings taarifa zake hazifahamiki sana kwenye database za CAF.
Utopolo united ni klabu ya kijima na ni mwamvuli wa siasa za CCM Tanzania.
Haifahamiki sana [emoji23]
Hizi ndio athari za kukosa lishe bora tangu utotoniUkicheki club nyingine kama Simba, Wydad, Mamelodi, Mazembe, Al Ahlyna nyinginez majina yao yameandikwa huku pembeni yake kuna logo isipokuwa Yanga na vitimu vingine vidogo
Najiuliza ni kuwa hawaifahamu logo ya Yanga au ni dharau?
Maana Yanga imecheza fainali ya Shirikisho na kuvaa medali iweje logo yao hawaifahamu?
View attachment 2847975
View attachment 2847974
Umeamua kujiabisha. Ingia website ya CAF kama hawajaweka logo ya Yanga.Ukicheki club nyingine kama Simba, Wydad, Mamelodi, Mazembe, Al Ahlyna nyinginez majina yao yameandikwa huku pembeni yake kuna logo isipokuwa Yanga na vitimu vingine vidogo
Najiuliza ni kuwa hawaifahamu logo ya Yanga au ni dharau?
Maana Yanga imecheza fainali ya Shirikisho na kuvaa medali iweje logo yao hawaifahamu?
View attachment 2847975
View attachment 2847974
Sawa, hata kama ni Google, ina maana hawaifahamu logo ya Yanga wakati imecheza fainali Shirikisho? Na kuvaa medali?Mbona hiyo ni Google halafu we unasema ni CAF
Kwa hiyo Google ndio hawaifahamu Logo ya Yanga ?Umeamua kujiabisha. Ingia website ya CAF kama hawajaweka logo ya Yanga.
Angalia ukurasa wao CAF unaona hiyo nembo ta Yanga.View attachment 2848024
Subiri mechi 6 zikamilike anae weza kucheka sasa hivi ni ni ASEC Memosas tu wengine ni Mungu saidiaTunaongoza msimamo kutoka CHINI
Sawa hawaifahamu umepata nini?Sawa, hata kama ni Google, ina maana hawaifahamu logo ya Yanga wakati imecheza fainali Shirikisho? Na kuvaa medali?
Ignorance is bliss!Ukicheki club nyingine kama Simba, Wydad, Mamelodi, Mazembe, Al Ahlyna nyinginez majina yao yameandikwa huku pembeni yake kuna logo isipokuwa Yanga na vitimu vingine vidogo
Najiuliza ni kuwa hawaifahamu logo ya Yanga au ni dharau?
Maana Yanga imecheza fainali ya Shirikisho na kuvaa medali iweje logo yao hawaifahamu?
View attachment 2847975
View attachment 2847974
Hii ndio itafanya tuzidi kudharaulikaSawa hawaifahamu umepata nini?View attachment 2848040
Acha udharaulike Si hauna akiliHii ndio itafanya tuzidi kudharaulika
Makolo zile 5 bado zinawasumbua πUmeamua kujiabisha. Ingia website ya CAF kama hawajaweka logo ya Yanga.
Angalia ukurasa wao CAF unaona hiyo nembo ta Yanga.View attachment 2848024
ππHizo timu ambazo hazimo top 10 ya CAF rankings taarifa zake hazifahamiki sana kwenye database za CAF.
Utopolo united ni klabu ya kijima na ni mwamvuli wa siasa za CCM Tanzania.
Haifahamiki sana [emoji23]
ππ π€£Tunaongoza msimamo kutoka CHINI
Mimi nimesema tu.Subiri mechi 6 zikamilike anae weza kucheka sasa hivi ni ni ASEC Memosas tu wengine ni Mungu saidia