Ina maana Caf hawajui logo ya Yanga au ni dharau?

Mzee unafahamu kitu kinachoitwa club coefficient?
Ni point ambazo club inapata uwanjani kutokana na performance zake mechi za kimataifa.....UEFA wanazitimia kujua club bora na kufanya seeding ya makundi kwenye UCL, CAF na yenyewe hufanya hivyo hivyo kwenye kufanya seeding za makundi ya CafCL, hata FiFa kwenye worldCup

Sasa kwa kutumia vigezo hivyo ambavyo vinatumiwa na CAF na UEFa na FIFa, Simba imeizidi Asec,

Kucheza fainali miaka 30 ili yopita haukuifanyi timu kuwa kubwa bali ni consistency
 
Sasa kwenye makombe 5imba anamzidi nini ASEC Memosas?
 
Umeua hio kenge
 
Dah afu ukute we ndio mume wa dada yangu


Ntalia mimi[emoji28]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…