Wingawinga
JF-Expert Member
- Oct 31, 2021
- 623
- 1,531
Je, unapo ambiwa kivuli cha marehemu kina kufuata huwa inamaanisha nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sijaelewa vizuri unasema? ila kumuoa nina muota il muda mrefu sijamuotaWingawinga unamuota mara kwa mara, kama mtoto mchnga analia sana ndiyo watu wànampai jina.
Asante , Marehemu kwua na kinyongo na mtu dalili zake ni zipi na ,ina maanisha nini kusema haja pumzika , yani huwa na patwa na nini kama haja rest in peace?maana yake marehemu ana kinyongo na wewe huko aliko haja rest in peace. omba toba kwaajili yake ili nafsi yake ipumzike
🫶
Naomba fafanuaOgopa kivuli cha marehemu kuliko hata kole cha mwanga
Labda ni mtu aliyekufa kwa kinyongo sasa anatafuta namna ya kulipiza kisasi kupitia mwingine aliye haiJe unapo ambiwa kivuli cha marehemu kina kufuata huwa ina maanisha nini?
I mean je jibu lako ni una hisi au ndio unavyo juwa?Labda ni mtu aliyekufa kwa kinyongo sasa anatafuta namna ya kulipiza kisasi kupitia mwingine aliye hai
Ukilala unamuhisi kama yupo nawe, unazungumza nae kama vile mzima Wingawingasijaelewa vizuri unasema? ila kumuoa nina muota il muda mrefu sijamuota
"Unapo ambiwa" umeambiwa hivyo na nani???Je unapo ambiwa kivuli cha marehemu kina kufuata huwa ina maanisha nini?
Uo udaku sasa, unatakakujua mengine yasio semeka.lol"Unapo ambiwa" umeambiwa hivyo na nani???
Mwambie mganga wako akumalizie kila kitu aache kusema mambo nusu nusu 🤣🤣 mbona kuku umepeleka mzima 🤣🤣Uo udaku sasa, unatakakujua mengine yasio semeka.lol
Huyu hana kazi za kifanya anataka sumbua marehemuMwambie mganga wako akumalizie kila kitu aache kusema mambo nusu nusu 🤣🤣 mbona kuku umepeleka mzima 🤣🤣
We nyoosha maelezo wataalamu tukupe nondo usiogope
Ulimkosea nini? Yani kuna mambo yanahitaji walau kahistoria ili kupata majibu ya uhakika .....Je Marehemu anawezaje lipiza kisasi?
Mi nahisi kuna kitu alifanya sasa aliemtendea ubaya kavuta, possible mambo yake sahivi yanaenda ndivyo sivyo hivo anajaribu kuhusianisha mambo yake na mambo aliyomfanyia marehemu.Huyu hana kazi za kifanya anataka sumbua marehemu
within 40 days.. inaweza ikawa wenge la kweli.. ila zikipita 40 days.. msala huo na ni msala harisi.. 😬😬Je unapo ambiwa kivuli cha marehemu kina kufuata huwa ina maanisha nini?
Nimecheka kwa nguvu nyieMi nahisi kuna kitu alifanya sasa aliemtendea ubaya kavuta, possible mambo yake sahivi yanaenda ndivyo sivyo hivo anajaribu kuhusianisha mambo yake na mambo aliyomfanyia marehemu.
Afunguke tumsaidie kuna watu hapa tuna phd za hayo mambo sasa kama anafichaficha kuna siku marehemu atamkaba😁
Oooh kumbe alishawahi kukuchokoza ningeshangaa sana.Achana nae huyo, alizoea kunibully kwenye kila comment namuignore, hakujua kama huo mchezo naumudu pia.