National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,121
mtaalamu.. huogopi kivuli 😅😅Nimecheka kwa nguvu nyie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mtaalamu.. huogopi kivuli 😅😅Nimecheka kwa nguvu nyie
Hakunaga upuuzi huo bwana..ni vile anamuwaza sanamtaalamu.. huogopi kivuli 😅😅
itakuwa kivuli chake ana kikimbia tu.. wengeHakunaga upuuzi huo bwana..ni vile anamuwaza sana
Msala kivipi naoma unifafanuliewithin 40 days.. inaweza ikawa wenge la kweli.. ila zikipita 40 days.. msala huo na ni msala harisi.. 😬😬
Wema nime mtendea sioni kipi ana weza kuwa na tatizo na mimiUlimkosea nini? Yani kuna mambo yanahitaji walau kahistoria ili kupata majibu ya uhakika .....
Kama ukimtendea wema anakuja kukushukuru bila shaka hata ubaya atausimamia pia, mi binafsi nafsi yake ilirudi kwangu mara nyingi sana ila ilikua na ujumbe wa shukrani.
Sija mkosea lolote nataka kujua tuu kama ana jua kama nilimpenda anajua kama nilijitahidi kila jambo je anajua kama nilikuwa namjali ,sababu siku za mwisho kidogo nilikua mkali kwake kwa sababu alikua ana bisha matibabu sasa ikabidi niwe mkali ili aweze kubali sikupata muda wa ku mweleza namjali kwakiasi gani kifo chake sikukitegemea kitoke kabisa kama kili tokea kwa kushangaza ghafla hivyo bado na hali ya kuumia kwamba sikumpa mazingira ya furaha mwisho wake , je ukali wangu alitafsiri kama simpendi ?kwa kifupi nilikua kama na mnunia kila nikiwa wodini , nila ilikua ni aone kaniutdhi ili akubali matibabu .Ulimkosea nini? Yani kuna mambo yanahitaji walau kahistoria ili kupata majibu ya uhakika .....
Kama ukimtendea wema anakuja kukushukuru bila shaka hata ubaya atausimamia pia, mi binafsi nafsi yake ilirudi kwangu mara nyingi sana ila ilikua na ujumbe wa shukrani.
Je unapo ambiwa kivuli cha marehemu kina kufuata huwa ina maanisha nini?
Hufuatwi na kivuli chake hiyo ni lahaja tu ama lugha picha lakini kwa usahihi ni mzimu wa marehemu na hili hutokea pale mtu kila afanyacho ama asemacho atamtaja marehemu kwa uzuri ama kwa ubayaNgoja mchawi mstaafu Mshana Jr aje kutusaidia katika hili.
Asante sana ,Je kuna Ubaya kufuatwa na mzimu ?Hufuatwi na kivuli chake hiyo ni lahaja tu ama lugha picha lakini kwa usahihi ni mzimu wa marehemu na hili hutokea pale mtu kila afanyacho ama asemacho atamtaja marehemu kwa uzuri ama kwa ubaya
Kuna kufuatwa na kivuli cha marehemu na kuna kuandamwa na mzimu wa marehemu! Haya yote nawili yana maana MOJA.. Lakini kiuhalisia marehemu hana kivuli
Sent using Jamii Forums mobile app
Inategemea ni mzimu wa nani na unakufuata kwa ubaya au kwa wema?Asante sana ,Je kuna Ubaya kufuatwa na mzimu ?
inamaanisha unatakiwa kukirudisha kaburiniJe unapo ambiwa kivuli cha marehemu kina kufuata huwa ina maanisha nini?
Okay...kwanini sasa unahisi anakufata, au unamuota ota mara kwa mara?Sija mkosea lolote nataka kujua tuu kama ana jua kama nilimpenda anajua kama nilijitahidi kila jambo je anajua kama nilikuwa namjali ,sababu siku za mwisho kidogo nilikua mkali kwake kwa sababu alikua ana bisha matibabu sasa ikabidi niwe mkali ili aweze kubali sikupata muda wa ku mweleza namjali kwakiasi gani kifo chake sikukitegemea kitoke kabisa kama kili tokea kwa kushangaza ghafla hivyo bado na hali ya kuumia kwamba sikumpa mazingira ya furaha mwisho wake , je ukali wangu alitafsiri kama simpendi ?kwa kifupi nilikua kama na mnunia kila nikiwa wodini , nila ilikua ni aone kaniutdhi ili akubali matibabu .
Unaamini marehemu ana nafasi katika maisha ya anayeishi?!maana yake marehemu ana kinyongo na wewe huko aliko haja rest in peace. omba toba kwaajili yake ili nafsi yake ipumzike
🫶
haswaaUnaamini marehemu ana nafasi katika maisha ya anayeishi?!
Nina mwaza kila saa ,kila dakika ndio mtu mmoja akasema hivyoOkay...kwanini sasa unahisi anakufata, au unamuota ota mara kwa mara?
Unachofeel ni kitu cha kawaida tu inatokea....
Sawa mkuu, Una Fungu la maandiko matakatifu linalopelekea hiyo Imani au ni hisia tu kiongozi?!haswaa
Unaweza kufafanua zaidihaswaa
Samahani mkuu unaamini katika maandiko matakatifu?!Unaweza kufafanua zaidi
unadhani kila kitu kiko kwenye bibliaSawa mkuu, Una Fungu la maandiko matakatifu linalopelekea hiyo Imani au ni hisia tu kiongozi?!