Ina maana gani kufuatwa na kivuli cha marehemu?

Ina maana gani kufuatwa na kivuli cha marehemu?

Ulimkosea nini? Yani kuna mambo yanahitaji walau kahistoria ili kupata majibu ya uhakika .....

Kama ukimtendea wema anakuja kukushukuru bila shaka hata ubaya atausimamia pia, mi binafsi nafsi yake ilirudi kwangu mara nyingi sana ila ilikua na ujumbe wa shukrani.
Wema nime mtendea sioni kipi ana weza kuwa na tatizo na mimi
 
Ulimkosea nini? Yani kuna mambo yanahitaji walau kahistoria ili kupata majibu ya uhakika .....

Kama ukimtendea wema anakuja kukushukuru bila shaka hata ubaya atausimamia pia, mi binafsi nafsi yake ilirudi kwangu mara nyingi sana ila ilikua na ujumbe wa shukrani.
Sija mkosea lolote nataka kujua tuu kama ana jua kama nilimpenda anajua kama nilijitahidi kila jambo je anajua kama nilikuwa namjali ,sababu siku za mwisho kidogo nilikua mkali kwake kwa sababu alikua ana bisha matibabu sasa ikabidi niwe mkali ili aweze kubali sikupata muda wa ku mweleza namjali kwakiasi gani kifo chake sikukitegemea kitoke kabisa kama kili tokea kwa kushangaza ghafla hivyo bado na hali ya kuumia kwamba sikumpa mazingira ya furaha mwisho wake , je ukali wangu alitafsiri kama simpendi ?kwa kifupi nilikua kama na mnunia kila nikiwa wodini , nila ilikua ni aone kaniutdhi ili akubali matibabu .
 
Ngoja mchawi mstaafu Mshana Jr aje kutusaidia katika hili.
Hufuatwi na kivuli chake hiyo ni lahaja tu ama lugha picha lakini kwa usahihi ni mzimu wa marehemu na hili hutokea pale mtu kila afanyacho ama asemacho atamtaja marehemu kwa uzuri ama kwa ubaya
Kuna kufuatwa na kivuli cha marehemu na kuna kuandamwa na mzimu wa marehemu! Haya yote nawili yana maana MOJA.. Lakini kiuhalisia marehemu hana kivuli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hufuatwi na kivuli chake hiyo ni lahaja tu ama lugha picha lakini kwa usahihi ni mzimu wa marehemu na hili hutokea pale mtu kila afanyacho ama asemacho atamtaja marehemu kwa uzuri ama kwa ubaya
Kuna kufuatwa na kivuli cha marehemu na kuna kuandamwa na mzimu wa marehemu! Haya yote nawili yana maana MOJA.. Lakini kiuhalisia marehemu hana kivuli

Sent using Jamii Forums mobile app
Asante sana ,Je kuna Ubaya kufuatwa na mzimu ?
 
Sija mkosea lolote nataka kujua tuu kama ana jua kama nilimpenda anajua kama nilijitahidi kila jambo je anajua kama nilikuwa namjali ,sababu siku za mwisho kidogo nilikua mkali kwake kwa sababu alikua ana bisha matibabu sasa ikabidi niwe mkali ili aweze kubali sikupata muda wa ku mweleza namjali kwakiasi gani kifo chake sikukitegemea kitoke kabisa kama kili tokea kwa kushangaza ghafla hivyo bado na hali ya kuumia kwamba sikumpa mazingira ya furaha mwisho wake , je ukali wangu alitafsiri kama simpendi ?kwa kifupi nilikua kama na mnunia kila nikiwa wodini , nila ilikua ni aone kaniutdhi ili akubali matibabu .
Okay...kwanini sasa unahisi anakufata, au unamuota ota mara kwa mara?
Unachofeel ni kitu cha kawaida tu inatokea....
 
Roho ya mauti inakufuatilia...

Omba Mungu akuepushe nayo...

Ukipuuza utakufa...
 
Back
Top Bottom