Ina maana gani kumsomesha mtoto kwa mamilioni ya fedha halafu anapangiwa Shule za kawaida?

Ina maana gani kumsomesha mtoto kwa mamilioni ya fedha halafu anapangiwa Shule za kawaida?

Ina tija gani!?
Alafu ili iwe nini!?
Na kwanini!?

Yani nasomesha mtoto mtoto FEZA, GREEN ACRES, ST. MARYS SCHOOLS..MARIAN SCHOOLS

Alafu selection mnampeleka NKASI...CHUNYA , NAMTUMBO , SONGEA..

Hivi hizi selection ziko fair kweli!?
Kwanini selction ziendelee kuwa harassment kwa vijana na wazazi.

Hizi shule ambazo serkali inaziita special kwanini zisiwe nyingi ili mtoto apate haki yake.

Haiwezekani. Huko darasa la saba imeshazoeleka, wanafunzi wanahitimu wanafaulu with grade A average..woote wanasogezwa sekondari za kata. Sasa huu utaratibu naona unakuja na kuko A level.

Hii inakaaje. tamisemi sijui @Wizara ya elimu tupeni majibu.

How come effort brings you to disappointment than achievement.


Kwa hiyo ukimpeleka mtoto Havard, halafu akataka kurudi nchini unataka serikali imjengee chuo chake?
 
Wakati unampeleka mtoto wako hizo shule za mamilioni, hukuona km ni kubeza shule za serikali,,,,wew uliona ni ufahari kwako..

Sasa wakati serikali inampangia mwanao aende KAREMA SEC huko Mpanda vijijini, ndio unaona umedhalilishwa[emoji1745][emoji1745]

Basi mpeleke huko unakoona kutalinda heshima na pesa zako
Ndio maana mnashauriwa elimu ya TZ si vyema kuwekeza sana kwa mtoto huku shule za awali, ni ujinga ulimbukeni na upotezaji wa fedha...mpeleke mtoto shule za kawaida na bora kama umbwe lyamungo, ashira tanga tech ilboru halafu mpe maisha hapo shule asome, achukue one yake kisha weka nguvu yako mbeleni chuo kikuu ili asisome kwa mkopo tu, hapo utakuwa umepiga milestone ya nguvu, nina watoto wa anko wangu wamesoma hiyo mishule ya feza st constantine nk tena wakasoma ulaya na australia leo wako nyumbani tu anko anajuta kupoteza mamilioni ya shilingi
Masikini..nchi yangu.

Kama vijana ndo mnafikiri hivi.. tumekwisha.
 
Tujitahidi tu kwenda na wakati. Serikali imegundua watoto wengi kutoka shule zao za Kata, wanasoma katika mazingira magumu. Hivyo wameona watoe kipaumbele kwa hawa watoto kwenda zile shule za vipaji.

Kwa wale watoto wa Feza, kimsingi wamesoma kama kuku wa kisasa! Hawa sasa ndiyo wanapelekwa shule za kata ili kwenda kuongeza morali ya ufaulu. Na katika hili kwa kweli tuungane kuipa serikali maua yake. [emoji257][emoji253][emoji255]

Au nasema uongo ndugu yangu? [emoji56]
Kwahiyo watoto waliosoma privave wanakuwa sio watanzania?
 
Tatizo hiz div 1 za siku hiz zina kwashakoo sana.Zime chekechwaaaaa mpaka hazina ladha.
Siku hizi wanavuta marks unaambiwa

Mfano A inaanzia 75 so ukipata 73,74 unavutwa na inakuwa A na ukipta 62,63 na 64 inavutwa inakuwa B yahn ujinga mtupu
 
Niwe mpole kivipi nalipa kodi mkuu...

Baki na ujinga huohuo... Mmejenga ikulu mbili . Two state houses in a single country. Na mnaongeza Samia complex..

Hizo pesa zingeweza jenga shule special zaidi ya 50.

Hivi mmelogwa.
Mada inaongelea watoto wa shule za mamilioni kupangwa shule za Kata! Haya mambo Ikulu na Samia Complex yanaingiaje tena hapa.

Mkurugenzi, punguza munkari. Utakuja upate magonjwa yasiyo ya kuambukizwa iwapo kila jambo utalichukulia kwa uzito kiasi hiki.
 
Serikali ni ya watu wote unataka wachambue kwamba huyu mtoto kwao wanahela wampeleke shule ya vipaji? Tatizo ni wewe kama unahela muhamishie mtoto wako shule za private.
Ina tija gani!?
Alafu ili iwe nini!?
Na kwanini!?

Yani nasomesha mtoto mtoto FEZA, GREEN ACRES, ST. MARYS SCHOOLS..MARIAN SCHOOLS

Alafu selection mnampeleka NKASI...CHUNYA , NAMTUMBO , SONGEA..

Hivi hizi selection ziko fair kweli!?
Kwanini selction ziendelee kuwa harassment kwa vijana na wazazi.

Hizi shule ambazo serkali inaziita special kwanini zisiwe nyingi ili mtoto apate haki yake.

Haiwezekani. Huko darasa la saba imeshazoeleka, wanafunzi wanahitimu wanafaulu with grade A average..woote wanasogezwa sekondari za kata. Sasa huu utaratibu naona unakuja na kuko A level.

Hii inakaaje. tamisemi sijui @Wizara ya elimu tupeni majibu.

How come effort brings you to disappointment than achievement.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siku hizi wanavuta marks unaambiwa

Mfano A inaanzia 75 so ukipata 73,74 unavutwa na inakuwa A na ukipta 62,63 na 64 inavutwa inakuwa B yahn ujinga mtupu
Silifaham hilo japo inawezekana ila nina uhakika siku hiz mambo pahala pengi ni ya hovyo hovyo sana
 
Kati ya mambo ambayo naipongeza Serikali, basi ni hili la kuwapanga watoto wenu katika zile shule za Kata ambazo wazazi tulizikimbia hapo awali.

Watoto lazima wachangamane bhana.
Aaaah wapi. Mtoto wangu nimempeleka MIT, karo yake kwa mwaka ni bajeti ya wizara yenu ya elimu.
 
Kwahiyo watoto waliosoma privave wanakuwa sio watanzania?
Ni Watanzania wazuri kabisa. Lengo tunataka tu waende Shule za Kata, kuchangamana na wenzao waliosoma katika mazingira magumu.
 
Kati ya mambo ambayo naipongeza Serikali, basi ni hili la kuwapanga watoto wenu katika zile shule za Kata ambazo wazazi tulizikimbia hapo awali.

Watoto lazima wachangamane bhana.
Hiyo ni roho mbaya mkuu alio kuzidi amekuzidi ata ufanye je?
 
Mada inaongelea watoto wa shule za mamilioni kupangwa shule za Kata! Haya mambo Ikulu na Samia Complex yanaingiaje tena hapa.

Mkurugenzi, punguza munkari. Utakuja upate magonjwa yasiyo ya kuambukizwa iwapo kila jambo utalichukulia kwa uzito kiasi hiki.
Mkuu nakuonesha tu ni jinsi gani serikali inatuona sisi wananchi wake ni wajinga...
 
Hiyo ni roho mbaya mkuu alio kuzidi amekuzidi ata ufanye je?
Wazazi mtuunge mkono katika jambo hili. Serikali yenu ya awamu ya sita inayo ongozwa na Dr. Samia Suluhu Hassan, inawapenda watoto wote.
 
Mbona tumesoma shule za private za gharama, na bado tukapangwa special schools!

Mwanao ni kilaza, anapelekwa anakostahili. Siku hizi Division 1.7 na 1.8 ni nyingi, special schools zinajaa mapema.

Usilaumu serikali, uwezo wa mwanao mdogo.
 
Back
Top Bottom