Ina maana hakuna ages 19-28 humu?

Aisee wajomba zangu muamkapo asubuhi muwe mnatusalimia halafu sasa ndiyo muandike mnacho andika hapa
 
Hivi hawa vijana wamekwenda wapi Leo[emoji44][emoji44]
 
Natabiri wewe una miaka kati ya 23-27
 
[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
 
Tupo hapa mkuu usijali haupo peke yako
hahhahha Mimi niliamua kuwasemea tu,bado nipo sana kwenye kundi hili.hata hivyo sitaki na sidhani kama nitafika miaka 70.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…