Ina maana hawa wanaovaa makanga na matisheti ya CCM wakati wa kampeni CCM sio mali yao? Ni mali ya wajanja wa mjini

Hii sasa ni kali, kumbe hawa akina mama na akina baba huwa ni mazoba tu na huwa wanawasindikiza wenye chama chao?View attachment 2074418
Wewe ni miongoni mwa walioridhika kulipwa elfu 7 kwa wiki kwa kazi ya kutukana Chadema humu JF , endelea na kazi yako , Unamlilia nani sasa ?

Nimetumia nguvu kubwa sana kukufundisha lakini hamna kitu , UTAVUNA ULICHOPANDA , KAPUKU MKUBWA WE !
 
Wewe ni miongoni mwa walioridhika kulipwa elfu 7 kwa wiki kwa kazi ya kutukana Chadema humu JF , endelea na kazi yako , Unamlilia nani sasa ?

Nimetumia nguvu kubwa sana kukufundisha lakini hamna kitu , UTAVUNA ULICHOPANDA , KAPUKU MKUBWA WE !
Umempa makavu,tatizo la ccm followers ni kujifunza taratibu-slow learners and therefore not easy to teach them any lesson.
 
Wewe ni miongoni mwa walioridhika kulipwa elfu 7 kwa wiki kwa kazi ya kutukana Chadema humu JF , endelea na kazi yako , Unamlilia nani sasa ?

Nimetumia nguvu kubwa sana kukufundisha lakini hamna kitu , UTAVUNA ULICHOPANDA , KAPUKU MKUBWA WE !
Twende taratibu nimeuliza swali nataka majibu
 
Ndiyo siyo mali yao, ni mali ya viongozi wachache...
 
Wewe ni miongoni mwa walioridhika kulipwa elfu 7 kwa wiki kwa kazi ya kutukana Chadema humu JF , endelea na kazi yako , Unamlilia nani sasa ?

Nimetumia nguvu kubwa sana kukufundisha lakini hamna kitu , UTAVUNA ULICHOPANDA , KAPUKU MKUBWA WE !
Ujue hata sikuamini kabisa kama ni yeye, duh maisha yanakwenda speed sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…