Mungu amekasirika Mungu hajafurahishwa na hili jambo mmelifanya.
Tumepatwa na majanga watu wamekufa leo waziri anatangaza Rais ametoa 700m kwa ajili ya ushindi wa Taifa star ndugu zangu hili litajibiwa kwa majibu magumu toka kwa Mungu.
Je, taifa halina wazee nakuwaambia huu sio muda wa kutoa matamko ya kusheherekea mpira Taifa lina msiba watu wamekufa kwa uzembe wa walio pewa mamlaka je familia zilizobpoteza ndugu simngezipa japo hata 50m wangeona na hili la kutoa 700m ni sawa sasa mmeleta uchungu pasipo sababu.
Mungu amekasirika na atawajibu huwo ndio unabii wangu kwa siku ya leo. Amen.
Tumepatwa na majanga watu wamekufa leo waziri anatangaza Rais ametoa 700m kwa ajili ya ushindi wa Taifa star ndugu zangu hili litajibiwa kwa majibu magumu toka kwa Mungu.
Je, taifa halina wazee nakuwaambia huu sio muda wa kutoa matamko ya kusheherekea mpira Taifa lina msiba watu wamekufa kwa uzembe wa walio pewa mamlaka je familia zilizobpoteza ndugu simngezipa japo hata 50m wangeona na hili la kutoa 700m ni sawa sasa mmeleta uchungu pasipo sababu.
Mungu amekasirika na atawajibu huwo ndio unabii wangu kwa siku ya leo. Amen.