Ina maana hili Taifa halina wazee kweli?

Ina maana hili Taifa halina wazee kweli?

Mungu amekasirika Mungu hajafurahishwa na hili jambo mmelifanya.

Tumepatwa na majanga watu wamekufa leo waziri anatangaza Rais ametoa 700m kwa ajili ya ushindi wa Taifa star ndugu zangu hili litajibiwa kwa majibu magumu toka kwa Mungu.

Je, taifa halina wazee nakuwaambia huu sio muda wa kutoa matamko ya kusheherekea mpira Taifa lina msiba watu wamekufa kwa uzembe wa walio pewa mamlaka je familia zilizobpoteza ndugu simngezipa japo hata 50m wangeona na hili la kutoa 700m ni sawa sasa mmeleta uchungu pasipo sababu.

Mungu amekasirika na atawajibu huwo ndio unabii wangu kwa siku ya leo. Amen.
IMG_6244.jpeg
 
Mungu amekasirika Mungu hajafurahishwa na hili jambo mmelifanya.

Tumepatwa na majanga watu wamekufa leo waziri anatangaza Rais ametoa 700m kwa ajili ya ushindi wa Taifa star ndugu zangu hili litajibiwa kwa majibu magumu toka kwa Mungu.

Je, taifa halina wazee nakuwaambia huu sio muda wa kutoa matamko ya kusheherekea mpira Taifa lina msiba watu wamekufa kwa uzembe wa walio pewa mamlaka je familia zilizobpoteza ndugu simngezipa japo hata 50m wangeona na hili la kutoa 700m ni sawa sasa mmeleta uchungu pasipo sababu.

Mungu amekasirika na atawajibu huwo ndio unabii wangu kwa siku ya leo. Amen.
Nchi ya kichawi na kishirikina hawawezi kujua hayo ya Mungu kukasirika. Hata wakipigwa watatoa sababu za kisayansi.
 
Uumbwaaa. Wee subiri tu kuna uzi nakuandalia.

I must fix you up

Nyau de adriz
I you make any wrong move , you will pay a heavy price .

Slightest mistake could jeopardize your presence and ruin your reputation in Jf from worse to the wrost...

WARNING ⚠️ : You should take care and fell pity to yourself Mr Scumbag.
 
Tumepatwa na majanga watu wamekufa leo waziri anatangaza Rais ametoa 700m kwa ajili ya ushindi wa Taifa star ndugu zangu hili litajibiwa kwa majibu magumu toka kwa Mungu.
Hiii Pesa kumbe hatoagi yeye, niwapambe but hao wapambe wananufaikaje?
 
Mungu amekasirika Mungu hajafurahishwa na hili jambo mmelifanya.

Tumepatwa na majanga watu wamekufa leo waziri anatangaza Rais ametoa 700m kwa ajili ya ushindi wa Taifa star ndugu zangu hili litajibiwa kwa majibu magumu toka kwa Mungu.

Je, taifa halina wazee nakuwaambia huu sio muda wa kutoa matamko ya kusheherekea mpira Taifa lina msiba watu wamekufa kwa uzembe wa walio pewa mamlaka je familia zilizobpoteza ndugu simngezipa japo hata 50m wangeona na hili la kutoa 700m ni sawa sasa mmeleta uchungu pasipo sababu.

Mungu amekasirika na atawajibu huwo ndio unabii wangu kwa siku ya leo. Amen.
Kikwete alishasema wazee wapo lakini hawasikilizwi na wanaowasikiliza ni wale ambao sio waasisi wa CCM,nadhani hai ndio waliomshauri atoe pesa hizo halafu washerekee bila kujali majanga!!
 
Mungu amekasirika Mungu hajafurahishwa na hili jambo mmelifanya.

Tumepatwa na majanga watu wamekufa leo waziri anatangaza Rais ametoa 700m kwa ajili ya ushindi wa Taifa star ndugu zangu hili litajibiwa kwa majibu magumu toka kwa Mungu.

Je, taifa halina wazee nakuwaambia huu sio muda wa kutoa matamko ya kusheherekea mpira Taifa lina msiba watu wamekufa kwa uzembe wa walio pewa mamlaka je familia zilizobpoteza ndugu simngezipa japo hata 50m wangeona na hili la kutoa 700m ni sawa sasa mmeleta uchungu pasipo sababu.

Mungu amekasirika na atawajibu huwo ndio unabii wangu kwa siku ya leo. Amen.
Watu hawajielewi kabisa! Mambo ya Mpira ni upuuzi mtupu!
 
Oh! Kiranga again. Tafadhali mkuu, hebu mwache kwanza huyo jamaa ili wadau wamsikilize.
Athibitishe tu Mungu yupo.

Matatizo yetu karibu yote yanaanzia hapo, hivyo suala hili ni muhimu sana.
 
Athibitishe tu Mungu yupo.

Matatizo yetu karibu yote yanaanzia hapo, hivyo suala hili ni muhimu sana.
Sidhani kama anaweza. Dah! Kwaa bahati mbaya ameingia kwenye 18 zako.
 
Back
Top Bottom