Nothing lasts longerOption ni mbili tu
Ipende CCM na mambo yake yote au uikatae uhangaike na ufe kwa stress kama hivi
Mitano tena🤣🤣🤣
Kwanza kabisa, thibitisha huyo Mungu yupo.Mungu amekasirika Mungu hajafurahishwa na hili jambo mmelifanya.
Tumepatwa na majanga watu wamekufa leo waziri anatangaza Rais ametoa 700m kwa ajili ya ushindi wa Taifa star ndugu zangu hili litajibiwa kwa majibu magumu toka kwa Mungu.
Je taifa halina wazee nakuwaambia huu sio muda wa kutoa matamko ya kusheherekea mpira Taifa lina msiba watu wamekufa kwa uzembe wa walio pewa mamlaka je familia zilizobpoteza ndugu simngezipa japo hata 50m wangeona na hili la kutoa 700m ni sawa sasa mmeleta uchungu pasipo sababu.
Mungu amekasirika na atawajibu huwo ndio unabii wangu kwa siku ya leo. Amen
Jifariji tuNothing lasts longer
🤣🤣 naona unataka kuuchafua huu uzi hapaKwanza kabisa, thibitisha huyo Mungu yupo.
Hapana.🤣🤣 naona unataka kuuchafua huu uzi hapa
we kumbe zwazwa hivi!!!!!!!Mungu amekasirika Mungu hajafurahishwa na hili jambo mmelifanya.
Tumepatwa na majanga watu wamekufa leo waziri anatangaza Rais ametoa 700m kwa ajili ya ushindi wa Taifa star ndugu zangu hili litajibiwa kwa majibu magumu toka kwa Mungu.
Je taifa halina wazee nakuwaambia huu sio muda wa kutoa matamko ya kusheherekea mpira Taifa lina msiba watu wamekufa kwa uzembe wa walio pewa mamlaka je familia zilizobpoteza ndugu simngezipa japo hata 50m wangeona na hili la kutoa 700m ni sawa sasa mmeleta uchungu pasipo sababu.
Mungu amekasirika na atawajibu huwo ndio unabii wangu kwa siku ya leo. Amen
Kenzy vpwe kumbe zwazwa hivi!!!!!!!
Mitano tena nikama falsafa ila inauchunhunjOption ni mbili tu
Ipende CCM na mambo yake yote au uikatae uhangaike na ufe kwa stress kama hivi
Mitano tena🤣🤣🤣
Subiri majibu ujithibitishie7Kwanza kabisa, thibitisha huyo Mungu yupo.
Hapana, thibitisha wewe uliyemtaja Mungu.Mitano tena nikama falsafa ila inauchunhunj
Subiri majibu ujithibitishie7
freshKenzy vp
The Mongolian Savage anakasirika kuona unawataja Wanaume wengine maana jamaa ana wivu sana hataki pisi Kali yake uchukuliewe kirahisi huku anaona.Kenzy vp
Uumbwaaa. Wee subiri tu kuna uzi nakuandalia.The Mongolian Savage anakasirika kuona unawataja Wanaume wengine maana jamaa ana wivu sana hataki pisi Kali yake uchukuliewe kirahisi huku anaona.
Ipo ahadi ya kumkataa shetani na mambo yake yote kwa mujibu wa imani.Option ni mbili tu. Ipende CCM na mambo yake yote au uikatae uhangaike na ufe kwa stress kama hivi
Mitano tena🤣🤣🤣
Ipo option ya tatu:Shiriki kikamilifu katika vita ya kuiondoa CCM madarakani.it will take time, nothing lasts forever.Option ni mbili tu. Ipende CCM na mambo yake yote au uikatae uhangaike na ufe kwa stress kama hivi
Mitano tena🤣🤣🤣