Ina maana massage ni kwa ajili ya wanaume tu au?

Ina maana massage ni kwa ajili ya wanaume tu au?

Kwan wamekatazwa kwenda? [emoji848]

Nadhani ni kwasababu ya uhitaji wanaume wanakwenda huko sababu wanapata starehe na wanapenda tofauti na wanawake.
 
Njoo Sinza Mori hapa,nina Massage Parlour langu kwa ajili ya Mishangazi tu,we kama kimbaumbau pita kule
 
Kwa Bongo hakuna massage parlour, yapo madanguro bubu.
Afu wanasingizia massage, mxxxiiiiieeeew.

Massage parlour zipo, Sema bongo kwasasa vitu vya kijinga ndio vina trend. Oysterbay barabara ilipo Trinity Bar kuna massage parlour tena ya bibi wa kichina wapo very professional wanawake wanaenda pale wanafanyiwa massage tena huendi tu kienyeji unafika na kuchoma ndani moja kwa moja unachagua mdada wa kukufanyia massage Kama Yalivyo hayo madangulo ya Sinza. Pale unaenda kwa appointment unaweka booking ndio unaenda.
 
Sijui ni ushamba wangu au ni kutokutembea lakini hizi huduma za kusugua mwili (massage) mbona naona ni wanaume tuu? Kwani wanawake haziwahusu au kuna sehemu yao ni mimi sijafika.

Au kuna siri gani na wanaume kwenye hii huduma?
Wanawake tunawanunulia za nyumbani kama hii ya cocastic
IMG_1170.jpeg
 
Massage parlour zipo, Sema bongo kwasasa vitu vya kijinga ndio vina trend. Oysterbay barabara ilipo Trinity Bar kuna massage parlour tena ya bibi wa kichina wapo very professional wanawake wanaenda pale wanafanyiwa massage tena huendi tu kienyeji unafika na kuchoma ndani moja kwa moja unachagua mdada wa kukufanyia massage Kama Yalivyo hayo madangulo ya Sinza. Pale unaenda kwa appointment unaweka booking ndio unaenda.
Kilimanjaro hotel kuna demu Mkorea pale unakwenda kufanya massage kweli kwa appointment unafanya booking day and time.
 
Back
Top Bottom