Ina maana Mbowe na Chadema mlifanya siasa za Kuboa na hayati JPM? Siasa za kujenga ni kulamba asali?

Ina maana Mbowe na Chadema mlifanya siasa za Kuboa na hayati JPM? Siasa za kujenga ni kulamba asali?

Muuza Kangala

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
1,242
Reaction score
4,813
Nashindwa kuelewa kauli za Mbowe.

Mbowe amelamba asali amekuwa kama bubu.

Siasa za kujenga ndio siasa gani sasa?
Mbowe: Tulikubaliana na Rais Samia kufanya siasa za kujenga nchi
 
Wewe umefanya nn sasa zaidi ya kukaa nyuma ya keyboard!! Ameamua kukuachia wewe uingie front bado wamlalamikia tena!!

Pambana sasa tuone unavyowatoa watanzania kimasomaso!!🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom