Ina maana Mo Dewji, Simba SC? Tanzania hamkuona post yangu mwezi uliopita kuhusu ubora wa Simba duniani?

Ina maana Mo Dewji, Simba SC? Tanzania hamkuona post yangu mwezi uliopita kuhusu ubora wa Simba duniani?

njaakalihatari

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2019
Posts
4,081
Reaction score
8,671
Yaani toka tarehe 3 February nilipost hapahapa kwamba Simba ni ya 98 duniani hizi statistics ni za January nilichoambulia hapa Jamii Forums ni kubishana na majinga ya utopwinyo vyura pro max wa Jangwani.

Sasa in a span of 4 days mwandishi wa Ghana, Micky JR kapost hiyo issue ikapokelewa na wachambuzi mchongo wa Bongo imekuwa news na imekubalika na leo Mo Dewji kaizungumzia.

Nafurahia lakini nina hasira sana kweli umaarufu ni kitu kizuri, ma-genius kama sisi huwa hatuonekani kabisa na tunachukuliwa poapoa.

 
Achana na mapeta vibaraka wa wapinzani wa simba

Hizi ni takwimu kutoka chanzo cha ukakika kabisa lakini vinabo wamejikita kujadili timu zingine zilizopigwa gap na mnyama kwa madai kwamba takwimu sio za kuaminika
 
Achana na mapeta vibaraka wa wapinzani wa simba

Hizi ni takwimu kutoka chanzo cha ukakika kabisa lakini vinabo wamejikita kujadili timu zingine zilizopigwa gap na mnyama kwa madai kwamba takwimu sio za kuaminika
Nilibishana nikachoka takwimu hizohizo zinasema ligi ni ya kumi afrika zinashangiliwa ziki mention simba ni ugomvi kabisa
 
Achana na mapeta vibaraka wa wapinzani wa simba

Hizi ni takwimu kutoka chanzo cha ukakika kabisa lakini vinabo wamejikita kujadili timu zingine zilizopigwa gap na mnyama kwa madai kwamba takwimu sio za kuaminika
Chanzo cha?
20220312_015837.jpg
 
Yaani toka tarehe 3 february nilipost hapahapa kwamba simba ni ya 98 duniani hizi statistics ni za january nilichoambulia hapa jamii forums ni kubishana na majinga ya utopwinyo vyura pro max wa jangwani

Sasa ina a span of 4 days mwandishi wa Ghana Micky jr kapost hiyo issue ikapokelewa na wachambuzi mchongo wa bongo imekuwa news na imekubalika na leo Mo dewji kaizungumzia

Nafurahia lakini nina hasira sana kweli umaarufu ni kitu kizuri ,ma genius kama sisi huwa hatuonekani kabisa na tunachukuliwa poapoa

98 ya nyokooo
20220312_015857.jpg
 
Yaani toka tarehe 3 february nilipost hapahapa kwamba simba ni ya 98 duniani hizi statistics ni za january nilichoambulia hapa jamii forums ni kubishana na majinga ya utopwinyo vyura pro max wa jangwani

Sasa ina a span of 4 days mwandishi wa Ghana Micky jr kapost hiyo issue ikapokelewa na wachambuzi mchongo wa bongo imekuwa news na imekubalika na leo Mo dewji kaizungumzia

Nafurahia lakini nina hasira sana kweli umaarufu ni kitu kizuri ,ma genius kama sisi huwa hatuonekani kabisa na tunachukuliwa poapoa

Sijaelewa mantiki ya huu uzi!
 
wajinga kama wewe walishajibiwa kuhusu footballdatabase, hata wewe unaweza kuanzisha website yako ukaweka utopolo ni ya 5 afrika ila kuna vyoimbo maalumu vinavyokubalika na FIFA ,hata ukitaka pia anzisha blog yake weka GSM ndiye tajiri namba moja frica utapuuzwa tu ila wakiweka Forbes watakubalika sijui unaelewa? halafu kwenye hiyo data yako tusem ni ya ukweli utopolo inaonekana ya ngapi kama siyo ya LAKI TATU?
 
Utopolo wanang'ang'ania kusema simba sio ya 98 leteni basi data hapa muonyeshe simba ni ya ngapi na utopolo ni ya ngapi sio mnahangaika na simba tu kwani nyie mnacheza tennis.
 
Yaani toka tarehe 3 february nilipost hapahapa kwamba simba ni ya 98 duniani hizi statistics ni za january nilichoambulia hapa jamii forums ni kubishana na majinga ya utopwinyo vyura pro max wa jangwani

Sasa ina a span of 4 days mwandishi wa Ghana Micky jr kapost hiyo issue ikapokelewa na wachambuzi mchongo wa bongo imekuwa news na imekubalika na leo Mo dewji kaizungumzia

Nafurahia lakini nina hasira sana kweli umaarufu ni kitu kizuri ,ma genius kama sisi huwa hatuonekani kabisa na tunachukuliwa poapoa

kwa akili ya kawaida tu. hata bila kupitia kwenye vyanzo wala nini. hivi inawezekana simba kushika nafasi 100 bora duniani?

-Epl kuna timu 20
-Laliga timu 20
-Seria A 20
-Bundasliga 18
-Legue One 20

hizo ni top leagues Ulaya. bado hapo kuna ureno, uholanzi, Austria, Scotland, na nyingine kibao tu huko Ulaya,

haya twende America huko Ligi ya Brazil, ligi ya Argentina na Marekani. njoo Afrika kwetu huyu Simba wetu tukianza pale Misri kapitwa na timu kibao , nenda south, njoo Morocco, nenda Tunisia, njoo tena Congo DRC, ...

kwahiyo zakuambiwa changanya na zako, nyie ndio mnaambiwaga Tanzania tuna majeshi na vifaa vya kivita kuliko Marekani mnaamini.
 
wajinga kama wewe walishajibiwa kuhusu footballdatabase, hata wewe unaweza kuanzisha website yako ukaweka utopolo ni ya 5 afrika ila kuna vyoimbo maalumu vinavyokubalika na FIFA ,hata ukitaka pia anzisha blog yake weka GSM ndiye tajiri namba moja frica utapuuzwa tu ila wakiweka Forbes watakubalika sijui unaelewa? halafu kwenye hiyo data yako tusem ni ya ukweli utopolo inaonekana ya ngapi kama siyo ya LAKI TATU?
Yeah ya laki 3 ndani ya miaka minne hakuna tulichofanya ila wewe kuwa wa 98 weeeee uingereza peke yake wanatimu thelathini na kitu,bado France,Uholanzi,Germany na mataifa kibao hlf mpuuzi tu mmoja anasema yupo nafasi ya 98
 
Back
Top Bottom