Ina maana Rais Samia hamtaki Mbatia na anataka wapinzani wataokuwa wakisema yes kwa kila jambo? Rais wa chama tawala anapanga safu ya wapinzani?

Ina maana Rais Samia hamtaki Mbatia na anataka wapinzani wataokuwa wakisema yes kwa kila jambo? Rais wa chama tawala anapanga safu ya wapinzani?

Nyankurungu2020

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2020
Posts
4,170
Reaction score
6,757
Moja ya tuhuma iliyotolwlewa dhidi ya Mbatia ni kumwita rais Samia Dada huku akiacha kumuita Mama. Hii imeonyesha kuwa ni mtovu wa nidhamu.

Mbali ya hayo kuna tuhuma za upigaji pesa za umma.

Kuna harufu ya viashiria kuwa rais Samia na Mbatia haviivi au hazipandi.

Kwa hali hii kumbe rais anataka kupanga safu yake ya wapinzani anaotaka yeye. Sasa huu ni upinzani kweli?
 
Mbatia anawadai CCM, walimuahidi makubwa baada ya uchaguzi 2020 ila sasa wamemgeuka na yeye ameanza kuwatukana ILI watepete, matokeo take NYAHOZA kafanya yake.
 
Moja ya tuhuma iliyotolwlewa dhidi ya Mbatia ni kumwita rais Samia Dada huku akiacha kumuita Mama. Hii imeonyesha kuwa ni mtovu wa nidhamu.

Mbali ya hayo kuna tuhuma za upigaji pesa za umma.

Kuna harufu ya viashiria kuwa rais Samia na Mbatia haviivi au hazipandi.

Kwa hali hii kumbe rais anataka kupanga safu yake ya wapinzani anaotaka yeye. Sasa huu ni upinzani kweli?
Nguvu ya chama chochote hutokana na idadi ya wafuasi wake..
 
Mbatia anawadai CCM, walimuahidi makubwa baada ya uchaguzi 2020 ila sasa wamemgeuka na yeye ameanza kuwatukana ILI watepete, matokeo take NYAHOZA kafanya yake.
 
Moja ya tuhuma iliyotolwlewa dhidi ya Mbatia ni kumwita rais Samia Dada huku akiacha kumuita Mama. Hii imeonyesha kuwa ni mtovu wa nidhamu.

Mbali ya hayo kuna tuhuma za upigaji pesa za umma.

Kuna harufu ya viashiria kuwa rais Samia na Mbatia haviivi au hazipandi.

Kwa hali hii kumbe rais anataka kupanga safu yake ya wapinzani anaotaka yeye. Sasa huu ni upinzani kweli?
Nimecheka Sana , eti mh kaitwa dada, kwani mh anaweza kuwa mama KWa KILA mtu, lazima majina mengine yanaweza tumika lingana na mazingira
Mh,ndugu, mama,dada, shangazi,bibi ,
Mfano utalazimisha mjukuu amuite mama?

Mimi nafikili Ayo maneno hapo juu yanaweza tumika maana bado hayavunji heshima na utu wa mtu au taswira ya kiongozi?
KWa hoja hii wajumbe wamechemka
 
Hizo ni hi sia zako ,kumuhita dada,mama, shangazi,bibi, kwa mwanamke ni sawa lakini kumuhita malaya hapo ndipo unampomkosea mwanamke
 
Moja ya tuhuma iliyotolwlewa dhidi ya Mbatia ni kumwita rais Samia Dada huku akiacha kumuita Mama. Hii imeonyesha kuwa ni mtovu wa nidhamu.

Mbali ya hayo kuna tuhuma za upigaji pesa za umma.

Kuna harufu ya viashiria kuwa rais Samia na Mbatia haviivi au hazipandi.

Kwa hali hii kumbe rais anataka kupanga safu yake ya wapinzani anaotaka yeye. Sasa huu ni upinzani kweli?
Tumepigwa..
 
Nimecheka Sana , eti mh kaitwa dada, kwani mh anaweza kuwa mama KWa KILA mtu, lazima majina mengine yanaweza tumika lingana na mazingira
Mh,ndugu, mama,dada, shangazi,bibi ,
Mfano utalazimisha mjukuu amuite mama?

Mimi nafikili Ayo maneno hapo juu yanaweza tumika maana bado hayavunji heshima na utu wa mtu au taswira ya kiongozi?
KWa hoja hii wajumbe wamechemka
Pengine ki'protocal haikutakiwa aitwe hivyo kutegemea na mazingira.

Wameanza na Mbatia kwa sababu pia ni moja ya wanasiasa wasioyumbishwa kwenye suala la kupigania KATIBA MPYA.. Mambo ni mengi nyuma ya pazia.!
 
Back
Top Bottom