Ina maana Ruto alikuja Tanzania ili asiende Uganda?

Ina maana Ruto alikuja Tanzania ili asiende Uganda?

Nimewaza kama Wewe mkuu! Kwa Sababu ziara ya Dr Ruto kule Uganda niliifuatilia vyema pamja na mambo mazito aliyoyaongea kwa Mzee ikiwemo suala la Ulinzi wa mipaka! Nachelea kusema kwamba JF imeingiliwa na kizazi Cha fb ambaacho hukurupuka TU na kuanzisha nyuzi pasina kufanya utafiti au kujiridhisha iwapo Jambo wanalozungumza Lina mantiki na laweza kuwa na manufaa kwa jamii kisiasa kiuchumi na kijamii! Wale members wa pages za hovyo Facebook wanajiita vijana wa hovyo sasa tunao humu! Ndio maana hatuoni mada moto moto zinazochochea mageuzi katika jamii yetu ya Tanzania ya Leo! Inaskitisha sana kijana kama huyu Hana habari kama Dr Ruto alikuja Tanzania akitokea Uganda je ataweza kujua mambo mtambuka ambapo Taifa letu linapitia?
Ya ni kweli mkuu, huyu mleta mada nahisi ni mmoja wa hao vijana wa hovyo huko fb. So ndo anataka kuleta uhovyo wake kwenye jukwaa la watu wenye akili akitegemewa kuungwa mkono na wa hovyo wenzake kama wafanyavyo fb. So nimeona ni afadhali kumpa information ambayo alikuwa haijui, lkn vilevile kumpa angalizo la kisaikolojia maana nina imani kwa aibu hii, siku nyingine hawezi kuanzisha mada za kipuuzi ovyo ovyo.
 
Ya ni kweli mkuu, huyu mleta mada nahisi ni mmoja wa hao vijana wa hovyo huko fb. So ndo anataka kuleta uhovyo wake kwenye jukwaa la watu wenye akili akitegemewa kuungwa mkono na wa hovyo wenzake kama wafanyavyo fb. So nimeona ni afadhali kumpa information ambayo alikuwa haijui, lkn vilevile kumpa angalizo la kisaikolojia maana nina imani kwa aibu hii, siku nyingine hawezi kuanzisha mada za kipuuzi ovyo ovyo.
Kama umefuatilia majibu yake kwa wanajukwaa wanaojaribu kumpa taarifa na kumfahamisha Juu ya huu ujinga wake utagundua kwamba IPO haja ya Jf kufanya vetting kabka ya enrolment!
 
Kwa sababu Ruto alikuwa amealikwa kwenye sherehe za Uhuru Uganda October 9, badala yake akaja Tanzania.

Hii ni baada ya Muhozi ku tweet "Ndugu zangu wa Kenya, mimi sitakuja huko kulikung'uta Jeshi la Kenya, kwa sababu baba yangu amenikataza. "
 
Aliekwambia kama Ruto hakwenda Uganda nani?
Muwe mnauliza au kufuatilia kwanza jambo kabla haujaliandika. Nyie ndio mnaofanya sasa hivi jukwaa hili lionekane ni la low thinkers badala ya great thinkers kama zamani.
Naona comment yako imemkimbiza mleta mada 🤣🤣🤣🤣
 
Kwa sababu Ruto alikuwa amealikwa kwenye sherehe za Uhuru Uganda October 9, badala yake akaja Tanzania.

Hii ni baada ya Muhozi ku tweet "Ndugu zangu wa Kenya, mimi sitakuja huko kulikung'uta Jeshi la Kenya, kwa sababu baba yangu amenikataza. "
Acha bange weye. Alienda Uganda kwanza halafu ndio akaja Tz.
Kama una facts tuliza nyege nyambafu weye
 
Uanzishaji wa habari kama hizi ndio zinafanya kuonekana vijana tuna ulimbukeni wa mitandao na ujuaji wa kijinga na kujiona tunajua kumbe hatujui. Mtu kama huyu ndio zile type anaweza kukubishia siku nzima

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Kwa sababu Ruto alikuwa amealikwa kwenye sherehe za Uhuru Uganda October 9, badala yake akaja Tanzania.

Hii ni baada ya Muhozi ku tweet "Ndugu zangu wa Kenya, mimi sitakuja huko kulikung'uta Jeshi la Kenya, kwa sababu baba yangu amenikataza. "
Kwa Uzi huu nimeamni mnakurupuka San na inaonesha hamfatiliaa vyombo vya hbr mpo mpo tu kama kuku
 
Kwa sababu Ruto alikuwa amealikwa kwenye sherehe za Uhuru Uganda October 9, badala yake akaja Tanzania.

Hii ni baada ya Muhoozi ku tweet "Ndugu zangu wa Kenya, mimi sitakuja huko kulikung'uta Jeshi la Kenya, kwa sababu baba yangu amenikataza. "
Hujielewi Dada. Puts your facts right
 
Kwa sababu Ruto alikuwa amealikwa kwenye sherehe za Uhuru Uganda October 9, badala yake akaja Tanzania.

Hii ni baada ya Muhoozi ku tweet "Ndugu zangu wa Kenya, mimi sitakuja huko kulikung'uta Jeshi la Kenya, kwa sababu baba yangu amenikataza. "
Alienda alihutubia ila Tanzania alikuja usiku huo huo wa tarehe 9.
 
Aliekwambia kama Ruto hakwenda Uganda nani?
Muwe mnauliza au kufuatilia kwanza jambo kabla haujaliandika. Nyie ndio mnaofanya sasa hivi jukwaa hili lionekane ni la low thinkers badala ya great thinkers kama zamani.
The best 007 low thinker😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
 
Kwa sababu Ruto alikuwa amealikwa kwenye sherehe za Uhuru Uganda October 9, badala yake akaja Tanzania.

Hii ni baada ya Muhoozi ku tweet "Ndugu zangu wa Kenya, mimi sitakuja huko kulikung'uta Jeshi la Kenya, kwa sababu baba yangu amenikataza. "
Ivi uyo jamaa hatumii k vant kweli😅😅😅
 
Back
Top Bottom