LGE2024 Ina maana Walimu wanawatoa wanafunzi darasani ili waende wakajiandikishe kwenye daftari? Hii video ya Tabora imenifikirisha sana!

LGE2024 Ina maana Walimu wanawatoa wanafunzi darasani ili waende wakajiandikishe kwenye daftari? Hii video ya Tabora imenifikirisha sana!

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Wakuu,

Unaweza kuona ni kwa namna CCM wamepanga kutibua na kuharibu process nzima ya uchaguzi wa serikali za mitaa.

Mwalimu amewatoa wanafunzi madarasani kusoma, anawaongoza waende wakajiandikishe!

Hii ni mkoani Tabora!

 
Haina shida kama wamefikisha miaka 18. Wewe ulitaka hao wanafunzi wakose haki yao ya kikatiba?

Kuna sauti ya mwalimu mjinga inasikika hapo anasema "hawa wanataka kuharibu uchaguzi, hawa ni watoto tunawalea. Unasikia?........"

Huyu mwalimu mjinga akamatwe ahojiwe ni kwa jinsi gani uchaguzi utaharibika kwa kuhamasisha wanafunzi wenye miaka 18 kwenda kujiandikisha. Na akishindwa kutolea ufafanuzi kauli yake hii sheria kali ichukuliwe dhidi yake.
 
uchawa umefanya watu wa serikali na taasisi za umma kujipendekeza kila eneo.

kuna wakati hata hawajatumwa ila kiherehere ili aonekane anakipigania chama
 
Haina shida kama wamefikisha miaka 18. Wewe ulitaka hao wanafunzi wakose haki yao ya kikatiba?
katiba yetu haiko sawa yaani na ww una haki sawa ya kupiga kura daah
 
Wana haki ya kujiandikisha na kupiga kura, kama wametimiza umri husika.
 
Wakuu,

Unaweza kuona ni kwa namna CCM wamepanga kutibua na kuharibu process nzima ya uchaguzi wa serikali za mitaa.

Mwalimu amewatoa wanafunzi madarasani kusoma, anawaongoza waende wakajiandikishe!

Hii ni mkoani Tabora!

wanafunzi wa ngazi zote nchini ,wenye sifa na vigezo vya kikatiba vya kupiga kura kewnye uchaguzi,ni sharti washiriki zoezi hili muhimu sana la kujiandikisha kwa ajili ya uchaguzi wa serikali za mitaa Nov 27,

kwasababu na wao ni sehemu ya jamii yenye haki ya kupata huduma za jamii eneo hilo, lakini pia wana wajibu wa kushiriki kuaamua mustakabali wa uongozi wa eneo husika na uongozi wa nchi pia 🐒
 
Wakuu,

Unaweza kuona ni kwa namna CCM wamepanga kutibua na kuharibu process nzima ya uchaguzi wa serikali za mitaa.

Mwalimu amewatoa wanafunzi madarasani kusoma, anawaongoza waende wakajiandikishe!

Hii ni mkoani Tabora!

Unaweza ukasoma na usielimike, mwalimu aliye waruhusu hao watoto wakajiandikishe hana kosa na nimemsikiliza huyo dada anawahamashisha watoto kwa upendo kabisa , tatizo lipo kwa huyo mwalimu aliye rekodi na kupost ajiandae kisaikilojia.
 
wanafunzi wa ngazi zote nchini ,wenye sifa na vigezo vya kikatiba vya kupiga kura kewnye uchaguzi,ni sharti washiriki zoezi hili muhimu sana la kujiandikisha kwa ajili ya uchaguzi wa serikali za mitaa Nov 27,

kwasababu na wao ni sehemu ya jamii yenye haki ya kupata huduma za jamii eneo hilo, lakini pia wana wajibu wa kushiriki kuaamua mustakabali wa uongozi wa eneo husika na uongozi wa nchi pia 🐒
Naungana na wewe 100% na hakuna kosa lolote hapo ,nampongeza madam huyo kaongeanna watoto kwa lugha ya uhamasishaji kabisa, ila huyo aliye rekodi na kutoa maneno kama naye ni mwalimu basi ajiandae kisaikolojia
 
wanafunzi wa ngazi zote nchini ,wenye sifa na vigezo vya kikatiba vya kupiga kura kewnye uchaguzi,ni sharti washiriki zoezi hili muhimu sana la kujiandikisha kwa ajili ya uchaguzi wa serikali za mitaa Nov 27,

kwasababu na wao ni sehemu ya jamii yenye haki ya kupata huduma za jamii eneo hilo, lakini pia wana wajibu wa kushiriki kuaamua mustakabali wa uongozi wa eneo husika na uongozi wa nchi pia 🐒
Naungana na wewe 100% na hakuna kosa lolote hapo ,nampongeza madam huyo kaongeanna watoto kwa lugha ya uhamasishaji kabisa, ila huyo aliye rekodi na kutoa maneno kama naye ni mwalimu basi ajiandae kisaikolo
Hii nchi hatuko huru.
Hauko huru kivipi tena ?
 
Naungana na wewe 100% na hakuna kosa lolote hapo ,nampongeza madam huyo kaongeanna watoto kwa lugha ya uhamasishaji kabisa, ila huyo aliye rekodi na kutoa maneno kama naye ni mwalimu basi ajiandae kisaikolo
Mleta mada pia ni tatizo kwenye jamii. Nadhani huyu mleta mada siyo riziki.
 
Walimu pamoja na uduni wa maisha waliosababishiwa na ccm lakini kila uchwao ni kujikomba kwa mtesi wao.
 
Haina shida kama wamefikisha miaka 18. Wewe ulitaka hao wanafunzi wakose haki yao ya kikatiba?
Sasa ni waende wenyewe ktk vituo mpaka waongozwe na walimu? Umeona wapi haya duniani? Tenda haki hii dunia ni mapito.
 
Back
Top Bottom