LGE2024 Ina maana Walimu wanawatoa wanafunzi darasani ili waende wakajiandikishe kwenye daftari? Hii video ya Tabora imenifikirisha sana!

LGE2024 Ina maana Walimu wanawatoa wanafunzi darasani ili waende wakajiandikishe kwenye daftari? Hii video ya Tabora imenifikirisha sana!

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Naungana na wewe 100% na hakuna kosa lolote hapo ,nampongeza madam huyo kaongeanna watoto kwa lugha ya uhamasishaji kabisa, ila huyo aliye rekodi na kutoa maneno kama naye ni mwalimu basi ajiandae kisaikolojia
Huyo mwingine sio mwenzetu ????!!
🙄😳
 
Kwanini inajengwa fikra kuwa wanafunzi kujiandikisha ni kosa kama wametimiza miaka 18? Na kwanini tunahisi hawa wanafunzi ni wa chama fulani wakati hawajatuonesha kadi za vyama vyao?

Pia mbona kama kuna kuchanganya kujiandikisha na kupiga kura? Ieleweke wazi kua hili ni zoezi la uandikisha wapiga kura. Baadae au hata sasa vyama vifanye hamasa au ushawishi kwa waliojiandikisha ili wawapigie kura.

Tunajinasibu kwa kuamini kuwa mabadiriko ya kweli yataletwa na vijana, wakati huo hatutaki vijana hususani wanafunzi kujiandikisha. Ieleweke kua kama hakuna waliojiandikisha kupiga kura hata utoe sera gani hutapata kura.

Tena ingetolewa fursa vyama vyote kupita shuleni na vyuoni kuhamasisha wanafunzi waliotikiza vigezo kujiandikisha. Labda kuondoa utata ingetakiwa kila anayejiandioisha aje na kitambulisho halali chenye umri wake.

Wanafunzi wanahukumiwa kwakua wanakuja na sare zao lakini kuna mtu anaweza kuja kujiandikisha bila kuwa mwanafunzi lakini umri wake mdogo. Nilitamani kuona video ya wanafunzi wakilazimishwa kuniandikisha. Ila pamoja na majukumu mengine ya walimu, ni kazi yao ya msingi kuhamasisha wanafunzi kujiandikisha. Kwa hilo tusiwatuhumu kuwa wanakibeba chama fulani.
Pia hiyo aina ya uongeaji/lafudhi inanipa shaka kama hapo ni Tabora.
Ni maoni yangu.
 
Ngozi nyeusi haiwezi kustaarabika abadan. Labda kwa kuchapwa bakora kama enzi za ukoloni.
 
Wakuu,

Unaweza kuona ni kwa namna CCM wamepanga kutibua na kuharibu process nzima ya uchaguzi wa serikali za mitaa.

Mwalimu amewatoa wanafunzi madarasani kusoma, anawaongoza waende wakajiandikishe!

Hii ni mkoani Tabora!

Hivi tabu iko wapi kama wamefikisha miaka 18? Ninachofahamu mimi, suala la kuhamasisha uandikishaji ni la watanzania wote. Baba, mjomba rafiki hata mpita njia.
Au hao wanafunzi hawaishi maeneo hayo? Mambo mengine yanashangaza sana. Sikio la kufa......
 
Sasa ni waende wenyewe ktk vituo mpaka waongozwe na walimu? Umeona wapi haya duniani? Tenda haki hii dunia ni mapito.
Kwani mimi kukupeleka wewe kituo cha kuandikisha ni dhambi? Jamani, tueche kurudi miaka ya 1970.
 
Back
Top Bottom