Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tukisema ni maelekezo kutoka JUU nani atakataa!Wakuu,
Unaweza kuona ni kwa namna CCM wamepanga kutibua na kuharibu process nzima ya uchaguzi wa serikali za mitaa.
Mwalimu amewatoa wanafunzi madarasani kusoma, anawaongoza waende wakajiandikishe!
Hii ni mkoani Tabora!
Hawa jamaa hawastahili hata kujibiwa Mkuu.Haina shida kama wamefikisha miaka 18. Wewe ulitaka hao wanafunzi wakose haki yao ya kikatiba?
Tumekosea wapi kuwapa wanafuzni kutimiza wajibu wao wa kisiasa ...Wakuu,
Unaweza kuona ni kwa namna CCM wamepanga kutibua na kuharibu process nzima ya uchaguzi wa serikali za mitaa.
Mwalimu amewatoa wanafunzi madarasani kusoma, anawaongoza waende wakajiandikishe!
Hii ni mkoani Tabora!
Mkuu mtoto akishafika shuleni ama anapokuwa shuleni, basi mtoto huyo yuko chini ya dhamana ya walimu. Lolote baya litakalompata mtoto itakuwa ni msala kwa walimu.Sasa ni waende wenyewe ktk vituo mpaka waongozwe na walimu?
Kama umri unaruhusu ni sahihi kujiandikisha uchaguzi ni muhimu zaidi kuliko kukosa masomo Kwa mda mfupiWakuu,
Unaweza kuona ni kwa namna CCM wamepanga kutibua na kuharibu process nzima ya uchaguzi wa serikali za mitaa.
Mwalimu amewatoa wanafunzi madarasani kusoma, anawaongoza waende wakajiandikishe!
Hii ni mkoani Tabora!
Wana umri gani?Wakuu,
Unaweza kuona ni kwa namna CCM wamepanga kutibua na kuharibu process nzima ya uchaguzi wa serikali za mitaa.
Mwalimu amewatoa wanafunzi madarasani kusoma, anawaongoza waende wakajiandikishe!
Hii ni mkoani Tabora!
Daa; anyway...!Haina shida kama wamefikisha miaka 18. Wewe ulitaka hao wanafunzi wakose haki yao ya kikatiba?
Kuna sauti ya mwalimu mjinga inasikika hapo anasema "hawa wanataka kuharibu uchaguzi, hawa ni watoto tunawalea. Unasikia?........"
Huyu mwalimu mjinga akamatwe ahojiwe ni kwa jinsi gani uchaguzi utaharibika kwa kuhamasisha wanafunzi wenye miaka 18 kwenda kujiandikisha. Na akishindwa kutolea ufafanuzi kauli yake hii sheria kali ichukuliwe dhidi yake.
NYAU kabisa.kamkamateHaina shida kama wamefikisha miaka 18. Wewe ulitaka hao wanafunzi wakose haki yao ya kikatiba?
Kuna sauti ya mwalimu mjinga inasikika hapo anasema "hawa wanataka kuharibu uchaguzi, hawa ni watoto tunawalea. Unasikia?........"
Huyu mwalimu mjinga akamatwe ahojiwe ni kwa jinsi gani uchaguzi utaharibika kwa kuhamasisha wanafunzi wenye miaka 18 kwenda kujiandikisha. Na akishindwa kutolea ufafanuzi kauli yake hii sheria kali ichukuliwe dhidi yake.
Vijana wa Kitanzania wangekuwa na akili basi ingekuwa rahii kuleta mabadiliko mana hawa hawa vijana wangejazwa utambuzi, lakini kutokana na ubovu wa elimu yetu, basi hao vijana watasagwa kama nyumbu kwenda kupiga kula kwa maelekezo na vitisho juuWakuu,
Unaweza kuona ni kwa namna CCM wamepanga kutibua na kuharibu process nzima ya uchaguzi wa serikali za mitaa.
Mwalimu amewatoa wanafunzi madarasani kusoma, anawaongoza waende wakajiandikishe!
Hii ni mkoani Tabora!
Kama umri wao umetimia kuna tatizo gani?Wakuu,
Unaweza kuona ni kwa namna CCM wamepanga kutibua na kuharibu process nzima ya uchaguzi wa serikali za mitaa.
Mwalimu amewatoa wanafunzi madarasani kusoma, anawaongoza waende wakajiandikishe!
Hii ni mkoani Tabora!
Walikuambia Wana miaka 18?Haina shida kama wamefikisha miaka 18. Wewe ulitaka hao wanafunzi wakose haki yao ya kikatiba?
Kuna sauti ya mwalimu mjinga inasikika hapo anasema "hawa wanataka kuharibu uchaguzi, hawa ni watoto tunawalea. Unasikia?........"
Huyu mwalimu mjinga akamatwe ahojiwe ni kwa jinsi gani uchaguzi utaharibika kwa kuhamasisha wanafunzi wenye miaka 18 kwenda kujiandikisha. Na akishindwa kutolea ufafanuzi kauli yake hii sheria kali ichukuliwe dhidi yake.
Nadhani huyo mwl ana akili, wewe hunaHaina shida kama wamefikisha miaka 18. Wewe ulitaka hao wanafunzi wakose haki yao ya kikatiba?
Kuna sauti ya mwalimu mjinga inasikika hapo anasema "hawa wanataka kuharibu uchaguzi, hawa ni watoto tunawalea. Unasikia?........"
Huyu mwalimu mjinga akamatwe ahojiwe ni kwa jinsi gani uchaguzi utaharibika kwa kuhamasisha wanafunzi wenye miaka 18 kwenda kujiandikisha. Na akishindwa kutolea ufafanuzi kauli yake hii sheria kali ichukuliwe dhidi yake.
Kama hao wanafunzi wana umri wa miaka 18 na kuendelea haina shida kujiandikisha ni haki yao.Wakuu,
Unaweza kuona ni kwa namna CCM wamepanga kutibua na kuharibu process nzima ya uchaguzi wa serikali za mitaa.
Mwalimu amewatoa wanafunzi madarasani kusoma, anawaongoza waende wakajiandikishe!
Hii ni mkoani Tabora!
HUYU JAMAA MUONGO SANA KWANZA HIYO SIO TABORA WATU KUWENI MAKINI HAWA JAMAA HAWANA AKILI SAWA SAWAWakuu,
Unaweza kuona ni kwa namna CCM wamepanga kutibua na kuharibu process nzima ya uchaguzi wa serikali za mitaa.
Mwalimu amewatoa wanafunzi madarasani kusoma, anawaongoza waende wakajiandikishe!
Hii ni mkoani Tabora!