Inabidi tukubali tu kuwa huu mwaka ni wa Arsenal, akiukosa ubingwa itakuwa ni kituko!

Inabidi tukubali tu kuwa huu mwaka ni wa Arsenal, akiukosa ubingwa itakuwa ni kituko!

Bado mechi 23 unasema arsenal atakuwa bingwa itakuwa hujui mpira maana hata round ya kwanza ligi haijiisha ngoja zibaki kama mechi kumi ndio uje na utabiri huu vingenvyo usirudie tena hayo maneno
Nikwambie kitu, kipindi cha sikuku za krismas na mwaka mpya ni kipindi kigumu sana kwenye epl maana mechi huwa ni nyingi sana za karibu karibu! Timu ikitoboa kipindi hiki ikiwa imewaacha wenzake kwa mbali kama ilivyo kwa arsenal msimu huu ujue kuikamata ni kazi kubwa sana!
 
Liverpool 2 - 3 Arsenal

Arsenal 3 - 1 Tottenham

Chelsea 0 - 1 Arsenal


Sasa sijajua unasema Liverpool na Tottenham wamfunge Arsenal ipi kwasababu timu zote hizo wameshakutana na Arsenal Round ya kwanza na Arsenal kashinda.
Timu kubwa iliyomfunga Arsenal Round ya kwanza ni Man U,hao Man city bado hawajakutana na Arsenal na wao wataiona shughuli!.
 
Liverpool 2 - 3 Arsenal

Arsenal 3 - 1 Tottenham

Chelsea 0 - Arsenal 1


Sasa sijajua unasema Liverpool na Tottenham wamfunge Arsenal ipi kwasababu timu zote hizo wameshakutana na Arsenal Round ya kwanza na Arsenal kashinda.
Timu kubwa iliyomfunga Arsenal Round ya kwanza ni Man U,hao Man city bado hawajakutana na Arsenal na wao wataiona shughuli!.
Asante sana kwa data zisizokanushika!! Namba hazidanganyi!
 
Mashabiki wa Man Utd mna muda mrefu wa kuteseka kuliko mashabiki wa timu zote duniani.😂😂😂
 
Arsenal inacheza vizuri sana mwaka huu, halafu ina hamasa kubwa. Inaongoza kwa pointi 43, Man city inafuatia kwa mbali kwa pointi 36. Imefungwa mara moja tu na kutoka sare mara moja!
Klabu zingine zisubiri mwakani!!
Point 7 sio nyingi mzee baba epl ina maajabu yake
 
Ni wabovu wakiwa under pressure, the best way arsenal muda wote wanatakiwa kushambulia kupack basi hawajui, na game ya jana ni ishara. Watafungwa na Liverpool, Spurs, Man city, Man united, Newcastle na Everton, wako so fragile wakiwa wanashambuliwa
Bahati yao jana goli la 3 lilikatiliwa vinginevyo brighton alikua anaipeleka sare ile game
 
Kwanza hao Man U hawakuamini kama wamefanikiwa kuwafunga arsenal!! Walishinda kwa ngekewa sana!!
 
Ni wabovu wakiwa under pressure, the best way arsenal muda wote wanatakiwa kushambulia kupack basi hawajui, na game ya jana ni ishara. Watafungwa na Liverpool, Spurs, Man city, Man united, Newcastle na Everton, wako so fragile wakiwa wanashambuliwa
We kweli taahira Liverpool Spurs wamefungwa goli 3 na Arsenal ,Manchester United alishinda but kiukweli ni bahati mbaya Newcastle Everton ni wa kumfunga Arsenal ambaye amecheza mechi 16 na kushinda 14?
 
Kwanza hao Man U hawakuamini kama wamefanikiwa kuwafunga arsenal!! Walishinda kwa ngekewa sana!!
Rekodi inamkataa arseanl kwa untd ndo maana mechi nyingi walizokutana Arsenal kapasuka nyingi, all in all arsenal yuko kwenye form akikaza kidogo2 huku city akiendelea kudondosha points basi ubingwa kwa arsenal ni mweupe
 
Rekodi inamkataa arseanl kwa untd ndo maana mechi nyingi walizokutana Arsenal kapasuka nyingi, all in all arsenal yuko kwenye form akikaza kidogo2 huku city akiendelea kudondosha points basi ubingwa kwa arsenal ni mweupe
Angalia miaka mi 4 ya hivi karibuni acha kukariri
 
Rekodi inamkataa arseanl kwa untd ndo maana mechi nyingi walizokutana Arsenal kapasuka nyingi, all in all arsenal yuko kwenye form akikaza kidogo2 huku city akiendelea kudondosha points basi ubingwa kwa arsenal ni mweupe
I DISAGREE kuwa Arsenal huwa anapasuka goal nyingi vs Manchester United na huyo Man u ana miaka 5 hajawahi pata 3 points Emirates na hata January hii hatapata matokeo hapo Emirates inawezekana Arsenal pale old Trafford kushinda huwa ni mbinde ila sio kusema kuwa anapasukaga goal nyingi na kwa results hizi na Manchester anategemea counter attack na Partey atakuwepo hapo Emirates Manchester United ni bora asiende anaenda kupoteza muda tuView attachment 2465998
Screenshot_20230101-205211_LiveScore.jpg
 
I DISAGREE kuwa Arsenal huwa anapasuka goal nyingi vs Manchester United na huyo Man u ana miaka 5 hajawahi pata 3 points Emirates na hata January hii hatapata matokeo hapo Emirates inawezekana Arsenal pale old Trafford kushinda huwa ni mbinde ila sio kusema kuwa anapasukaga goal nyingi na kwa results hizi na Manchester anategemea counter attack na Partey atakuwepo hapo Emirates Manchester United ni bora asiende anaenda kupoteza muda tuView attachment 2465998View attachment 2465999
Nilikuwa namaanisha arsenal kafungwa mechi nyingi na untd siyo magori
 
Ni wabovu wakiwa under pressure, the best way arsenal muda wote wanatakiwa kushambulia kupack basi hawajui, na game ya jana ni ishara. Watafungwa na Liverpool, Spurs, Man city, Man united, Newcastle na Everton, wako so fragile wakiwa wanashambuliwa
Hao wote unaowataja hakuna wa kumfunga Arsenal. Walau ungesema Aston villa au Crystal Palace. Man u aliyembea na upepo wa kutokuwepo Partey tu.
 
Back
Top Bottom